Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

SAF alitakiwa kuvunja benki kumchukua Leighton Baines kama replacement wa Evra,huyu Buttner bado sana
 
hongereni wazee sisi ndio hivo leo tulikuwa tunaomboleza, yule mzee anafanya mageuzi bila ya kutizama wapi panahitaji mageuzi ikifika dakika ya 75 yeye atamtia mtu sijui mganga gani Wenger anamtumia mpaka leo bado hajafukuzwa bora tungelikuwa na Abramovic basi yule mfaransa angelikuwa keshasahaulika
Hongereni Manu
 
SAF alitakiwa kuvunja benki kumchukua Leighton Baines kama replacement wa Evra,huyu Buttner bado sana

Naona tatizo pia liko kwa mabeki wetu wa kati pia zaidi, at least hata Evra. All in all, beki yote inahitaj overhaul kubwa tu.
 
Naona tatizo pia liko kwa mabeki wetu wa kati pia zaidi, at least hata Evra. All in all, beki yote inahitaj overhaul kubwa tu.

Mi naota tatizo ni mtu wa kuziba pengo la Vidic, mabeki 5 wapo wengi na akikaa vidic na evans/rio beki inatulia tu ala asipo kuwepo ndo tatizo linakuwepo, Bown na Oshea walikuwa wazuri kwa kuruka vichwa ila mipira ya chini kulikuwa na tatizo pia, Evra bado mzuri ila tatizo anacheza mechi nyingi sana bila kupumzika so lazima achoke kwa anafanya kazi kubwa sana ya kupanda na kushuka na kwa sasa anajitahidi sana kupiga cross kuliko Young na Nani. Kama ningekuwa kocha Beki 3 angecheza Butner na Winger ya Kushoto angecheza Evra
 
siku hizi manchester tuna tabia mbaaaaaaya!tunapenda sana kuzishughulikia timu kwa kuzifunga kwa style ya CHUMA MBOGA a.k.a COMING FROM BEHIND!
 
ndetichia umenitayarishia nini hapo etihad stadium next sunday? wine, champagne au soda? tukiwachapa tu hapo kwenu mjue kombe sio lenu tena :happy:
 
Last edited by a moderator:
naona kama nitajiunga na hii timu ikiwa wataongeza bidii ya style hii ya coming from behind

Baki hukohuko manake washabiki wa Arsenal wana gundu wakihamia tu kwenye timu iliyokuwa inafanya vizuri basi inaanza kuboronga, mfano kuna kipindi chelsea wakati wa morinho ilikuwa poa walipohamia washabiki toka arsenal ikawa balaa, same to livefools hadi wakakosa ubingwa chini ya reject Benitez na sasa wamehamia City nayo ishaanza kuyumba
 
namtindo wa beki yenu msije lia tu mmeonewa.. poleni sana kwa fikra hizoo za ushindi...

Visingizio mnavyo nyie Anti-Utd kwa mfano jana tumenyimwa goli lakini hamna utd fan anayepiga kelele juu ya hilo mngekuw nyie ndo ingekuwa story ya msimu mzima
 
Visingizio mnavyo nyie Anti-Utd kwa mfano jana tumenyimwa goli lakini hamna utd fan anayepiga kelele juu ya hilo mngekuw nyie ndo ingekuwa story ya msimu mzima

kwa kuwa mmeshinda mngefungwa tusingelala hapa..
 
[h=2]Fergie: Mourinho could take Utd job[/h] Sir Alex Ferguson has suggested Jose Mourinho could take over as Manchester United boss in the future, backing the Real Madrid manager to succeed in any managerial role in the world.Read
 
[h=1]Mexican Crime Rate Drops when Chicharito is Playing[/h]
Research from Mexico has shown that whenever Manchester United striker Javier ‘Chicharito' Hernandez is playing, the average crime rate across the country drops.
 
This is Alex Ferguson's 200th European Cup/CL match as Man Utd manager. W110-D51-L38. Lifted two Champions League trophies - 1999, 2008."
 
Hongereni waku khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee msalimieni BJ and Co. Mumuulize lini Eqlypssssssssss atatoka ICU khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
C_71_article_1595334_image_list_image_list_item_0_image.jpg


ITS THE MOTHER OF ALL DERBIES


COME ON UTD!!
 
Back
Top Bottom