Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

...Wamesepa wote lol! kama matokeo yatabaki hivi nitampitishia BJ chupa ya wine ili ajiliwaze najua saa hizi yuko hoi bin taabani
Pitisha 2 nitakuwa naye!!! Leo Arsenal kscheza na mabingwa wa ulaya nipe matokeo
 
Naona T"ham wamepaki Bus na wametoa na Matairi kabisa.... No movement at all....
 
RIO hana Kazi.... Bora atoke.....Defoe nae hana kazi.... hahahahahaaaaaaa
 
Mpira umeisha wameshinda kwa mara ya kwanza toka 1989 yule kijana anaitwa Mtotowamjini hatokuwa na cha kutusumbua
 
Game Over... Hamjapewa Penalty Poleni sana..... AVB is full of Joy..... Poleni sana watani....
 
Yuwapieeee...
Yuapi mamake harus aje apa tuangaike nae...
 
Back
Top Bottom