Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kabla match kuanza tumeshafungwq na Chelsea , Rashford ndio forward namba moja united
 
kuondoka kwa marcos rojo itakuwa ni faida kubwa sana kwa klabu, nampenda marcos anapokuwa fiti kiafya kuliko mlinzi yeyote wa kati tulionao ila tatizo la majeruhi limemfanya apoteze muelekeo wake kisoka

everton mwaka uliopita walikuwa tayari kulipa paundi millioni 25 ili wapate huduma yake sijui msimu huu wameweka kiwango gani cha fedha ili wamsajili, bila ya shaka kuondoka kwa kourt zouma itawalazimu watafute mlinzi mwengine mwenye uzoefu.
 
"Kuhusu Arsenal nisiwaongelee Sana sababu sifuatilii habari zao ila usisahau Peter cech, Ramsey, beki wao sijui ndio koscienly, welbeck, Denis suarez, etc Kuna wachezaji takriban 10 wameondoka,"

Mkuu wewe ni muhaya nini?maana unadai timu uifuatilii na wachezaji wake huwajui ila unawataja vizuri kabisa bila ya kukosea hata spelling duh........

Ila umejitahidi kueleza vizuri suala la kibiashara ,doa pekee ni hiyo dharau/nyodo tu
 
Kiwango kibovu,majeraha kila siku..dakika za kucheza atazipataje??

Atafute timu haraka kabla ya 00.00Am
 
Kabla match kuanza tumeshafungwq na Chelsea , Rashford ndio forward namba moja united
Huyo huyo Rashford ameshaifunga Chelsea na Arsenal.

Simbezi kwamba Hana kiwango lakini bado hastahili kuwa ndio forward tegemezi letu.
 
mkuu,

kwa upande wangu nona chelsea iko katika mikono salama zaidi ya mani united

ni kweli ktk kumuuza hazard chelsea wamepoteza mtu mzito lkn sio kama unavyo fikiri..ni wazi kuwa kumpoteza kama hazard ni pengo kubwa lkn bado kuna mikono salama ya watu kama willian na pedro..japo kiuhalisia hazard ni next level compared to these guys... uwepo wa CHO na pulisic ni hazina kubwa...labda hapo kwenye striker .. tammy hana uzoefu wa kutosha wa premier.. mitchy sio yule aliyetoka france na giroud haamini..lakini huko kwingine safituu

david luiz anasepa bila kusahau

nafikiri lampard tafikisha timu salama

kwa upande wa united hadi sasa harry maguire ndio mpango mzima..eneo la ulinzi sasa limekamilika..lkn litakamilika vizuri endapo David De Gea atakuwa wa tofauti na msimu uliopita.. kwangu mimi shida ya united naiona kule mbele tuuu..wale watu watatu wa mbele wa OGS.. bado sina imani nao.. mata,martial na sanchez hawakuwa kwenye kiwango bora last season... james tumuweke kiporo.. anabaki Rashid makame ambaye ndio anaonekana kutumainiwa pale mbele

lets wait and see
 
Pengine Mimi na wewe hatuwezi ila OLE anaweza mkuu, mfumo wa Sasa Ni Kama wa klop pale mbele, Rashford ana Role ya Firmino, Ni false 9 zaidi kuliko striker.
 
Pengine Mimi na wewe hatuwezi ila OLE anaweza mkuu, mfumo wa Sasa Ni Kama wa klop pale mbele, Rashford ana Role ya Firmino, Ni false 9 zaidi kuliko striker.
hapo kwenye namba 10 atakuwa bwana paul pogba au bwana lingard kwa mtazamo wako?
kama atakuwa pogba unadhani namba 8 atakaye deal zaidi na upande wa kulia atacheza nani?

msimu uliopita mechi alizokuwa anapewa andreas perreira alikuwa anachemsha sana eneo la ander herrera na ndiye pekee mwenye matumaini ya kuziba nafasi ya ander , hapa ndipo unapoukumbuka usajili wa bruno fernandez.
 
Mkuu CHD ndo nani na david luis anasepa wapi
 
Hapana mkuu huwa Mimi Sina dharau, na mwenyezi mungu aniepushie,

Hao wachezaji niliowataja Ni maarufu sidhani Kama Kuna mtu mpenzi wa mpira asiewajua, mshabiki wa arsenal anaefuatilia anawajua zaidi ya hao.
 
Hapa nakubali mkuu, tunamiss midfield ya kufanya tumchezeshe pogba Kama 10, Kuna sehemu niliona stats za pogba ana contribution 1.4 ya Goli Kama no 10, Ina maana either anafunga ama anatoa pasi ya goli Kila mechi.

Labda Fred atafufuka mkuu, acheze na McTominay chini na pogba apande.
 
Ngoja ligi ianze mkuu, tutajua Ole alimaanisha Nini, ila ninavyoelewa Mimi hatuchezi Tena na striker,
 
Timu ya Chelsea sio dhaifu mbona still inawachezaji wazuri tu wanaweza kuleta competition kwangu sioni ajabu kwa Chelsea kumfunga man united.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…