Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,067
- 43,498
Hakika,Hawa jamaa wangekuwa wanaongoza ligi tungehama mitaa kushinda kamechi kamoja wanajiona wana timu nzuri sana.
Mind the gap....Kwamba wewe ndio utuambie mwisho wa kujadili jambo flani kwenye uzi wetu?
Nenda kwenye Uzi wenu ukawapangie akina Malafyale sijui nani
Hata chengesha bwege ina possession kubwa, lakini hoja ya Chief, PTER et. AL ni ufundi, mipango, game plan, mbinu (kulingana na wachezaji waliokuwepo, matazamio ya mechi n.k) OGS alimfunika Klop
Huyu kijana Scott nilishamtabiria makubwa,kifupi huyu nikimuangalia namuona Scholes mpya anakujaScott McTominay has completed 15 take-ons in the league this season, more than: Mohamed Salah (14); Serge Gnabry (14); Sadio Mané (13); Leon Bailey (12); Sergej Milinkovic-Savic (11); Riyad Mahrez (10)
Dah niliteseka Sana
Umeambiwa tactically. United aliwahi kumwondosha Barcelona Uefa kwa kumtandika 0: 1nyumbani kwake wakati Barca akipossess 81% against 19% za United.Ivi Mimi na wewe tuliangalia Mechi tofauti au?
Mapenzi Mengine bhana!
FT:
Man Unite Liverpool 32 Possession 68 7 Shots 10 2 Shots On Target 4 509 Touches 842
View attachment 1247844
299 Passes complete 652
Tunaisubiri hiyo Tactical ije ifanye kazi tena ANFIELD.
Hawa jamaa wangekuwa wanaongoza ligi tungehama mitaa kushinda kamechi kamoja wanajiona wana timu nzuri sana.
Mind the gap....
Hivi watu uwa awamzungumzii huyu mchezaji au mie nina jicho lingine ninapoangalia mpira huyu
Thomas Partey
Stats zake ziko hivyoHivi watu uwa awamzungumzii huyu mchezaji au mie nina jicho lingine ninapoangalia mpira huyu
Thomas Partey
Hivi watu uwa awamzungumzii huyu mchezaji au mie nina jicho lingine ninapoangalia mpira huyu
Thomas Partey
Achana na huyo dully hajui mpira. Babu sari wakati akiwa chelsea kila match alikuwa anaongoza ball position still chelsea ikawa inafungwa au ushindi kwa mbinde.
Kushinda match ni mbinu. Kama ulivyo sema Morinyo, conte, simion ushindi kwao ni mbinu sio ball position.
Ungejua tu ametamka jicho la 3 kupiga watu vijembe wala usingemsifia.Kwa mawazo yangu siamini sana kwenye stats za mchezaji. Kwa sababu zifuatazo:-
Aina ya ligi anayocheza:- Mchezaji anaweza kuwa na stats nzuri kwenye ligi ambayo haina upinzani mkali, akahamia kwenye ligi ngumu akawa wa hovyo.
Mfumo wa timu:- Mchezaji chini ya kocha flani na mfumo wake akawa moto stats za kuridhisha akahamia timu nyingine mfumo tofauti akawa chini ya kiwango mfano Alex sanchez.
Mdau anayesema kumtazama mchezaji kwa jicho la tatu namuunga mkono, sio kubase sana kwenye stats.
Nadhani ndio wanachokifanya mascout wanaangalia zaidi ya stats za mchezaji haswa kwenye mashindano tofauti tofauti mfano club bingwa anapokutana na timu nje ya league yake.
Majeruhi, na kwenye press conference amedokezea leo tunapanga watoto,Hivi leo wakuu Ole ataingiaje??
Nimepita kwenye Forum za mabeberu,wengi wanataka baadhi wachezaji wapumzishwe..kama James,Martial,Rashford,Scott
Si tuingize full mziki tu??..au shida iko wapi??
Na Lampard pia naye niliona anasema atawapa nafasi ambao hawajapata game time kubwa season hii..Kumbe basi tusiwe na expectation kubwa sana kwenye hii mechiMajeruhi, na kwenye press conference amedokezea leo tunapanga watoto,
Kama ya leo inataka uwe na uvumilivu kuiangalia.
hawa wote wanaweza wakakaa bench na tukashinda.Hivi leo wakuu Ole ataingiaje??
Nimepita kwenye Forum za mabeberu,wengi wanataka baadhi wachezaji wapumzishwe..kama James,Martial,Rashford,Scott
Si tuingize full mziki tu??..au shida iko wapi??