Ninacheka kama mazuri dah....kwahiyo wale Crystal Paa na Bournaboys walichokufanya ndio ushajisahaulisha ..!!!!!aroooooohhhHata kama hatuko pazuri hatuna was was kama walio nao chelsea na Arsenal,
Sisi ndiyo team pekee ambao hatujafungwa na timu bora kuliko zote EUROPE kwa sasa.
Nyinyi tuliwatandika 4, arsenal akalazimisha sare na liverpool nae akalazimisha sare.
Young ana advantage kubwa sababu anaweza kucheza RB & LB (Shaw,Rojo,Bisaka,Dalot) most of our fullback wanakuwa majeruhi so automatic lazima awepo kwenye match squad na pia anaheshimika as senior players ndio maana amepewa u-captian the only solution ni kutompa mkataba na kusajili wachezaji wengineBado nawaza ashley young anapataje namba mbele ya brandon william?
Perreira akipata kocha Kama guadiola ni hatari saanaHuwezi kuwa serious..
Mguu ukomae kivipi??
Kaenda Spain huko kacheza laliga,mguu unataka ukomae kivipi??..Yule sio mtoto,he is 23 years old
Tom cleverley,Januzaj=Walikuwa ni vijana wetu ila walikuwa sio bora kwa level zetu na ndo maana wameishia kwenda kwenye timu za level zao..the same thing must happen to Perreira
Sawa mkuuPerreira akipata kocha Kama guadiola ni hatari saana
Chemistry ya Fred na McSouce(Tominay) ndo ishaingia tena dosari..
Matic ni mgonjwa?Aisee, ni shida
Pereira atapewa mikoba ya Scoty, wakati huo Kirusi atakuwa amerudi
Rashid miguu yake spana zimelegea yuleMiguu yake yote ni ya kushoto sio?
Unazungumzia zile penati?Huyo huyo ambae msimu huu pekee kawatoboa magoli manne
Hahaha kwa iyo mwezi huu washafunga mahesabuKila mwezi huwa mnashinda match moja ya epl mpaka sasa umeshindwa kulijua hilo?
Perreira anacheza mpira kama mswahili anavyokuwa anacheza ndondo..sioni chochote from him..anafika maeneo mazuri ambapo inabidi atoe pasi ya mwisho,yeye hatoi au anatoa vibaya..
Na second half huwa anapotea,sijui anachoka au vipi??..na ndo maana OGS anamfanyia sub kila mechi
Just imagine ametoa assist moja na kufunga goli moja so far this season na no 10..Badobado sana
kwa mechi ya juzi na city liva msimu huu anatafutiwa ubingwa kwa hali na mali???
Broo kile nikipaji ukijaribu kuzungumzi vipaji man u na yule huwezi kumuacha yupo vizuri saana ndomana hata Ferguson hatakagi wamuuze we mfwatilie vizuri ule mguu wake ni wadhahabu ajakomaa vizuri tu
Ninacheka kama mazuri dah....kwahiyo wale Crystal Paa na Bournaboys walichokufanya ndio ushajisahaulisha ..!!!!!aroooooohhh
jiulize swali moja tu ile penati ya mapema tu wangefunga city liva ingekua na hali gani uwanjani....je wangeweza rudisha na kushinda ile mechi??? kumbuka goli la mapema walilofungwa city ndio liliwatoa mchezoni mazima wanakuja kurudi mchezoni zimebaki dakika 20 tu mpira kuisha.....ilifika muda ball possess ilisoma liva 20 na huku city 70 naHapana pamoja na mapungufu ya referee tukubali pia Liverpool walikuwa kwenye kiwango bora sana kwenye ile mechi.
Young ana advantage kubwa sababu anaweza kucheza RB & LB (Shaw,Rojo,Bisaka,Dalot) most of our fullback wanakuwa majeruhi so automatic lazima awepo kwenye match squad na pia anaheshimika as senior players ndio maana amepewa u-captian the only solution ni kutompa mkataba na kusajili wachezaji wengine
Aisee, ni shida
Pereira atapewa mikoba ya Scoty, wakati huo Kirusi atakuwa amerudi
Matic ni mgonjwa?
Rashid miguu yake spana zimelegea yule
Rashid miguu yake spana zimelegea yule
Yule inabidi apikwe saaanaHata mimi huwa naona kitu miguuni mwake sema huwa sikioni kichwani mwake.