Tujifariji ki vipi? Mbona mnasahau mapema, mwaka jana mlikuwa mnamsema Judas vibaya na mwaka huu mnamtukuza chacha wakujifariji ni nani kama sio nyinyi ambao mnategemea bahasha zaidi?
Leteni matokeo basi ya kabumbu lenu ... .. . ... naona Belo hana raha pale pressure inapanda na kushuka anachubiri kipenga cha mwisho .. ... wapi scores damn it! Au mnacheza netball leo?
Tupeni matokeo bana wacha neni na utukutu, huku kwetu wamekata umeme khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tupeni matokeo bana wacha neni na utukutu, huku kwetu wamekata umeme khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Reading 3 Manchester United 4
Achana naye huyo
Tupeni matokeo bana wacha neni na utukutu, huku kwetu wamekata umeme khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Leo Usingizi mtamuuu
Nasikia Wacha kalazwa so mkipata muda mumpitishie matunda
Nzi mtotowamjini na mfarisayo,
Pamoja na hayo lakini kumbuka huko nyuma tulikuwa na Brown na Oshea ambao ni mabeki wa kawaida but defence haikufungwa kiasi hiki,tunafungwa sana magoli ya set pieces .Kwa sasa sio wakati wa kumuamini sana Vida kwani anaweza umia anytime
Nzi mtotowamjini na mfarisayo,
Pamoja na hayo lakini kumbuka huko nyuma tulikuwa na Brown na Oshea ambao ni mabeki wa kawaida but defence haikufungwa kiasi hiki,tunafungwa sana magoli ya set pieces .Kwa sasa sio wakati wa kumuamini sana Vida kwani anaweza umia anytime