Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Kwanini wanachomoa kuuza club kwani ni yao kumamazao hao si waliikuta watuachie klabu yetu bana maana si kwa mateso haya tunayopatA....
calm down bro
Kwanini wanachomoa kuuza club kwani ni yao kumamazao hao si waliikuta watuachie klabu yetu bana maana si kwa mateso haya tunayopatA....
Muda utasema.Watu wanasajili imebaki siku moja. Sembuse wiki mbili.
'UNITED AGREE FERNANDES FEE'
Manchester United have agreed a fee of close to £70m for Sporting Lisbon midfielder Bruno Fernandes, according to Sport.
Apparently the Portugal international’s move to Old Trafford could be confirmed in the next 48 hours.
Lukaku nahisi anataka acheze kwa ku relax. Timu zenye pressure zinamshinda. Msimu wa kwanza Man Utd alitumia ngivu nyingi mno atleast kuwa prove watu wrong msimu wa pili akarelax ndio maana ame flop mno.Kwan huyo lukaku si ameflop msimu mmoja tu, unakumbuka msimu wa 2017/2018 alivyokuwa akitupia magoli. Ngoja wamuuze lukaku wabaki na rashidi, tutaelewana tu.
Kitu kama kilishanunuliwa ni mali ya huyo aliekinunua kwa maana ya kwamba huwezi mpangia atachoamuaKwanini wanachomoa kuuza club kwani ni yao kumamazao hao si waliikuta watuachie klabu yetu bana maana si kwa mateso haya tunayopatA....
Hawajainunua Ghafla bin vu, walinunua share kidogo kidogo mpaka wakawa Monopoly,Kitu kama kilishanunuliwa ni mali ya huyo aliekinunua kwa maana ya kwamba huwezi mpangia atachoamua
Makosa ilikuwa kuwauzia timu hao Glazers family, bora hata wangeuziwa wachina au matajiri wowote kutoka Asia
Siyo yeye tu, timu nzima ilipoteana, degea, pogba, matic,baily, mabeki wa kati except lindeloef na hata washambuliaji wengine. Lukaku ni bonge la striker kama ukimtuliza na akapata huduma nzuri, na hilo dili la dybala, ni juve watakao faidika na siyo man u.Lukaku nahisi anataka acheze kwa ku relax. Timu zenye pressure zinamshinda. Msimu wa kwanza Man Utd alitumia ngivu nyingi mno atleast kuwa prove watu wrong msimu wa pili akarelax ndio maana ame flop mno.
Wote ni wachezaji wazuri ila Lukaku ni swala la pszchology tu kujua tatizo ni nn huyu Dybala ni machine nyingine.
Kitu kama kilishanunuliwa ni mali ya huyo aliekinunua kwa maana ya kwamba huwezi mpangia atachoamua
Makosa ilikuwa kuwauzia timu hao Glazers family, bora hata wangeuziwa wachina au matajiri wowote kutoka Asia
Huu uchafu wenu ndio mnataka kushindana EPL msimu huu? Chelsea mkijitahid sana nafasi ya 7Drinkwater na Bakayoko wako free wakuu, kwa nini musiwachukue??
Mkuu hiyo ni win-win business. Kule Lukaku anaenda kuwaongezea nguvu kina Ronaldo na Moise Kean huku nyie mnakuja kufaidika na maudambwi dambwi ya kiArgentina hasa akicheza nyuma ya striker. Wakina Lingard ndio washashindwa kazi.Siyo yeye tu, timu nzima ilipoteana, degea, pogba, matic,baily, mabeki wa kati except lindeloef na hata washambuliaji wengine. Lukaku ni bonge la striker kama ukimtuliza na akapata huduma nzuri, na hilo dili la dybala, ni juve watakao faidika na siyo man u.
Huyo dybala atakuewa kama fred, dimaria na sanchez
Chelsea ikishika nafasi ya 7 ujue timu yako itashika nafasi ya14.Huu uchafu wenu ndio mnataka kushindana EPL msimu huu? Chelsea mkijitahid sana nafasi ya 7
Huyo na bruno nani bora? Pesa mingi sana hiyoMAN U kwenye soko la usajiri mnalipuliwagwa,
Sky Italy: Lazio waiting for official offer from Manchester United for Sergej Milinkovic-Savic. They want €90m for 24-year-old Serbian midfielderView attachment 1165910
Changamoto ndio hiyoHawajainunua Ghafla bin vu, walinunua share kidogo kidogo mpaka wakawa Monopoly,
Expect no transfer deals kwa man u
Sms ni clone ya Pogba, sio mzuri Kama Pogba lakini in reality Kama Pogba Anaondoka Huyo ndio replacement inayo make sense.Huyo na bruno nani bora? Pesa mingi sana hiyo
Kuna source za kuaminika zinafika Hadi 6 zinasema Bruno anakuja, Jana jamaa ameonekana akilia mechi ya mwisho ya sporting, ishara kwamba Anaondoka.Expect no transfer deals kwa man u
Watu wanasajili imebaki siku moja. Sembuse wiki mbili.