GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Smalling hana uwezo wa kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma. Jamaa ni shit akiwa na mpira.Heri umuuze Phil Jones na Bailly Smalling anamsaada mkubwa sana.
Anaweza kupare na mchezaji yeyote anayecheza upande wa kushoto.
Ni mzuri katika aerial balls kuliko madefender wengine wote waliopo man united.
Anaweza kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma at least kuliko huyo Rojo anayejua kupiga mbele tu.
Hapati majeraha ya kizembe kama wanavyopata kina Phil Jones, Rojo na Bailly.
Kwa sifa hizo anafaa kuwa back up defender after Lindelof
Smalling anacheza beki wa kushoto?
Smalling tukicheza mfumo wa beki watatu wa Kati anaweza kucheza beki wa Kati wa kushoto?
Smalling anaweza cheza beki wa kati kushoto kwenye mfumo wa beki wawili wa Kati?
Jibu ni hapana hawezi.
Kama ulivyoona msimu wa mwisho beki ya man U kufanya vizuri Rojo na Jones ndio walikuwa pair under Mou, na kabla ya Hapo ilikuwa ni Smalling na Blind,
Japo wote wanaitwa beki wa Kati lakini kunakuwa Kuna mmoja anacheza upande wa kushoto na mwengine upande wa kulia, Mara nyingi msimu uliopita lindelof alicheza kushoto, upande ambao hayupo comfortable, ndio maana msimu huu tumemsajili Maguire sababu yupo comfortable kushoto.
Ni Rojo, yeye pekee ndio anaweza kucheza kule, na ukimuuza hakuna mtu wa kucover namba yake, na Kama anauzwa inabidi aje mwengine Kama yeye sababu hao kina Smalling hawawezi kuplay Role yake.
Mchezaji ambaye tulifanya mistake kumuuza ni Blind.
Back up defender anatakiwa kuwa reliable sasa Jones na Rojo Mara nyingi wako vitandani kutibu majeraha bora kuwaondoa ukambakiza anayeweza kuwa fit season yote na defence mistakes zake siyo nyingi kama hao kina Phil JonesKuna key issue hutaki kuizungumza kabisa (Rojo ni injury prone & he makes many individual error).Last season amerudi game against Arsenal na akafanya big mistake
Huwezi kumtegemea mchezaji while most of the time yuko nje,unaweza angalia injury record yake hapa
OGS anacheza 4-3-3 hatumii kabisa mfumo wa 3 centre back (Conte,Allegri ndio mfumo wao)
Marcos Rojo - Injury history
This is the injury history of Marcos Rojo from Club Atlético Boca Juniors. On this page injuries as well as suspensions.www.transfermarkt.com
Msimu wa defence ya United kufanya vizuri ni 2016/2017 au 2017/2018 ?
Tuanzebe jembeRojo ni kiraka lakini anacheza nafasi Kama 3 pale nyuma, backup nzuri kwa Shaw na Maguire. Akiondoka Rojo inabidi tununue Tena.
Wanaotakiwa kupunguzwa ni Hawa wa kulia ambao wapo wengine, Jones, Smalling, lindelof, Baily, tuanzebe wote wanategemea nafasi moja.
Heri umuuze Phil Jones na Bailly Smalling anamsaada mkubwa sana.
Anaweza kupare na mchezaji yeyote anayecheza upande wa kushoto.
Ni mzuri katika aerial balls kuliko madefender wengine wote waliopo man united.
Anaweza kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma at least kuliko huyo Rojo anayejua kupiga mbele tu.
Hapati majeraha ya kizembe kama wanavyopata kina Phil Jones, Rojo na Bailly.
Kwa sifa hizo anafaa kuwa back up defender after Lindelof
England nzima na hakuna kiungo level ya Pogba, Pogba limekamilika.Kwa lukaku maybe. Ila pogba.. watakuwa wameunguza vibaya mno. Dispite ya madhaifu yake lakin ni hakuna midfield pale man u inayomzidi pogba. Hakuna.
Wakijidanganya kumtoa huyo basi wamejiroga
Blind sijui Mou aliingiwa na peoo ganiSmalling anacheza beki wa kushoto?
Smalling tukicheza mfumo wa beki watatu wa Kati anaweza kucheza beki wa Kati wa kushoto?
Smalling anaweza cheza beki wa kati kushoto kwenye mfumo wa beki wawili wa Kati?
Jibu ni hapana hawezi.
Kama ulivyoona msimu wa mwisho beki ya man U kufanya vizuri Rojo na Jones ndio walikuwa pair under Mou, na kabla ya Hapo ilikuwa ni Smalling na Blind,
Japo wote wanaitwa beki wa Kati lakini kunakuwa Kuna mmoja anacheza upande wa kushoto na mwengine upande wa kulia, Mara nyingi msimu uliopita lindelof alicheza kushoto, upande ambao hayupo comfortable, ndio maana msimu huu tumemsajili Maguire sababu yupo comfortable kushoto.
