radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Haiwez kuwa habar bila kumhusisha aliekuzidi si ajabu uchafu huu unakuja hapa unapiga halafu?
Haiwez kuwa habar bila kumhusisha aliekuzidi si ajabu uchafu huu unakuja hapa unapiga halafu?
It has to be..Another away win? View attachment 1246424
vip kwani imekuuma sana mkuu, pole sikutegemeaHaiwez kuwa habar bila kumhusisha aliekuzidi si ajabu uchafu huu unakuja hapa unapiga halafu?
Kama una Brandon Williams, Young wa nini?
Hivi mnatumia app ipi kuangalia mpira Norwich city vs Man Utd kupitia simu wakuu?
Live Football Tv mkuu. |
Anaetuweka kwenye wakati mgumu ni kocha,mmiliki au wachezaji mechi haionyeshwi kwenye baa,hotel,logi, tv station.
Inatukosti Sana washabiki hatujazoea ujinga. Kitimu kidogo Kama aseno kinaonyeshwa, man utd tunakataliwa. Ni upuuzi sijawahi ona
Nakushauri usitazame huu mpira mkuu,nimetazama dakika 12 nimepata kichefuchefu. Ole sijui anafundisha nini hawa vijana wake,utumbo mtupu. Hata wakiwa na mpira huoni kitu wanafanya. |
Nakushauri usitazame huu mpira mkuu,nimetazama dakika 12 nimepata kichefuchefu.
Ole sijui anafundisha nini hawa vijana wake,utumbo mtupu. Hata wakiwa na mpira huoni kitu wanafanya.
Utafikiri Yanga mhh
Hamna timu hapa mkuu. |