Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Habari ya Bruno nayo imezikwa na dyabala!
Napata picha kama tunasajili kibiashara zaidi ndio maana jamaa wanatuweka gizani huku wakiandaa igizo jingine la kupiga piano au gitaa kabisa ili Instagram ifulike likes na views.

Ole angekuwa si mwanasiasa,angekuwa anongelea ni kwa namna gani rashford kaimarika kiuchezaji (sio kiuchumi) ili tuweze kukubaliana naye kuwa hana haja ya lukaku au striker mwingine. Au ingizo la mason linaweza kuwa sababu ya yote haya huku akijificha kwenye kivuli cha sanchezi atarudi kama namba 9 machachari.
Ole ameshafeli tangu hapo.

Msimu wa 7 huna winger ya kulia halafu una relax kabisa.

Wenzako wana foward wa kueleweka sisi tunajitutumua na kina Lingard..
 
Hii timu inakufa polepole tena naamini mpaka pep akiondoka pale city atakua amefuta rasmi utawala wa hii timu pale epl
Hawa ndo Arsenal tunaowacheka kila siku.

Zile front 3 za Liverpool na Man City hatujawaweka.

Haya sasa, angalia front 3 yetu.

Hapo ndo utajua nani yupo serious...View attachment 1169661
 
Nasemaje hata kama pep hatoweza futa rekodi yetu lakini mpaka anasepa tutakua dhohofulihali mamaeeee
Hii timu inaanguka mimi naamini mpaka kesho hatutarudi kamwe kwenye kile kilele cha mafanikio.....
Ole ameshafeli tangu hapo.

Msimu wa 7 huna winger ya kulia halafu una relax kabisa.

Wenzako wana foward wa kueleweka sisi tunajitutumua na kina Lingard..
 
MAN U KOMAENI TOTENHAM ANATAKA AWAHARIBIE ,

Kwakweli siwapendi Totenham


BREAKING: Tottenham in talks with Sporting Lisbon over the signing of Bruno Fernandes, according to Sky Sources
IMG_20190801_201414_284.jpeg
 
Breaking news!!!!From skysport

Spurs wameingia kwny kinyang'anyiro cha kumchukua BRUNO FERNANDEZ..

MY TAKE;Man u tukifanya uzembe tutamkosa huyu mtu..
 
Hii timu inakufa polepole tena naamini mpaka pep akiondoka pale city atakua amefuta rasmi utawala wa hii timu pale epl
Tatizo linaanzia kwa wamiliki na management.

Huna DoF wa kusimamia falsafa ya timu ndo maana kila anayekuja analeta lake.

Miaka na miaka hatujui tunataka nini.
 
Medical ya BRUNO FERNANDES haijamalizika tu majirani hahahahahahahahah Nyie taarifa zenu za usajili karibia zote ni FAKE NEWS kila siku mnachezewa akili na Reports,Mchezaji anacheza Portuguese club lakini taarifa yake ya usajili ya kusajiliwa na United intatokea Spain.
 
July 27th ...........Bruno Fernandes set to sign for Manchester United after £ 62 ml bid is accepted........ACCORDING TO REPORTS IN SPAIN hahahahahahahahah inawezekana Spain kuna Manchester United pia sio bure.
 
Naomba hili dili la dyabala life tuu
Matatizo yetu ni CB, DM,CM na RW.
Hakuna hata sehemu moja huyu jamaa anafit. OLE kama anakipenda kibarua chake asiapprove huu usajili
Ni mara mia ubaki na lukaku, kuliko kuleta mchezaji usiyemuhitaji.

Yaleyale kama ya Sanchez
 
Hiv unasema dyabala hafit mfumo.. man ww kipofu?
Man u haina namba 10 wa kueleweka kabisaa.
Ile namba ilihitaj mtu ambae angesindikizana na pogba. Man u wana shida kubwa ya DM,CB,RW.
Naomba hili dili la dyabala life tuu
Matatizo yetu ni CB, DM,CM na RW.
Hakuna hata sehemu moja huyu jamaa anafit. OLE kama anakipenda kibarua chake asiapprove huu usajili
Ni mara mia ubaki na lukaku, kuliko kuleta mchezaji usiyemuhitaji.

Yaleyale kama ya Sanchez
 
Back
Top Bottom