Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

"He's overrated and overpriced" -They said. United mafala huyu dogo walikuwa na tetesi nae wakaona dau kubwa Atletico kacheza kamari ambayo anaenda kutusua siku sio nyingi
Wanaomjua yule kocha wa Atletico watakubaliana nami kwamba ni kocha ambae huwa hasajili magarasa hata siku moja

El Cholo huwa hasajili magarasa hata siku moja
 
Dybala hana uwezo wa kumuweka mata bench? Aisee huwa unafuatilia mechi za juve kweli?
Dybala ni nyoko ... halaf umri unaruhusu. Mata kishagusa 30.
Kama Dybala ni nyoko kwa maana ya nyoko basi aishie huko huko Italia asije kutuongezea "manyoko" mengine.. Tuliyonayo yanatutosha ..


Halafu usidhani sijui ninachokiongea , Mimi ni shabiki lia lia wa ligi ya Seria A , huyo Dybala last season kafunga magoli matano akizidiwa magoli na gervinho Mwenye miaka 32 aliefunga magoli 11... Sasa endelea kudhani kinachocheza uwanjani ni umri au vyeti vya kuzaliwa ..


Sasa nakusubiri kwa hamu ujilete na useme Dybala alicheza mechi chache , nikubalase kisawasawa...
 
Huyo Mata tu Lingard anamuweka benchi itakuwa dybala??..
Atakuwa Mata wa huko kwenu Picha ya ndege au maramba mawili ... Juan Mata Garcia hakuna mchezaji wa kumuweka benchi pale Manchester united na hata huyo Dybala ...


Kama umefikia hatua ya kuamini Lingard ana uwezo zaidi ya Juan Mata Garcia basi hii timu mtikisiko wake haupo tu kwa Ed Woodward Bali ni mpaka kwa mashabiki.. Na tusipokuwa makini msimu huu wa 2019-20 kunaweza kukawa na kesi nyingi za waongea barabarani kama si watu kujiua kwa Mawazo ya hii timu ...
 
Kama Dybala ni nyoko kwa maana ya nyoko basi aishie huko huko Italia asije kutuongezea "manyoko" mengine.. Tuliyonayo yanatutosha ..


Halafu usidhani sijui ninachokiongea , Mimi ni shabiki lia lia wa ligi ya Seria A , huyo Dybala last season kafunga magoli matano akizidiwa magoli na gervinho Mwenye miaka 32 aliefunga magoli 11... Sasa endelea kudhani kinachocheza uwanjani ni umri au vyeti vya kuzaliwa ..


Sasa nakusubiri kwa hamu ujilete na useme Dybala alicheza mechi chache , nikubalase kisawasawa...
Msimu wa kabla ya Ronaldo kuja??
 
Hapo vipi?
Screenshot_20190802-123325.jpg
 
Atakuwa Mata wa huko kwenu Picha ya ndege au maramba mawili ... Juan Mata Garcia hakuna mchezaji wa kumuweka benchi pale Manchester united na hata huyo Dybala ...


Kama umefikia hatua ya kuamini Lingard ana uwezo zaidi ya Juan Mata Garcia basi hii timu mtikisiko wake haupo tu kwa Ed Woodward Bali ni mpaka kwa mashabiki.. Na tusipokuwa makini msimu huu wa 2019-20 kunaweza kukawa na kesi nyingi za waongea barabarani kama si watu kujiua kwa Mawazo ya hii timu ...
Mimi sijasema direct kuwa Lingard anamzidi Mata..nimesema Lingard anamuweka benchi Mata,kwani uongo??..na sio mimi ninayemuweka benchi bali ni Kocha mwenyewe..Labda uniambie kuwa Ole anakosea hapo nitakuelewa
 
Hali iliyopo Man U inaonesha wazi kuwa tumeongeza tatizo lingine mbali na Edwoord kuna huyu OGS. Kwa hakika sioni kama tuna kocha pale, huwezi kuwa na kocha asiyeweza kujisimamia katika maamuzi ya kile anachotaka.

Sikuwahi kusikia tetesi za yeye kumtaka Dybala ila Juventus ni kama wanalazimisha hili dili liwe jinsi wao wanavyotaka na sio sisi tutakavyo.

OGS ni mpuuzi mwingine tuliyekubali kumpa timu kwa MIHEMKO yetu wenyewe, hawezi kuibadilisha Man U hata siku moja. Sioni uwezo wake katika kuipandisha timu na iwe ya upinzani pale EPL kwa sasa.

Adui yangu mkubwa pale Man U ni OGS kinajikomba sana kile kimtu hakiwezi kubweka kipo tu kimya na timu ataiongoza yeye mashindano yakianza.
 