Ni Rojo, yeye pekee ndio anaweza kucheza kule, na ukimuuza hakuna mtu wa kucover namba yake, na Kama anauzwa inabidi aje mwengine Kama yeye sababu hao kina Smalling hawawezi kuplay Role yake.
Mchezaji ambaye tulifanya mistake kumuuza ni Blind.
Acha waendelee kudanganyana huko vikaoni kwaoKwa lukaku maybe. Ila pogba.. watakuwa wameunguza vibaya mno. Dispite ya madhaifu yake lakin ni hakuna midfield pale man u inayomzidi pogba. Hakuna.
Wakijidanganya kumtoa huyo basi wamejiroga
Mkuu ni sawa, ila ndio yupo mwenyewe na akiuzwa inabidi ije replacement, na kuuzwa kwa Rojo hakubadilishi fact kwamba Kati ya Baily, Jones na Smalling anatakiwa aondoke mtu. Sababu upande wao wa kulia wamejazana wengi zaidi. Bila kusahau pia wanazibia youngsters chance za kudevelop watu Kama kina Tuanzebe.Kuna key issue hutaki kuizungumza kabisa (Rojo ni injury prone & he makes many individual error).Last season amerudi game against Arsenal na akafanya big mistake
Huwezi kumtegemea mchezaji while most of the time yuko nje,unaweza angalia injury record yake hapa
OGS anacheza 4-3-3 hatumii kabisa mfumo wa 3 centre back (Conte,Allegri ndio mfumo wao)
Marcos Rojo - Injury history
This is the injury history of Marcos Rojo from Club Atlético Boca Juniors. On this page injuries as well as suspensions.www.transfermarkt.com
Msimu wa defence ya United kufanya vizuri ni 2016/2017 au 2017/2018 ?
To be honest timu yetu bado imejaa deadwood wa kutosha na the best option ni kuwaondoa na kuleta wengine wenye uwezo zaidi .Klopp/Pep kazi waliyoifanya kwanza ni kuondoa wachezaji mizigo wote na financial klabu inao huo uwezoMkuu ni sawa, ila ndio yupo mwenyewe na akiuzwa inabidi ije replacement, na kuuzwa kwa Rojo hakubadilishi fact kwamba Kati ya Baily, Jones na Smalling anatakiwa aondoke mtu. Sababu upande wao wa kulia wamejazana wengi zaidi. Bila kusahau pia wanazibia youngsters chance za kudevelop watu Kama kina Tuanzebe.
Likitokea hili. All blames on woodward and glazer...kuna rumors Kwamba BRUNO FERNANDEZ anataka kujiunga na Spurs..lets hope its not true!!
Th
To be honest timu yetu bado imejaa deadwood wa kutosha na the best option ni kuwaondoa na kuleta wengine wenye uwezo zaidi .Klopp/Pep kazi waliyoifanya kwanza ni kuondoa wachezaji mizigo wote na financial klabu inao huo uwezo
Atletico Madrid wamesajili wachezaji 8 msimu mmoja baada ya kuondokewa na wachezaji 5 waliokuwa wanaanza
Man utd tunazingua hata jamaa akienda spurs hatuna wa kumlaumu maana tunajishauri sana kiasi kwamba anajiona ni second option. Spurs wamelenga mmoja kwa moja...kuna rumors Kwamba BRUNO FERNANDEZ anataka kujiunga na Spurs..lets hope its not true!!
Tangu dirisha limefunguliwa mpk leo..stori ya Bruno ni hiyohyo lakini hakuna utekelezeji..Man U bado tunahitaji bodi inayojielewa(esp;Director of football)Man utd tunazingua hata jamaa akienda spurs hatuna wa kumlaumu maana tunajishauri sana kiasi kwamba anajiona ni second option. Spurs wamelenga mmoja kwa moja
...kuna rumors Kwamba BRUNO FERNANDEZ anataka kujiunga na Spurs..lets hope its not true!!
Yameanza lini hayo ya Ed kutekeleza Target zetu?Kuna watu walisema haiwezekani kununua wachezaji 5 ndani ya msimu mmoja!!!
Kuanzia wamiliki hadi mashabiki wa Manchester united wamegeuka wajasiriamali ndio maana hoja zetu zimebezi sana kwenye kuangalia unafuu wa bei kuliko ubora wa mchezaji.Ed anatekeleza tu.
Target zetu zimekuwa cheap sana kwa kisingizio kuwa wanaipigania badge ya klabu kuliko kinyume chake.
Liver kachapwa kwenye penaltySoka huko linachezwa na Liver. City anahenyeshwa mbaya ingawaje wanaenda extra. Liver bado ni moto aisee, lile likocha lao lipo vema sana