RASHFORD:- "Kukimbia uwanjani kunachosha hapo hapo inakulazimu upige shuti kali, nasema ukweli mimi nilisukumiwa kwenye football academy sina kipaji cha mpira, mpira tuwaachie wakina Messi na Ronaldo.
Nilitaka nisome niwe engineer, engineer wa majengo moyo hauko kwenye mpira, nimeshavuna pesa naombeni mashabiki wa man u mniruhusu nikafungue kampuni ya ujenzi.
Ni aibu sana nimeshindwa kufikisha magoli 20 kwa msimu, nashukuru pogba umepona tukupe lawama, lukaku umeniacha kwenye mataa siwezi kufunga natamani nipewe pasi ndefu za kutoka nje nikwepe lawama.