Sasa wamecheza mpira gani kama hawakuanzia kwenye academy?
Tukubali rashford anachukiwa kwakuwa anachezea manchester united na anachezea timu yenye pressure na matokeo kipindi hicho hao wakina mane na salah ktk miaka yao 21 hawakuwepo kwenye raman ya mpira tena rashaford kaanza na ligi ngumu si bora hao wameanza kupata uzoefu huko pembeni na kuzoea pressure kisha kuja kusukwa hapo liverpool
Ktk umri wa miaka 21 wa rashford ana goli nyingi kuwashinda hao wakomavu
Rashaford alishindanishwa na madogo kibao wanaochipukia ktk umr wake wengi wamepotea
Wakina iwobi wakina ihenacho wakina solanke wakina asensio ambao walikuwa na uzoefu wa kucheza kwa mikopo huko real mallorca idadi ni ndefu lakin dogo yupo tu aliemuacha rashford ktk utokaji wake ni mbape
Kuna takwimu hapo ktk umr wa miaka 21 wa rashford alan sherer 22
Alan Shearer

Games: 118

Goals: 23
Marcus Rashford

Games: 120

Goals: 31