Umemaliza..Vipi kuhusu future....???? Mwisho wa msimu, 2 to 5 years to come?
Kwamba mchezaji wa United aitamani Leicester au Cristal Palace kisa kwa sasa wanafanya vizuri
Akina Kante, Drinkwater waliacha timu yao ikiwa bingwa mtetezi, wakaenda Chelsea
Si kwaPSG have offered Neymar to Manchester United. One year Loan deal, no obligation to buy. Loan fee €25m. United would've to pay 100% of his wages (€560,000). No response from United yet.
Ungemalizia walipofika huko Chelsea waliendelea kubeba makombe pia..Vipi kuhusu future....???? Mwisho wa msimu, 2 to 5 years to come?
Kwamba mchezaji wa United aitamani Leicester au Cristal Palace kisa kwa sasa wanafanya vizuri
Akina Kante, Drinkwater waliacha timu yao ikiwa bingwa mtetezi, wakaenda Chelsea
Timi inazidi kufa hii, Huyo ozil hastahili kuchezea team ya United.. United hii inahitaji agressive players wa kufia uwanjani na sio huyo "Mpemba" Ozil... Mtu lonyolonyo Kama Ozil hatufai
Msimamo wangu Ni ule ule "Mourinho a.k.a Nduli" Ni moja ya makocha wa hovyo... Kuendelea kufanya vibaya hakumfutii ubaya wake na Mimi suwezi futa ubaya wake....Siku zote ulikuwa unasema timu ina kila kitu isipokuwa tatizo ni Morinho, imekuwaje tena?
Gervinho na karamoh ni moto huyu dogo karamoh kakuzwa na inter kisha kauzwa parma leo anawaumiza kafunga goli la kwanza katengeneza goli la pili ametulia sana upande wa darmian upo vizur sana
Aisee viungo wetu wangekuwa wanacheza kama Kovacic' tu hivi wa Chelsea dunia ingesimama..
Tunahitaji viungo wa design hii..skills,dribbling,good passing,speed etc..
Jana darmian kacheza vizur sana upande wake inter wameshindwa kuingia kwenye boxNimemkumbuka sana Lui van Gal japo tulikuwa hatupati matokeo lakini at least hata ball possession ilikuwa inaridhisha lakini sasa hivi kila kitu hovyo
Juzi nilikuwa nacheki game ya Leicester nikawa nawaza kama ndiyo Man United angekuwa anacheza na Soton then wawe vile vile na red card hata ushindi sidhani kama tungepata
Huyo Darmian alikuwa United lakini alionekana hajui kitu hapo Parma anacheza vizuri, timu hii inasikitisha sana ngoja tuone na Leo itakuwaje
Pogba hayupo mkuu? Scott namkubali ila bado sana kwa level ya hii timu panatakiwa kiungo mzoefu kuanzia 26 years ndio yaleyale ya arsenal na matteo wao madogo wazur ila sio level za wakina kovasic ambao tayar wameiva chelsea viungo wao wengi wazoefu lampard hapati shida sasa pereira tenaMid ya Tominay na Fred + Pereira imeanza kusettle soon tutaona mwanga
Kovacic yule jamaa ni mnyama.Aisee viungo wetu wangekuwa wanacheza kama Kovacic' tu hivi wa Chelsea dunia ingesimama..
Tunahitaji viungo wa design hii..skills,dribbling,good passing,speed etc..
Acha tuone..Mid ya Tominay na Fred + Pereira imeanza kusettle soon tutaona mwanga
Ungemalizia walipofika huko Chelsea waliendelea kubeba makombe pia..
Kila la kheri Chelsea
Ratiba ya Leo ya EPL ni ya kipuuzi kwelikweli..
Hawa waingereza nao kumbe wanakunywa gongo!!!!..
Unapangaje mechi tatu muda mmoja na ndani yake kuna big match??
Kumbe kamanda wewe ni mshabiki wa man u pole Sana kijana.
- liverpool na totenham wiki hii wamecheza jumanne na jumatano hivyo basi ulikuwepo uwezekano wa mechi yao kuchezwa saa 8:30 kwa saa za Afrika Mashariki
- kati ya arsenal na manchester united mmoja wao akacheza saa 11 jioni.
- halafu mwengine akamalizia saa 1:30 usiku.
siku hizi mpira wa man utd unatia stress kuangalia na kibaya zaidi unakuta pembeni yako kuna big match ya liverpool.
kiupande wangu mara naipotezea mechi ya man utd kama ilivyokuwa juzi europa league.