The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,817
Braza trust me...Man U..ina matatizo mengi...lakini wakiendelea kulilea hili tatizo ...watavuna mabua..the kid is getting bigger than the club ...which is not a good thing...hata ungekuwa unafunga kwa ulimi....ikifikia hatua unakuwa mkubwa zaidi ya Club..hamnaga turning point mzee...Solution huwa ni SELL...the club will prevail...walikuwepo wakali zaidi yake mzee...wakina Beckham(waliwafanya hadi wadada waipende Man u)...Roy Keane(wafia timu)...Nisterlooy(natural goalscorers ambao walikuwa na uwezo wa kufunga hata kwa mpira kupalaza soksi tu...Ronaldo(the real hardworker kid who was never satisfied with being the best....lakini hawa woote mzee walisepa....ilipofika point of no return....I THINK FOR POGBA THE POINT OF NO RETURN HAS REACHED..IT WILL BE WISE TO PART OUR WAYS...MAN U WILL REMAIN MAN U AND IT WILL SORT ITSELF..IF NOT NO W IN THE FUTURE.
Ulichoongea kipo sahihi, na hata kama club itamuuza kwa kauli ya jana ni sawa, lakini siyo kusema hana kiwango. Pogba ni mchezaji mkubwa