


Ni tanzania nzima niniTANESCO wapuuzi wamekata umeme hebu wakuu nipe link

rock city wame kata ila now umerud mdaTunaendelea kukazia ..Ile dua iendeleee rashford hana uwezo wa kufikisha bao 15 kwa msimu



Kule arsenal wanalalamika na ninyi munalalamika tuwaeleweje..![]()
Arsenal kwa Pepe walipigwa aisee.



I see a next Michael Carrick
Tumebahatisha![]()
I see a next Michael Carrick
Namkubali sana huyu dogo,akili yake ipo kwenye mpira tu. |