Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Walienda kwa bei gani?

Atletico inaweza kuwa Club inayoongoza duniani kwa kunoa vipaji

Kwa mfano tukianzia makipa tu hadi huyo De Gea wenu ni zao la Atletico ongezea Thibaut Courtouis na Jan Oblak (All Top Top world Class Goalies)
Courtouis alikuwa kwa mkopo tu Atletico,

Martinez alienda kwa 35M kabla ya Inflation.
 
...Brothers,timu yetu ina RECRUITMENT DEPARTMENT mbovu sana...mbovu mnoo..

.Yani UTD sshv wanawaza pesa tu..wamempotezea BRUNO Fernandez akili yote imewekwa kwa dybala ambaye atauza sana sokoni ila uwanjani hatatupa tunachokitaka..why!? Kwa sababu hakuwa target yetu msimu huu..

Cha ajabu timu nzima na Mashabiki pia tumekuwa distracted na hili jina kubwa bila kujali hatari iliyo mbele yetu..!

Top six teams zote zimeshajipanga kikamilifu..imagine hadi arsenal wanasajili vizuri na kwa akili kuliko sisi..

Zimebaki siku 4 dirisha lifungwe..sioni tulisajiri watu watatu(Maguire,fernandez n huyo kipenzi chenu dybala) na NAWAHAKIKISHIA kumleta dyballa pekee bila hao wawili tutakuwa tumejiweka kwenye matatizo makubwa sana especially kuiongezea timu unnecessary pressure.

NOTE;OGS hatatoboa msimu huu kama akijikuta na tabia hii ya kutokuwa na msimamo..united pia hatutaiona UEFA abadani.
 
Sky Sports footage of Ed Woodward arriving at United’s London offices to continue Dybala talks.
 
Watu wanaletaga tu mihemko bila kuangalia uhalisia..

Mata is nowhere near Dybala kwa misimu hii mitatu iliyoisha
You know nothing of anything .. Sijui vijana wa zama hizi mnakulishwa nini mpaka mnakuwa wagumu kuelewa .. Hebu karudie kusoma nilichoandika .. Mnasoma hamuelwi .. Sijui hii laana ya kutokuelewa maandishi kwa hiki kizazi "Mufirisi" imetokea wapi ..



Comment ya kwanza nilisema Mchezaji tena Paul Dybala kwa ligi Ya EPL tena nikasisitiza EPL na ninarudia tena EPL.. SEME EPL kwa sauti ...

KWA ligi ya EPL hawez kufua dafu , ni bora kuendealea na mchezaji ambae ameshaprove kwenye EPL kama mata au Pereira katika namba 10. Kama timu ikisukwa vyema idara zote Hiyo namba 10 Mata au Pereira wanaicheza vyema tena vyema haswa.


Mimi ni Mdau kindaki ndaki wa Seria a hususani chama pendwa la Napoli "The Partenopei"... Huyo Dybala achilia mbali Mata pale Ligi ya Italy huwezi kumlinganisha Na Zielinski au Milik.. Wachezaji ambae ninawahusudu kama si kuwakubali lakini timu za kimagharibi zilizojaa wapuuzi wanashindwa kuwasajili na kutuletea Takataka Paul Dybala ambae ninajua ni Next Flop kabla ya usajili wake kukamilika ...


Halafu usitake kuleta mabishano na Seria A .. Sidhani hata kama unajua huyo Paul Dybala hata game alizocheza last season nyingi hakuwa impressive kiuchezaji .. Sijui kama unajua hilo . Sasa mchezaji anaeshindwa kuwa impressive Seria A ataweza kutusua ile ligi ya Nginja Ngija , Teke teke , Buti Buti ya EPL??
 
Sky Sports footage of Ed Woodward arriving at United’s London offices to continue Dybala talks. View attachment 1170375
Ni dili la Maguire

Man United will have new contacts soon with Leicester for Harry Maguire. Ed Woodward is working on this deal and strongly wants to sign the CB who Solskjaer asked. Talks ongoing, the player is pushing but Leicester have to decide soon. #MUFC #ManUnited #LCFC #transfers


Na mazungumzo yameisha lei wamekubali £85m, Sky wa nasema 80

Exclusive: Manchester United complete Harry Maguire transfer from Leicester for £85million | @SamWallaceTel + @JPercyTelegraph

BREAKING: Manchester United have agreed an £80m fee to sign Harry Maguire from Leicester City, Sky Sports News understands

https://t.co/aNg2AriI9k
 
You know nothing of anything .. Sijui vijana wa zama hizi mnakulishwa nini mpaka mnakuwa wagumu kuelewa .. Hebu karudie kusoma nilichoandika .. Mnasoma hamuelwi .. Sijui hii laana ya kutokuelewa maandishi kwa hiki kizazi "Mufirisi" imetokea wapi ..



