Did Jesse Lingard score or assist a PL goal?
May 2018: no
Aug 2018: no
Sep 2018: no
Oct 2018: no
Nov 2018: no
Dec 2018: YES (4G 2A)
Jan 2019: no
Feb 2019: no
Mar 2019: no
Apr 2019: no
May 2019: no
Aug 2019: no
Sheria mpya inasema kuwa goli lolote halitakubaliwa ikiwa mkono ulihusika kugusa mpira.....na goli la gabriel lilionesha wazi kuwa mpira ulianza kushikwa kwanza kabla ya mfungaji hajaukwamisha wavuniLile goli halikuwa na tatizo lolote ila refa alilikataa kimakosa na hiyo ni kawaida tu kwenye Mpira refa kukataa Magoli halali na Akayakubali Magoli Batili ya offside au kushika kwa Mkono.
.
Siku hizi unaonyesha ukomavu.
Nilikuwa naingia humu mnatukanana asenyeto na chelwowo, nyumbu
Kiutani utani dgo atakuja kuwa bora sana.Mason Mount ni mgeni EPL lakini uwezo wake ni mara 100 ya lingard.
Pace Ni pale unapotangulia kumtungua wolves
Na Kasi Ni pale wolves anapokupiga kibinda nkoi
Kila la kheri ya kushuka darajaKiutani utani dgo atakuja kuwa bora sana.
Kila la kheri Chelsea
Hahaha sisi hata tukishuka daraja ..tutarudi na kubeba EPL wakati wewe bado utakuwa unaruka ruka tu..Kila la kheri ya kushuka daraja
Nilishawahi kuinsist humu kuwa mkabaji mzuri kabaki Matic peke yakeHao wana utani wa ngumi.Labda alisajiliwa kwa jina la Paul kwamba atakuwa kama Paul Scholes.Aisee lile pengo mbona tutakesha na mbaya zaidi Herera nae wamepiga bei.Kukaba,kukaba,kukaba.Watu watachukulia point katikati kisa wakukaba hakuna.Time is telling and will keep telling.
Lingard ni mchezaji anaebebwa na kutokea academy plus uzawaDid Jesse Lingard score or assist a PL goal?
May 2018: no
Aug 2018: no
Sep 2018: no
Oct 2018: no
Nov 2018: no
Dec 2018: YES (4G 2A)
Jan 2019: no
Feb 2019: no
Mar 2019: no
Apr 2019: no
May 2019: no
Aug 2019: no
Mashabiki mandazi wanajua kushangilia magoli tuSheria mpya inasema kuwa goli lolote halitakubaliwa ikiwa mkono ulihusika kugusa mpira.....na goli la gabriel lilionesha wazi kuwa mpira ulianza kushikwa kwanza kabla ya mfungaji hajaukwamisha wavuni
The walking Matic????Nilishawahi kuinsist humu kuwa mkabaji mzuri kabaki Matic peke yake
timu yako haijasajili na huna options utafanyaje?Na hapo ndipo natilia shaka ukocha wa Ole. Ole ni mbabaishaji tu.
hata enzi za LVG kulikuwa na rotation kwenye kupiga penati, ukikosa hutapiga tena mpaka wenzio akose Mata, Rooney, Herrera, Martial wote walipiga penati kwenye msimu mmoja
Kupunguza ushabiki una maana gani? Tuache kushabikia mpira au kujadili?
Mchango wangu ulitokana na tukio kabla ya kupigwa kwa ile penalty, Rashford ndio alitaka kupiga,Pogba akaenda 'kuililia' na Rashford akamuachia.
Hili la kutokuwa na mpigaji maalumu wa penalty ni jambo jengine linalothibitisha timu ina matatizo. Hata kama wapigaji wanazunguka, huyo Pogba hapaswi kujisogeza kabisa kupiga penalty kwasababu sio mpigaji mzuri.
mpaka dk 39 United ilikuwa imepiga pasi 334 wakati Wolves wao 108+Hivi kutengeneza nafasi ni sawa na shots on target. Mnaweza mkatengeneza nafasi hata 10 lakini zote zikawa shots off target. Kimsingi tumetengeneza nafasi nyingi jana
Pili una uhakika jana United alipiga shots on target 2? Kwa haraka haraka kuna goli la Martial, Penati ya Pogba, shuti la Shaw..... Zipo 3 jumla. Nikienda Google nadhani kuna mifano mingi.
Unauliza kuhusu improvement kati mwaka jana na mechi ya jana. Kwanza kumiliki tu tuna position kubwa kuliko mwaka jana, mwaka jana tumepigwa kwa kuzidiwa, mwaka huu tume draw kwa kuwazidi sana tu
Kama hujaona improvement nadhani mechi uliyokuwa unaangalia wewe na mimi ni tofauti
Halafu nini kikatokea..mpaka dk 39 United ilikuwa imepiga pasi 334 wakati Wolves wao 108+
Tukakutandika viboko 4 bila majibuHalafu nini kikatokea..
wapiHalafu nini kikatokea..
Kwamba kuna siku underdog anashinda.