Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

AGENDA ZA CHELSEA

1. Kupambana kubeba epl throphy
2. Kupambana kubeba UCL trophy

AGENDA ZA MAN U

1. Kuifunga Chelsea
2. Kuifunga Chelsea

Kulingana na Bango lako:-

√ Ajenda za Man United zimetimia kwa 100%

× Ajenda za Chelsea hazitotimia Kuwa 100%

Kwahiyo mumefeli kwasababu mumejipangia ajenda ambazo haziwezi kutekelezeka.
 
Ni kuwaonea Man kuwalinganisha na Chelsea yenye vikombe viwili vya epl ndani ya hiyo miaka 6 na kombe la Europa na FA
Kuwalinganisha na man u yenye vikombe viwili vya FA na Europa katika hiyo miaka sita.

Ukiangalia kikosi cha Chelsea kina wachezaji karibia 9 ambao wamekuwa pamoja kwa misimu mitatu mfululizo while kwa united hawazidi wanne.

Chelsea hawajasumbuliwa na majeraha kwa key players toka season imeanza kuliko man United.

Ni kweli kwamba chelsea kuna wachezaji wachanga pia lakini wamezungukwa na watu wa aina gani ?

Chelsea wanashinda mechi kutokana na uwezo wao mzuri wa kushambulia while their defence is weak.

Sisi tunapoteza mechi nyingi kwa goal moja bila that means tuko weak kwenye kushambulia.
Yet Chelsea inazidi kuimarika defensively, sivyo ilivyoanza
 
Robo ya mechi 38 za ligi ishachezwa na Arsenal ambayo mashabiki wake wanalia kocha afukuzwe wapo chini ya Sheffield Utd wakishika nafasi ya 6.
Spurs wapo chini ya AFC Bournemouth, Brighton, Burnley, Palace na Newcastle. Na mashabiki wanaona Pochettino aondoke

Na once GG Man Utd nafasi ya 14 ipo chini ya Everton na hao wote waliotajwa hapo.
Maguire, James, Bisaka.

Kuifunga Chelsea, draw na Liverpool haina maana ikiwa wao wanagombea ubingwa na Man Utd ipo relegation battle

 
Trust me wana Mwalimu mzuri.Sisi hatuna mwalimu mzuri.
Mbona chelsea wanacheza vizuri sana..sisi tunakwama wapi??

√Wana wachezaji wazuri kutuzidi kwenye kila idara au vipi??

√Wana mwalimu mzuri au nini??

Maana wanacheza kama timu kweli yenye mipango..

Reece James,Mason Mount,Abraham,Tomori,Zouma=On paper hawa si wakawaida tu??...sisi tunakwama wapi??
 
Kulingana na Bango lako:-

√ Ajenda za Man United zimetimia kwa 100%

× Ajenda za Chelsea hazitotimia Kuwa 100%

Kwahiyo mumefeli kwasababu mumejipangia ajenda ambazo haziwezi kutekelezeka.
Mbona unalazimisha sana kuwa na kipaji cha unabii nakati ulishachemka kitambo tu kuwa Chelsea itabakia kukaa nafasi ya 10 - 15 ktk msimamo wa EPL 2019/2020?
 
Naona Scoty yupo kikosini, nina wasiwasi na kiwango cha timu kama atakuwa hayupo fiti
Screenshot_20191110_113656_com.android.chrome.jpeg
 
Back
Top Bottom