Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Woodward hawezi kusajili mchezaji mzuri hivyo
Huyo naye kiwango average. Wachukue Sacho na Neres kutoka Ajax, viungo wa kati haohao tutapenya. Type ya Daniel, Sancho, Neres, Joao, Junior hawa madogo ukiwa nao watatu mtakimbiza
 
Rashford kama anaangalia mechi ya Real na Club Brudge kuna forward anaitwa Dennis anawapa taabu sana beki ya Madrid
 
In AIBU KUBWA
Ilikuwa uporaji mkubwa sana.

Navyojua linesman tunaweza mtetea katika tight calls(accuracy inapokuwa shida mtu akizidi inches hivi) sasa yule kaiba kabisa sio alikosea
 
Ukitaka kujua tofauti ya kocha na mtia chachu utaiona kwa huyu Pochettino.

Tangu Eriksen aseme wazi anataka kuondoka amekuwa akimpiga bench na anampa nafasi kidogo na January atamuachia. Ila Ole anakomaa na Pogba tu.

Mchezaji akishaanza kusema anataka kuondoka anakosa ari ya kupambania timu.
 
Sahihi
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…