Timu iliyoshinda Championship huwa inaushindani mkubwa. Tatizo lako huujui mpira hata hilo hujawahi kuliona. Unabwabwaja tuChelsea level zenu ni championship ,muda utaongea ,
Unai kashapata presha tumemfata tweeter kaipata fresh , atapanga vzr sasa
Wewe mwenye Abraham jirud na willian hata kwa Everton mwenye Iwobi Kean Richardson humfikii ,ndio ujifananishe na kina auba laca pepe ?acha masihara Ollachuga ,
Norwich kapanda daraja unatoka naye 3-2 ,sasa kina Everton, wolves , Leicester sindio watakuua, hapo top 6, hubebi hata point 1
Luiz akiwa Arsenal lazma awe mzuri maana huko kwenu hakuna kama yeye.Nilishakueleza Luiz ni beki mzuri , ndio maana kila siku mnalalamika , na amekuja kama short term ,maana tunamvizia Dayot upemacano wa RB Leipzig, juzi kacheza vzr aerial dual ,kuanzisha mashambulizi, Midfield ya vijana aliyoweka emery ndio iliwapa wakati mgumu back line,
Lakin ukweli mnaujua mna beki mbovu ndio maana mnamlilia luiz kila siku , kwa mech alizocheza atatusaidia tena sana ,
Degea >kepa
Lindelof>Christensen/Rudiger
Maguire> Zouma/Rudiger
Shaw < Emerson/Alonso
Bissaka< Cezar
Scot Joginho/kante
Pogba> Kovacic
Lingard pulisic
Rashford Martial Greenwood> Tammy Abraham
Kimsingi hizi timu hazitofautiani sana ila Chelsea kwa ubora wa mchezaji mmoja mmoja wanaweza kuwa juu ya.united kwa mbali tu.
Ndio maana timu inahitaji Dof ili kuzuia Mambo Kama hayo yasitokee.Mwisho wa yote atakuja kocha atakayeona hata hao kina Rashford ni kimeo.
Unless fred/matic warudi kwenye kiwango, siwezi ona timu yetu ikicheza 4-3-3 maana mfumo huu pogba anakuwa kushoto na MCtominay anaenda kulia katikati inabidi likae jembe haswa la sivyo tunakuwa exposed. Kwenye 4-3-3 lingard pia atapumzika maana Sasa Hivi yupo kwenye form ya kipekee.Sijaona tunapotofautiana sababu hata ulichoandika wewe ni hichohicho Lukaku alifeli sababu mfumo anaomfaa ni tofauti na anaoucheza OGS
Issue ya uzito wa Lukaku imekuwa viral baada ya GNeville kuongea na source toka Italy ilisema Lukaku hatacheza game ya kwanza but I think you know Conte ni kocha wa aina gani,Lukaku angekuwa overweight asingethubutu kucheza timu ya Conte
I know OGS amebadili mfumo toka 4-3-3 kuja 4-2-3-1 ambao kwa maoni yangu huu wa sasa unatupa shida sana kwenye kutengeneza nafasi na game 2 zilizopita Pogba anakuwa liabilty kwenye timu,Its too early but OGS bora arudi kwenye 4-3-3 kuongeza stablity kwenye midfield na (Game against Wolves tulikuwa na 2 shots on target ,game against Palace tulikuwa na 3 shots on target) ukilinganisha na jinsi foward yetu ilivyo butu 5 shots on target ni ndogo sana kwenye mechi 2 tena against opponent hao.Lets wait after at least 7-8 games tutajua if 4-2-3-1 is better for us
Mkuu Ni pogba na AWB pekee wanaopata namba kwenye kikosi Cha 2017/18
Lukaku hajawahi kuwa deadwood kwenye premier league stats ziko wazi ,the issue ni OGS hamtaki
Namkubali OGS anavyoendelea kufanya clearence but alipaswa kuwa na altenative/short time altenative especially kwenye foward it will be disaster kama key 3 players wakipata majeruhi hali itakuwa mbaya sana.Currently Martial ni majeruhi ikitokea Rashford nae akapata injury ni disaster.United ilipaswa kusajili backup striker
hao wote walikuwa na vikosi imara kuliko watangulizi wakeMRUDISHENI MORINYOView attachment 1192872
Wachambuzi au wacha-MBUZI.Labda ile table msimamo tupindue juu chini,chini juu.Msimu huu Chelsea hamalizi juu ya Wolve.Wachambuzi wameiweka Chelsea kumaliza ndani ya top four kwa vigezo na Arsenal kumaliza nje ya top four
Hai make sense UTD kuwa kila siku inauza / kuwatoa on loan wachezaji wake wakati haina mbadala wake
Hivi ikitokea Martial na Rashford mmoja awe na kadi nyekundu {Straight Red Card} mwingine aumie goti, kule mbele atacheza nani?
Wana jamaa anaitwa greenguard
WachaWachambuzi au wacha-MBUZI.Labda ile table msimamo tupindue juu chini,chini juu.Msimu huu Chelsea hamalizi juu ya Wolve.
Pigia mstari.Wachasiyo ?
Hahahah\aaaHawazidi wa'4 hao wengine ni level ya DANIEL JAMES wetu.
Yaani Chelsea kupigwa 4-0 na hao akina Rashid we hukuona mtakavyoteseka season hii? ...
Huyo Kepa anafukuzana na kipa wa West ham kuruhusu magoli... labda awe kipa namba moja wa Spain ya London.
Zouma anamueka benchi P.JONES kule nje kwenye benchi kusogeza matako foleni ya sub.
-Uingereza lingard toka apate namba man u anaitwa, na sio tu kuitwa anacheza,Team yetu Shida ni kwamba kuna baadh ya vitu kocha wetu wa sasa anakosa na sion leo kesho kubadilika ...timu haina plan b au hata hyo A yenywe bado haiboreshwi na pia kocha anajaribu kutuaminisha vitu ambvyo sidhan kama ni sawa mfano kutuaminisha lingard ni bora kuliko mata na kutuaminisha matic hana nafas mbele ya mc tomy ukiachilia mbali hvo pia kocha anakosa saut mbele ya wachezaj na kocha anashndwa kuendesha timu kama kocha..Mfano kropp na pep wote ni makocha wawaz na hawaogop kufanya maamuz me naamin united ili turud kwny ubora inahitaj kocha anaejua DNA ya united kama ole ila awe bora kimbinu kuliko ole nafikili hilo litakuwa jambo sahih ila kutegemea lingard afungue timu iliyopak basi kama watford au newcastle sidhan kama kunatumaini huko mbele.....