Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii manure inakufa taratibu kama Ac Milan..
 
Huyo herrera mwenyewe hakuwa akicheza mechi zote. So sidhan eti man u itatetereka sababu ya herrera. Wameondoka wachezaji wemye impact kubwa kulikk herrera na bado.man u ipo.
Kila timu ipo mkuu, hata Yanga ipo. Lakin mupo kweny khali gani? Mutapata tabu sana mkuu. Ngoja jumapili tuwaoneshe jinsi mlivyo na likikosi libovu..
 
Nyie si ndio mlikuwa mnamponda lukaku Leo imekuaje tena mnamkumbuka?!!! ... WanafiQ ninyi ... Gel Out hia
 
Guardiola atachemka?!!

Mtu ambaye kikosi kimesheheni backup za nguvu ukajitabiria wewe ambae kiungo mkabaji mzuri yupo Matic peke yake

Wonders shall never end
 
Hivi hii ishu ni kweli kumbe?
 
Mzee wa kujipiga ban,endelea kujifurahisha lkn hali ya timu yako unaijua kimoyomoyo.
 
People talking about history, this is where there club has reached. Ni sawa na kusema MUFC ni better kuliko MCFC, ukiuliza why watakwambia tuna 20 titles UCL 3 City hamna, wakati in reality City now is better 100 times than MUFC. Watu wana compete kuchukua ma title, sisi tuna compete nafasi ya nne. We have been laughing at City, Arsenal and Liverpool, why? because they thought they were better lakini hawana mafanikio, now it is on us!

6 years and counting..... kama Club haijawa serious and Football, City will overtake MUFC easily.
 
Usiwe mwingi wa hofu mkuu. Ingawaje hakuna binadamu asiyekosea, tuamini maamuzi yaliyofikiwa na Menejimenti ya United kuhusu usajili ni sahihi na yalizingatia maslahi ya club. Ni wataalam kuliko ss na wanazo zana za ku-facilitate maamuzi wanayofanya kuliko sisi.
 
Kuna mistake huwa anafanya akichezeshwa mahala pa herrera mfano game ya burnley pale old trafford
Ni vesatile, anaweza kucheza vizuri nyuma ya strikers kwa ufanisi zaidi kuliko Lingard. Anaua kucheza pass za mwisho kuliko Lingard na bado anaweza kuwa sub ya Paulo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…