Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi sidhani kama Mike ana kosa.
Tatizo ni aina ya beki tuliyonayo sasa.

Evans na Rio siyo wa kutegemea kabisa.
Vida anarudi j5, Smalling na Jones wanaweza kumpa sapoti Vida. Ingawa pamoja na kuhitaji namba 6, tunahitaji namba 4 na 5 wa maana pia.

Tatizo hapa ni beki namba 4 (beki mkabaji) ndo hatuna kwa sasa, kazi ya beki 4 ni kucheza mipira yote ya hatari at first na ndo mana beki 4 huitwa dog figter, na kazi ya beki 5 ni kuclear na kucheza mipira ya hatari at second time baada ya beki 4 kupunguza makali ya hatari. Tatizo Evans na Rio wote ni mabeki 5 so lazima wachanganyane tu kozi wote si mabeki wakabaji.
 
Waamuzi wameibeba Reading timu ya Royal lile limevuka kabisa ingekuwa game timu kubwa kwa kubwa kusingekalika hii utaona haitoongelewa sana.

Hapa kina Wacha Viper kashengo et al., hawawezi kuongea pia. Lakini ingekuwa upande wa United, mapovu yangewatoka.
 

Attachments

  • 16c37dd07e1e6d88d2143e1211ce389f.jpg
    16c37dd07e1e6d88d2143e1211ce389f.jpg
    45.7 KB · Views: 19
Last edited by a moderator:
Tatizo hapa ni beki namba 4 (beki mkabaji) ndo hatuna kwa sasa, kazi ya beki 4 ni kucheza mipira yote ya hatari at first na ndo mana beki 4 huitwa dog figter, na kazi ya beki 5 ni kuclear na kucheza mipira ya hatari at second time baada ya beki 4 kupunguza makali ya hatari. Tatizo Evans na Rio wote ni mabeki 5 so lazima wachanganyane tu kozi wote si mabeki wakabaji.

Ndiyo maana nimesema Vida akirudi, tatizo litaisha. Ingawa bado tutahitaji kuwa na mabeki wakali wa akiba.
 
Tatizo hapa ni beki namba 4 (beki mkabaji) ndo hatuna kwa sasa, kazi ya beki 4 ni kucheza mipira yote ya hatari at first na ndo mana beki 4 huitwa dog figter, na kazi ya beki 5 ni kuclear na kucheza mipira ya hatari at second time baada ya beki 4 kupunguza makali ya hatari. Tatizo Evans na Rio wote ni mabeki 5 so lazima wachanganyane tu kozi wote si mabeki wakabaji.

Hamna timu mkuu Wacha utukutu bila brown envelopes na Jeshi la kukodi chijui mngekuwa wapi .. .. nyie ndio tunaita mashabiki koko HAMTAFIKA POPOTE MWAKA HUU ... .... TUTAPIGA HESABU MWEZI MAY .. ... .. KHE KHE KHE KHE KHE KHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

BTW ukiona Inzi wanaingia kwenye timu yako au kushabikia fahamu kuna uchafu na uvundo huko ndani ... ... .. ... ..
 
Nasikia mnabebwa na mbeleko bahasha zinafanya kazi na mzee Fungie .. .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Naona bado una hangover ya Michuuuuuuu.
 

Attachments

  • cc315bc9024a692758305fdf33042485.jpg
    cc315bc9024a692758305fdf33042485.jpg
    30.9 KB · Views: 18
  • a81c00f364bf93775dac1b0aa16c8b7c.jpg
    a81c00f364bf93775dac1b0aa16c8b7c.jpg
    22.5 KB · Views: 16
Nasikia mnabebwa na mbeleko bahasha zinafanya kazi na mzee Fungie .. .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Michu!!! Michu!! Leo lazima umuote huyu mtu na utaweweseka sana shabiki wa timu ya vilaza.Hakuna bahasha wala barua.
 
Hamna timu mkuu Wacha utukutu bila brown envelopes na Jeshi la kukodi chijui mngekuwa wapi .. .. nyie ndio tunaita mashabiki koko HAMTAFIKA POPOTE MWAKA HUU ... .... TUTAPIGA HESABU MWEZI MAY .. ... .. KHE KHE KHE KHE KHE KHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

BTW ukiona Inzi wanaingia kwenye timu yako au kushabikia fahamu kuna uchafu na uvundo huko ndani ... ... .. ... ..

Bila shaka malaria yamekupanda kichwani, kwa kifupi ili timu iwe kwenye nafasi nzuri ya kushinda ubingwa lazima first round imalize ikiwa na point 40 au zaidi na hadi sasa uwezo wa arsenal kufikia hizo point ni ndoto nyi subirini may mhesabiane point na Tot za nafasi ya 4 au 5 huko
 
Hamna timu mkuu Wacha utukutu bila brown envelopes na Jeshi la kukodi chijui mngekuwa wapi .. .. nyie ndio tunaita mashabiki koko HAMTAFIKA POPOTE MWAKA HUU ... .... TUTAPIGA HESABU MWEZI MAY .. ... .. KHE KHE KHE KHE KHE KHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

BTW ukiona Inzi wanaingia kwenye timu yako au kushabikia fahamu kuna uchafu na uvundo huko ndani ... ... .. ... ..

Chifu, mbona unakuwa na akili kama haka kamnyama.
 

Attachments

  • bbc4e96bc47212b5fc3de4069b96daa5.jpg
    bbc4e96bc47212b5fc3de4069b96daa5.jpg
    30.9 KB · Views: 19
Kawaida yao ndio njia pekee ya wao kujifariji

Tujifariji ki vipi? Mbona mnasahau mapema, mwaka jana mlikuwa mnamsema Judas vibaya na mwaka huu mnamtukuza chacha wakujifariji ni nani kama sio nyinyi ambao mnategemea bahasha zaidi?

Leteni matokeo basi ya kabumbu lenu ... .. . ... naona Belo hana raha pale pressure inapanda na kushuka anachubiri kipenga cha mwisho .. ... wapi scores damn it! Au mnacheza netball leo?
 

Attachments

  • 0d9edce430b996beafc1fdf52787eb9c.jpg
    0d9edce430b996beafc1fdf52787eb9c.jpg
    35.5 KB · Views: 19
  • 4334f02a76d8f25c4c307baf437f7d77.jpg
    4334f02a76d8f25c4c307baf437f7d77.jpg
    31.7 KB · Views: 20
  • 7be4990cb30068e680faccf654c8d62f.jpg
    7be4990cb30068e680faccf654c8d62f.jpg
    45.2 KB · Views: 18
  • 5b3dcf312aed27383a6a5e85e5b56788.jpg
    5b3dcf312aed27383a6a5e85e5b56788.jpg
    26.7 KB · Views: 17
Tujifariji ki vipi? Mbona mnasahau mapema, mwaka jana mlikuwa mnamsema Judas vibaya na mwaka huu mnamtukuza chacha wakujifariji ni nani kama sio nyinyi ambao mnategemea bahasha zaidi?

Leteni matokeo basi ya kabumbu lenu ... .. . ... naona belo hana raha pale pressure inapanda na kushuka anachubiri kipenga cha mwisho .. ... wapi scores damn it! Au mnacheza netball leo?

Mnamwota bado?
 

Attachments

  • 2fbabbc40da1302c00749f8b459a7edb.jpg
    2fbabbc40da1302c00749f8b459a7edb.jpg
    12.5 KB · Views: 25
Tupeni matokeo bana wacha neni na utukutu, huku kwetu wamekata umeme khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom