Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa top 4 Degea alichangia sana kutukosesha kutukosesha
 
Game na Chelsea mlibahatisha tu hamkudeserve kushinda, kadri siku zinavyosonga mafuta na maji vitajitenga
 
Wan bissaka tunamchosha tu mtoto wa watu
Kuna Bissaka,James na Scott hawa ndio wanacheza kwa nguvu zote.

Pogba amepoteza mpira kizembe sana halafu utasikia eti waliacha kumsajili Bruno kwakuwa anapoteza sana mipira.

Hii timu kwasasa sio ya kujishughulisha nayo,itakuja kunifanya niviache vitoto vyangu bila baba😂😂

Sijui kama nitafuatilia tena michezo yetu kwa msimu huu,sijui.
 
Europa Alhamisi, Jumapili unacheza EPL.

Ikifika katikati ya msimu kuna michuano minne yote tight hapo ndo tutajua maana ya kuwa na experienced players.

Hapa ni mwanzo wa ligi, mechi ya tatu tunacheza hivi.

Nilishangaa sana kumuuza lukaku sina cha kwa mwambia solskjaer tunakaa kimya tu

Na tuliwaambi shida ya hii timu sio mourinho ni mfumo watu walionaga kama fala hivi mourinho hawez kumwacha herrera asepe kisha umpange pogba na scott

Martial kaumia shaw kaumia rashford na martial kama tunavyowajua mech 5 goli 1
 

😂😂😂

CC: Ollachuga Oc
 
Mwenzio msimu uliopita sijafikisha hata mechi 15 kuiangalia hii timu na msimu naangalia game tano za kwanza tu natemana nayo nasubiri big match nikazimie kabisa kibanda uzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…