Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Phil Jones kaumia lini na wapi?
Huyu kajitegesha makusudi tu aumie
uyo jamaa akipitiwa na upepo wa mama mchungaji anapata majeruhi, namlaumu OGS kwa kumpa mkataba mpya huyo bwegee.
ikiwa kocha wetu tokea mwanzoni alikuwa na mipango ya kumrudisha tuanzebe basi hapakuwa na umuhimu wa kumjaza fedha za bure sheikh phil jones.
 
uyo jamaa akipitiwa na upepo wa mama mchungaji anapata majeruhi, namlaumu OGS kwa kumpa mkataba mpya huyo bwegee.
ikiwa kocha wetu tokea mwanzoni alikuwa na mipango ya kumrudisha tuanzebe basi hapakuwa na umuhimu wa kumjaza fedha za bure sheikh phil jones.
Ole kampa mkataba huyo halafu kamtoa kwa mkopo Smalling 😂😂😂

Nina sababu nyingi sana za kuamini Ole kazi ya kuifunza MUFC ni kubwa sana kwake.
 
Wood
Screenshot_20191018-092025.jpeg
Screenshot_20191018-091934.jpeg
 
Jamaa anazingu sana kila mara anatuletea ma updates yake ya kifala fala kweli Massimilliano Allegry atakuwa basha wake.
Na huyo jamaa anayesema asipangiwe, kuna kipindi Liver walikuwa wanazingua.... Kuna jamaa akatupia vijembe kwenye jukwaa lao, alipandisha mori balaa
 
Huyu jamaa sijui huwa anaumia wapi maana hachezi lakini kwenye injury list yupo aliumia lini ?
uyo jamaa akipitiwa na upepo wa mama mchungaji anapata majeruhi, namlaumu OGS kwa kumpa mkataba mpya huyo bwegee.
ikiwa kocha wetu tokea mwanzoni alikuwa na mipango ya kumrudisha tuanzebe basi hapakuwa na umuhimu wa kumjaza fedha za bure sheikh phil jones.
 
Kulikuwa hakuna timu yenye kumuhitaji jones lakini smalling kuna timu zilionesha interest ya kumuhitaji so ilikuwa lazima yeye aende kwa mkopo na ukizingatia timu ilikuwa na ulazima wa ku offload baadhi ya wachezaji na moja kati ya eneo lilokuwa na watu wengi ni centre back
Ole kampa mkataba huyo halafu kamtoa kwa mkopo Smalling

Nina sababu nyingi sana za kuamini Ole kazi ya kuifunza MUFC ni kubwa sana kwake.
 
uyo jamaa akipitiwa na upepo wa mama mchungaji anapata majeruhi, namlaumu OGS kwa kumpa mkataba mpya huyo bwegee.
ikiwa kocha wetu tokea mwanzoni alikuwa na mipango ya kumrudisha tuanzebe basi hapakuwa na umuhimu wa kumjaza fedha za bure sheikh phil jones.
Huyu jamaa jones kamfunga Ole asifurukute dhid yake!
Mtu hachez hlf anaumia, anaonekana tu kweny majukwaa akiwa kavaa suti.
Anacheza under 24 labda.
 
Back
Top Bottom