Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jones aliongezewa mkataba wa miaka mitano juzi kati tu hapa..sasa walionegotiate huo mkataba sijui ni wapuuzi gani??

Just imagine Delph kaachwa na man city!!
 
Sasa mkuu chelsea ambayo straiker wake ni Tommy Abraham nayo itatusumbua kweli??

Uko busy sana kupambana na timu za watu kuliko unavyoizungumzia timu yako kwenye uzi wenu ule
Sina wasi wasi kabisa na kikosi changu, japo sitegemei makubwa lakini na imani tunaeza leta ushindani mkubwa tu, kwani msimu huu uloisha tulikuwa na forward gani ya maana sana?
 
Haha sasa mimi na wewe nani wa kuonewa uruma mkuu? Mimi najulikana kabisa sijafanya usajili wowote, wewe mwenye chance ya kisajili umefanya nini mpka sasa? Haha uoni kama una khali mbaya kuliko sisi? Chelsea haitegemei forwards kufunga magoli mkuu, sisi sio kama arsenal mnamtegemea Laccazete au Auba tu..
 
Lukaku ni zaidi ya martial mkuu.
Akiwa everton yes. but huyu wa man u ni kama kajisahau au mfumo umemkataa.
Nikqambie lukaku akiwa everton alikuwa ni lethal striker.. he was so good kuliko martial.
But alipokuja man u akasahau kucheza mpira.. kanenepeana..
Martial ana skills. Anacholuck ni attitude. Ila akiwa na atittude nzuri. Martial ni lethal kuliko lukaku
 
EPL inaanza wiki mbili ijazo , tutaelewana vzr
 
daah asee we jamaa unafurahisha mno. Maumivu ya EL yamepungua sasa unaanza fujo?

Nausubir msimu ujao kwa hamuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…