Hii timu kwa Sasa ina watu wa hovyo Sana kwenye mamlaka za kufanya maamuzi.ni uchizi wa Hali ya juu kuingia epl kwa kutegemea kikosi tulichofanya na hata ukimsikiliza Ole unaona kabisa hata hajui ni Nini anafanya.anakwepa maswali ya msingi akiulizwa kwa kubwabwaja upupu tu Kama mwanasiasa!Mimi nimeanza kujiandaa kisaikolojia japo ni miongoni mwa mashabiki wanaoumizwa Sana na Hali ya man u kwa Sasa
 
Wanaomjua yule kocha wa Atletico watakubaliana nami kwamba ni kocha ambae huwa hasajili magarasa hata siku moja

El Cholo huwa hasajili magarasa hata siku moja
Hufuatilii la Liga maybe, naye pia ana magarasa yake, Kuna Jackson martines top scorer ligi ya Portugal miaka 3 mfululizo akaenda pale akawa garasa Tena kwa kwa usajili mkubwa tu, Kuna kina Vietto, hata Huyu Raul wa wolves katoka pale kashindwa.
 
For the record dybala si namba 9. Means suala la magoli sio ishu.. ni ametengeneza mangapi ndio ishu. Pili ni appearance ngapi anazo dyballa vs gervinho. Mara nying dybala anatokea bench.. si regular starter kutokana na upana wa timu ya juventus.
Kuna wachezaji wa kumfanisha dybala ila sio mata. Thats massive downgrade. Sisem kuwa dybala yuko vizur sana.. ila kiwango chake ni kikubwa kuliko cha mata.
Kama Dybala ni nyoko kwa maana ya nyoko basi aishie huko huko Italia asije kutuongezea "manyoko" mengine.. Tuliyonayo yanatutosha ..


Halafu usidhani sijui ninachokiongea , Mimi ni shabiki lia lia wa ligi ya Seria A , huyo Dybala last season kafunga magoli matano akizidiwa magoli na gervinho Mwenye miaka 32 aliefunga magoli 11... Sasa endelea kudhani kinachocheza uwanjani ni umri au vyeti vya kuzaliwa ..


Sasa nakusubiri kwa hamu ujilete na useme Dybala alicheza mechi chache , nikubalase kisawasawa...
 
Hali iliyopo Man U inaonesha wazi kuwa tumeongeza tatizo lingine mbali na Edwoord kuna huyu OGS. Kwa hakika sioni kama tuna kocha pale, huwezi kuwa na kocha asiyeweza kujisimamia katika maamuzi ya kile anachotaka.

Sikuwahi kusikia tetesi za yeye kumtaka Dybala ila Juventus ni kama wanalazimisha hili dili liwe jinsi wao wanavyotaka na sio sisi tutakavyo.

OGS ni mpuuzi mwingine tuliyekubali kumpa timu kwa MIHEMKO yetu wenyewe, hawezi kuibadilisha Man U hata siku moja. Sioni uwezo wake katika kuipandisha timu na iwe ya upinzani pale EPL kwa sasa.

Adui yangu mkubwa pale Man U ni OGS kinajikomba sana kile kimtu hakiwezi kubweka kipo tu kimya na timu ataiongoza yeye mashindano yakianza.
Kuna video na podcast kibao hata kabla hizi tetesi hazijaanza na nyengine kabla hata hajakuwa kocha wa Man U zinaonesha ole anampenda Dybala, na ni katika wachezaji anaowakubali, Kama upo interested naweza kuzi upload hapa.
 
For the record dybala si namba 9. Means suala la magoli sio ishu.. ni ametengeneza mangapi ndio ishu. Pili ni appearance ngapi anazo dyballa vs gervinho. Mara nying dybala anatokea bench.. si regular starter kutokana na upana wa timu ya juventus.
Kuna wachezaji wa kumfanisha dybala ila sio mata. Thats massive downgrade. Sisem kuwa dybala yuko vizur sana.. ila kiwango chake ni kikubwa kuliko cha mata.
Mkuu radika alieka stats za Dybala, ukitoa msimu uliopita ambao alichezeshwa Kama winga, misimu mingi akicheza Kama 10 anafunga zaidi ya Goli 20.
 
For the record dybala si namba 9. Means suala la magoli sio ishu.. ni ametengeneza mangapi ndio ishu. Pili ni appearance ngapi anazo dyballa vs gervinho. Mara nying dybala anatokea bench.. si regular starter kutokana na upana wa timu ya juventus.
Kuna wachezaji wa kumfanisha dybala ila sio mata. Thats massive downgrade. Sisem kuwa dybala yuko vizur sana.. ila kiwango chake ni kikubwa kuliko cha mata.
Dybala msimu wa 2017/2018 kafunga goli 22 huku Mata akifunga goli 3..then mtu anakuambia Mata anamzidi dybala..like serious??
 
Hufuatilii la Liga maybe, naye pia ana magarasa yake, Kuna Jackson martines top scorer ligi ya Portugal miaka 3 mfululizo akaenda pale akawa garasa Tena kwa kwa usajili mkubwa tu, Kuna kina Vietto, hata Huyu Raul wa wolves katoka pale kashindwa.

Walienda kwa bei gani?

Atletico inaweza kuwa Club inayoongoza duniani kwa kunoa vipaji

Kwa mfano tukianzia makipa tu hadi huyo De Gea wenu ni zao la Atletico ongezea Thibaut Courtouis na Jan Oblak (All Top Top world Class Goalies)
 
Back
Top Bottom