Maandishi yako yanatia huruma kama wahanga wa mlipuko wa Moro. Sasa hivi hata umbea umepungua majukwaa mengine. Leo mpk umemkubali Abraham sasa ngoja mkutane naye muone atakachowafanya.
Na ukishaona mtu kama (degea ambae kiuhalisia sio mtu wa media sana).. Anatoka na kuongea na maneno makali kama yale jua kuna tatizo kubwa ndani ya timu.
Sasa naanza kuzikumbuka zile comeback za Morihno, na ile substitution yake pendwa na Fellaini .
At least tulikua na matumaini yakupata dro tim ikiwa nyuma hata goli mbili zinarudi, uyu ndugu yake Olesendeka kafail kila kitu namashaka na uwezo wake.
Update :Tumecheza mechi 8 kati ya 38 tumeshinda mechi 2 draw mechi 3 tumefungwa mechi 3
Tumefunga magoli 9 tumefungwa magoli 8
Liverpool wametuacha point 15 ,Man City ametuacha point 7,Arsenal ametuacha point 6