Nimecheck ile kitu... Mmemgonga mtu Kongolo... BIG sana AseeWakuu, naona hapa leo mnachezea kichapo tu. Ili kuficha aibu nawakaribisha kule kwetu tumemlamba mtu kiganja (5) mje tushangilie.
Yaa wanacheza na masikio waru kusikia kipenga!!!!! Ila naona huyu ref anawakaziandio shida ya hii timu kubebwa.
Ebana eee!!! Kile kidonda cha SAF cha adabu mbaya.....but kinaonyesha time ileile sawa na changu hiki kuwa kwa sasa ni Half Time!!!! Rooney aingie 2nd half atoke nani??
Ebana eee!!! Kile kidonda cha SAF cha adabu mbaya.....but kinaonyesha time ileile sawa na changu hiki kuwa kwa sasa ni Half Time!!!! Rooney aingie 2nd half atoke nani??
RVP na NANI watatoka wamechemka mbaya first half wamepata Goal attempt moja kwa 6 za spurs
2-1 dakika ya 50...Nani