Siti zao zimekuwa reserved kwa kampuni fulani, wamehamia Siti nyengine.
Wenye mikeka wanasonya......... Wengine wameenda kutoa mingine mipya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpira unajua kustaajabisha sana. Usishangae kesho MUFC ikapigwa tano na Newcastle halafu MUFC ikaja kumchabanga sita bila Liverfools. |
Nimesoma Tena Ni expansion ya viti vya staff zaidi, wameongeza eneo sehemu wanazokaa makocha.Why wapewe iyo kampuni
Na kama wamehamia siti nyingine mbona sijawah waona toka fergie asepe
Ulikuwa wapi , nipo uku kitambo ha ha
Ikitokea ivi itakuwa furesh sana ..wale liver uwezo wa kuwamudu munao kabisa ..kesho pigweni ili mupate khasira za kuwaburuza Liverpool ..mimi nitawaunga mkono ..mkipenda na mguu kabisa
Mpira unajua kustaajabisha sana. Usishangae kesho MUFC ikapigwa tano na Newcastle halafu MUFC ikaja kumchabanga sita bila Liverfools.
Duh mkuu ww ni unang'ata na kupulizaaaIkitokea ivi itakuwa furesh sana ..wale liver uwezo wa kuwamudu munao kabisa ..kesho pigweni ili mupate khasira za kuwaburuza Liverpool ..mimi nitawaunga mkono ..mkipenda na mguu kabisa
Duh mkuu ww ni unang'ata na kupulizaaa
HahaaaaaaaaaHeri kipindi cha Mourinho angalau nilikuwa nampenda kocha
Sasa sa hivi huo Ole simkubali,wachezaji hakuna hata mmoja nayemkubali....sijui hata nabaki kwa ajili gani mammmae zao wale wanaenda uwanjani kukimbizana tu kubabake zao
Dogo anajionaga superstar kumbe hakuna kitu.Na wewe leo ukaze basi daaaView attachment 1224666
Dogo anajionaga superstar kumbe hakuna kitu.
mmempa kichwa sana tatizo new ronaldo kumbe ni new bentekeNa wewe leo ukaze basi daaaView attachment 1224666
Akaze nini, kiuno?? 😂 😂Na wewe leo ukaze basi daaaView attachment 1224666
LEO WANA MAN U TUWE NA IMANI TUNASHINDA NIMEIANGALIA NEWCASTLE YA STEVE BRUCE NI WABOVU BALAA KULIKO SISI... WANACHEZA 5-4-1 MUDA WOTE WAKO NYUMA.. NINA IMANI TUKIPATA KA GOLI KAMOJA KAMA KAWAIDA YETU MSIMU HUU WAKUFUNGA KAGOLI KAMOJA BASI HAWA JAMAA HAWAWEZ KUKASAWAZISHA... ILA WAKISAWAZISHA TU BASI ITAKUWA SARE YA 1-1 MAANA MAN U KWA SASA HATUNA UWEZO WA KU SCORE GOLI ZAIDI YA 2 UKIACHA ILE MECHI YA CHELSEA TU TULIOMGONGA 4-0.. KWAHIYO LEO MAN U KUSHINDA 1-0 AU MECHI SARE 1-1
Kila timu inayokutana na MUFC inataka kuonyesha makali yake. Usishangae Newcastle wakageuka Man city. #9 yetu Rashford?😂😂 | |
Divock Origi, Rhian Brewster and Harry WilsonUle utatu wake kule mbele hauna hata mbadala akiumia mmojawapo