Comment ya kwanza nilisema Mchezaji tena Paul Dybala kwa ligi Ya EPL tena nikasisitiza EPL na ninarudia tena EPL.. SEME EPL kwa sauti ...

KWA ligi ya EPL hawez kufua dafu , ni bora kuendealea na mchezaji ambae ameshaprove kwenye EPL kama mata au Pereira katika namba 10. Kama timu ikisukwa vyema idara zote Hiyo namba 10 Mata au Pereira wanaicheza vyema tena vyema haswa.


Mimi ni Mdau kindaki ndaki wa Seria a hususani chama pendwa la Napoli "The Partenopei"... Huyo Dybala achilia mbali Mata pale Ligi ya Italy huwezi kumlinganisha Na Zielinski au Milik.. Wachezaji ambae ninawahusudu kama si kuwakubali lakini timu za kimagharibi zilizojaa wapuuzi wanashindwa kuwasajili na kutuletea Takataka Paul Dybala ambae ninajua ni Next Flop kabla ya usajili wake kukamilika ...


Halafu usitake kuleta mabishano na Seria A .. Sidhani hata kama unajua huyo Paul Dybala hata game alizocheza last season nyingi hakuwa impressive kiuchezaji .. Sijui kama unajua hilo . Sasa mchezaji anaeshindwa kuwa impressive Seria A ataweza kutusua ile ligi ya Nginja Ngija , Teke teke , Buti Buti ya EPL??
Hakuna haja ya kuwa too offensive weka hoja utaeleweka..

EPL muda mwingine mnaioverate tu..kwamba mchezaji kutoka ligi nyingine akija kwa asilimia kubwa hataimudu..how can you prove this??..

Dybala wa misimu iliyopita ukiachana na huu wa 2018/2019 mbana hamumwongelei lakini mnarefer tu huu ulioisha..

Mata msimu huu ulioisha amefanya kitu gani remarkable kwenye ligi uliyosema ameshaizoea??..
 
Finaly Sky Sports is reliable Source.
Screenshot_20190802-173819.jpeg
 
Hakuna haja ya kuwa too offensive weka hoja utaeleweka..

EPL muda mwingine mnaioverate tu..kwamba mchezaji kutoka ligi nyingine akija kwa asilimia kubwa hataimudu..how can you prove this??..

Dybala wa misimu iliyopita ukiachana na huu wa 2018/2019 mbana hamumwongelei lakini mnarefer tu huu ulioisha..

Mata msimu huu ulioisha amefanya kitu gani remarkable kwenye ligi uliyosema ameshaizoea??..

Mimi Mkuu kwa huu usajili wa dybala nilishatahadharisha mapema kiukweli dybala hana maajabu yeyote tunayo yahitaji

Bora u bargain na intermilan kutuachia mauro iCard na Lukaku si dybala
 
Icardi yes ni mzuri. Lakin ni wale wale wenye. Attitude mbovu. Anyway sion kama man u wamepoteza kwa dybala
Mimi Mkuu kwa huu usajili wa dybala nilishatahadharisha mapema kiukweli dybala hana maajabu yeyote tunayo yahitaji

Bora u bargain na intermilan kutuachia mauro iCard na Lukaku si dybala
 
Mimi Mkuu kwa huu usajili wa dybala nilishatahadharisha mapema kiukweli dybala hana maajabu yeyote tunayo yahitaji

Bora u bargain na intermilan kutuachia mauro iCard na Lukaku si dybala
Mkuu mimi mwenyewe simuhitaji Dybala ila napinga wanaosema Mata amemuacha mbali Dybala..

Fernandez ndo chaguo langu..then tunahitaji pure replacement ya Lukaku
 
Mkuu mimi mwenyewe simuhitaji Dybala ila napinga wanaosema Mata amemuacha mbali Dybala..

Fernandez ndo chaguo langu..then tunahitaji pure replacement ya Lukaku
Kwani mkuu ujio wa Dybala utakuwa na uhusiano wowote na Bruno? Sidhani!
 
Back
Top Bottom