yaani juzi wakati wanapanga makundi ya Calabao cup, kuna kitimu cha daraja la 2 kimepangwa na united walikuwa wa naangalia live,walipoona wamepangwa na ibilisi fc wakashangilia kwa nguvu
DonDonald kitu gani kimetokea kwa hivi vilabu vikongwe Man Utd and Arsenal? Tunabamizwa vibaya kuliko ile timu yako Abajalo ya Sinza miaka ya 90's. Timu ndogo zinatayarisha Sinia, bakuli na vijiko kuchukuwa points kila tunapozitembelea. Mmefungwa leo, na mimi nasubiri kipigo leo. Mdudu gani ameziingilia?
CF ni Martial unategemea utafunga!! Mchezaji mvivu sana. Hajapiga hata shuti moja. Pereira leo alikuwa chini ya kiwango chake na amepiga shuti tatu na sio CF.
yaani juzi wakati wanapanga makundi ya Calabao cup, kuna kitimu cha daraja la 2 kimepangwa na united walikuwa wa naangalia live,walipoona wamepangwa na ibilisi fc wakashangilia kwa nguvu