Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20191019-174946.png

Kabla atujacheza kesho hali ndio hiyo hadi sasa
 
Wachezaji wa tot kwa ujumla wanaonekana waemchoka hawana ar ya ushindi ukiwatizama kwa jicho la tatu unaona kawa ni wachezaji wasiokuwa na furaha ndan yao nahs kuna kamgogoro ka ndan pale tot sio iv iv
 
Wachezaji wa tot kwa ujumla wanaonekana waemchoka hawana ar ya ushindi ukiwatizama kwa jicho la tatu unaona kawa ni wachezaji wasiokuwa na furaha ndan yao nahs kuna kamgogoro ka ndan pale tot sio iv iv
 
Brendan Rodgers anaipeleka Leicester City nafasi ya pili...timu alichukua msimu uliopita katikati tena ila anafanya miujiza, Kweli Ole timu imemshinda....sijaona timu ya kuifunga goli 3 maana sisi wenyewe tupo vibaya
 
bangi za usiku zenye ukweli ndani yake

wilfred ndidi > scott mctominay
vardy > rashford
Pereyra > wan bissaka kwa mpira wa kushambulia
madison > mata na lingard
jonny evans = lindeloff
tielemans > fred, matic
ben chilwell >luke shaw, ashley young
schmeichel = degea wa nyakati hizi.
kikosi cha kwanza cha leicester city kimejaza wachezaji wengi wenye ubora ambao huwezi kuwakuta kwenye kikosi cha manchester united.
bila ya kusahau mbina na uzoefu wa mwalimu wao brendan rodgers
 
Brendan Rodgers anaipeleka Leicester City nafasi ya pili...timu alichukua msimu uliopita katikati tena ila anafanya miujiza, Kweli Ole timu imemshinda....sijaona timu ya kuifunga goli 3 maana sisi wenyewe tupo vibaya
Technically Ole bado sana..Nilijiuliza ni kwa namna gani tulishindwa kumaliza Top four msimu ulioisha kwa ile run yake ya mechi za mwanzo??..nikapata jibu jepesi kuwa technically,tactically and strategically Ole anapwaya..Nampa time though ya kuniprove wrong
 
bangi za usiku zenye ukweli ndani yake

wilfred ndidi > scott mctominay
vardy > rashford
Pereyra > wan bissaka kwa mpira wa kushambulia
madison > mata na lingard
jonny evans = lindeloff
tielemans > fred, matic
ben chilwell >luke shaw, ashley young
schmeichel = degea wa nyakati hizi.
kikosi cha kwanza cha leicester city kimejaza wachezaji wengi wenye ubora ambao huwezi kuwakuta kwenye kikosi cha manchester united.
bila ya kusahau mbina na uzoefu wa mwalimu wao brendan rodgers
This is true my brother
 
bangi za usiku zenye ukweli ndani yake

wilfred ndidi > scott mctominay
vardy > rashford
Pereyra > wan bissaka kwa mpira wa kushambulia
madison > mata na lingard
jonny evans = lindeloff
tielemans > fred, matic
ben chilwell >luke shaw, ashley young
schmeichel = degea wa nyakati hizi.
kikosi cha kwanza cha leicester city kimejaza wachezaji wengi wenye ubora ambao huwezi kuwakuta kwenye kikosi cha manchester united.
bila ya kusahau mbina na uzoefu wa mwalimu wao brendan rodgers
Mkuu Spurs unawazungumziaje??..kuna watu tulikuwa tunamuhusudu sana Pochetino...maybe from there we can learn something
 
Technically Ole bado sana..Nilijiuliza ni kwa namna gani tulishindwa kumaliza Top four mwaka jana kwa ile run yake ya mechi za mwanzo??..nikapata jibu jepesi kuwa technicall,tactically and strategically Ole anapwaya..Nampa time though ya kuniprove wrong
Hata Mimi nilishangaa Sana zile gamu 5 za mwisho sijui alimaliziaje, ila ndo ambavyo ameanza ligi msimu huu... Anapwaya Sana kwenye gemu plan
 
Mkuu Spurs unawazungumziaje??..kuna watu tulikuwa tunamuhusudu sana Pochetino...maybe from there we can learn something
dah! sijawahi kuangalia mechi zao msimu huu lakini kiukweli matokeo yao hayafurahishi hata kidogo, nilitegemea usajili wao wa gharama walioufanya msimu huu ungeliongeza ubora wa kikosi chao na kuzidi kuleta ushindani kwa man city na liverpool hatimaye imekuwa ni kinyume chake.

labda kocha amechoka kimbinu.
labda wachezaji muhimu wamechoka.
pengine pia wachezaji wamemchoka mwalimu, kama kuna ukweli wowote basi wamtafute mourinho kabla ya kumalizika kwa round ya kwanza.
 
Wachezaji wa tot kwa ujumla wanaonekana waemchoka hawana ar ya ushindi ukiwatizama kwa jicho la tatu unaona kawa ni wachezaji wasiokuwa na furaha ndan yao nahs kuna kamgogoro ka ndan pale tot sio iv iv
Sera ya ulipaji mishahara pale Spurs inaua morale ya timu

Danny Rose ana miaka 28 kama sio 29 ila mshahara yupo £65,000 kwa Wiki mshahara ambao alikuwa anatakiwa awe anachukua akiwa Na miaka 20 hadi 23 hivi na ni hivyo kwa timu nzima isipokuwa wachezaji kama wanne hivi ndio ambao wamepewa mishahara ya hadhi yao

Na hata usajili Spurs hawajafanya usajili wa nguvu kwa miaka mingi
 
Back
Top Bottom