mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Mimi sidhani kama Mike ana kosa.
Tatizo ni aina ya beki tuliyonayo sasa.
Evans na Rio siyo wa kutegemea kabisa.
Vida anarudi j5, Smalling na Jones wanaweza kumpa sapoti Vida. Ingawa pamoja na kuhitaji namba 6, tunahitaji namba 4 na 5 wa maana pia.
Tatizo hapa ni beki namba 4 (beki mkabaji) ndo hatuna kwa sasa, kazi ya beki 4 ni kucheza mipira yote ya hatari at first na ndo mana beki 4 huitwa dog figter, na kazi ya beki 5 ni kuclear na kucheza mipira ya hatari at second time baada ya beki 4 kupunguza makali ya hatari. Tatizo Evans na Rio wote ni mabeki 5 so lazima wachanganyane tu kozi wote si mabeki wakabaji.