Basi mimi ninamuonaga akicheza vizuri zaid akiwa na timu ya taifa kuliko man u, na huwa anajiachia na kuwa na confidence kubwa akiwa national team, lakin akiwq man u anashindwa kunyumbulika vizuri
Kwq mfano, timu inashambulia na unamuona pogba ameingia kwa kasi na anataka kutoa pasi ya kumtangulizia mtu, lakin ma striker wetu hawajiongezi. Hivyo pogba anajikuta kazungukwa na watu na wanamkaba mpira na sisi tunamlaumu kwamba hachezi vizuri, na hata yeye anakosa confidence ya kusogea na mpira.
Lakin akienda timu ya taifa, anamuangalia mbappe, griezman na mastriker wengine ambao wako sharp na wanaisoma akili yake. Hiyo inamuongezea confidence kubwa sana ana anajikuta anacheza vizuri.