Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi nimependa hapo panga na shoka vyote vina ncha Kali na vinaweza kukata mwanzi.
 
Let's hope for the best..
 
Kwenye izo gemu saba iyo ya Chelsea iondoe, kipigo kipo pale pale mkuu.

Man united 1-3 Chelsea
 
Unastahili kunywa bia zangu soon
 
Kwa lingard labda. Maana ni wa hovyo sana..
Ndio maana hata kikos cha kwanza hana number.

Ila martial sidhani. Kipind amekuja alikuwa akicheza kama striker.. na alikuwa effective akiwa CF.. kiwango kilishuka aliporudihwa winga ya kushoto.

Martial bado ana kitu na umri unaruhusu. Ambao siwaamini ni lingard na rushford. Hawa hamna kitu
Lukaku ni faita sana sasa hao watoto mchele mchele lingad na Masho watamfukuzisha Ole kazi mapema..
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Man u ndo inaenda kuwa pombe ya ngoman musimu

Kila mtu atakuwa anajichotea tu

Saiz wamejificha kwenye mgongo wa Chelsea


LONDON BOY
Ukikaa kimya na kusubiri itakuwa heri kwako, mengine haya utakuja kuaibika siku moja ukose pa kushika. Mpira uache uitwe kwa jina lake maana haukosi maajabu kila siku.
 
Tuko pamoja mkuu, niliwahi kushabikia Man U iliyokuwa ikimtegemea Striker Chadwick sembuse hii ya Rashford na Martial?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…