Anaweza akafukuzwa kabla hajanunua hao striker kulikuwa na free agent wengi (Fernando Llorente,Mario Mandzukic ,Frank Ribery )ambao wangeweza kuwasajili kwa mwaka mmoja wakaisaidia timu kwa muda.Ni ngumu sana kusajili mchezaji January
Andreas hakuna la maana alilolifanya so far tokea msimu umeanza na maamuzi yake ni ya kawaida sana uwanjani..Kwa quality alizo nazo Fred nadhani ana uwezo wakutoa services nzuri kumzidi lakini ndo hivyo..
Andreas hakuna la maana alilolifanya so far tokea msimu umeanza na maamuzi yake ni ya kawaida sana uwanjani..Kwa quality alizo nazo Fred nadhani ana uwezo wakutoa services nzuri kumzidi lakini ndo hivyo..
Hakuna sehemu Ole atapeleka hii timu kwa hali hii,Fred amefanya kazi kubwa kila anapopata nafasi lakini ndio hivyo tena. Ushindi wetu ni wa bahati katika kila mchezo.
Hakuna sehemu Ole atapeleka hii timu kwa hali hii,Fred amefanya kazi kubwa kila anapopata nafasi lakini ndio hivyo tena. Ushindi wetu ni wa bahati katika kila mchezo.
The spider mgonjwa au vipi?? Dah kwanini fred asingekaa na toney halafu pogba angepiga 10 Lingard apumzike au ndo mtu mwenye hatari zake akiwa hana mpira
.
Ok ngoja tuone kikosi cha arsenal pia hakitishi kabisa hata sub hamna kitu. Ole Masai.