Tutolee bangi zenu ninyi.. Yaani Samata alingane na Rashford??! ... Acha dharau.
Najua tunamsakama Rashford ila Ni mchezaji ambae ameshaprove uwezo wake EPL akiwa kwenye team "Mbovu" .. ameshazichana chana almost team zote kubwa za EPL..
Na kwa taarifa yako Manchester United ina matatizo ya ya kitimu kuliko mchezaji mmoja mmoja .. Hujiulizi kwa nini Micktaryan, Lukaku, Memphis Depay, Rooney , Blind, Di Maria , Falcao , na wengine walionekana Flop na hawana uwezo wakati wakiwa United?? Ila baada ya kutoka United almost wachezaji wote wanafanya vyema .. Je hapo tatizo Ni nini ....
Unataka kuniambia Huyo Samata Ana uwezo exceptional kuwazidi hao wachezaji woooote ... Sitaki kuamini Samata Ana kipaji kumshinda Di Maria au Depay... Narudia Tena Huyo Rashford akitoka United kwenda timu yoyote uwezo wake utaonekana Kama tunavyoona uwezo wake wachezaji wengine ambao walionekana Flop walipokuwa United.