Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Giovani Lo Celso ni majeruhi aliumia akiwa na timu ya taifa Argentina
Delle Alli nae alikuwa majeruhi aliumia wakati wa pre-season,moja ya sababu kubwa ya Spurs ku-struggle ni kuumia kwa Alli na Poch alikuwa anamweka benchi Eriksen sababu mind haikuwa sawa baada ya Eriksen kutamka anataka kuondoka na hakupata timu ya kumsajili kibaya zaidi Lo Celso ambaye ni replacement ya Eriksen nae akaumia
 
Hawa wakata nyasi (Rochdale) wakitudhalilisha leo inabidi Ole atimuliwe kabla hakujakucha..
Sitashangaa wakitupeleka matuta na kutolewa kama spurs maana washajua sasa ivi united ni kama rochdale.....na wao watabaki kuwa rochdale
 
Dhidi ya Rachadale leo, tutatoka kweli
Inasikitisha sana mpaka kwa Rochdale mnajiuliza,Hii tafsiri yake ni nini inaonyesha Manchester United sasa hizi haina mechi rahisi tena kila mechi kwenu nyie ni ngumu.
 
Dah Eti Tuamzebe Captain mbele ya Pogba, what a joke
. Huyu OGS sjui anawaza nini kwakweli. Kwa dharau hizi halafu anataka jamaa asign asign mkataba.
 
Huyu Ole ata apewe miaka 10 awezi kujenga team unacheza na katimu kama ata kupiga pasi za uhakika timu inashindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…