Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona akienda timu ya taifa ancheza vizuri, mbona juve alikuwa anacheza vizuro, kwanini aonekane mbovu kwa man u tu?

Yale yale ya mourinho. Tutamuondoa pogba na baada ya muda tutagundua yeye hakuwa tatizo
Unavyosema pogba anacheza vizuri akiwa FRANCE kuliko akiwa UNITED huwa unakuwa umetumia kigezo gani??
 
Unavyosema pogba anacheza vizuri akiwa FRANCE kuliko akiwa UNITED huwa unakuwa umetumia kigezo gani??
Angalia gemu za ufaransa za sasa na hata za kwenye kombe la dunia : na hii inachangiwa na wachezaji wanaomzunguka.
Pia angalia gem kadhaa kipindi alipokuwa juve ambako kulikuwa na mastaa kibao tofauti na litimu letu ambalo eti staa ni lingard na rashford.
Lakin pia angalia gem za utd, anakuwa tofauti kabisa.

Na ili kuthibitisha hili, ngoja wamuuze , halafu utamuona anakoenda atakavyokuwa mchezaji mzuri.
 
Angalia gemu za ufaransa za sasa na hata za kwenye kombe la dunia : na hii inachangiwa na wachezaji wanaomzunguka.
Pia angalia gem kadhaa kipindi alipokuwa juve ambako kulikuwa na mastaa kibao tofauti na litimu letu ambalo eti staa ni lingard na rashford.
Lakin pia angalia gem za utd, anakuwa tofauti kabisa.

Na ili kuthibitisha hili, ngoja wamuuze , halafu utamuona anakoenda atakavyokuwa mchezaji mzuri.
Swala la kumuuza Pogba then mimi nishuhudie kiwango chake hilo silihitaji,maana najua pogba ni mchezaji mzuri na hata akiwa man united amedhihirisha hilo na stat zinaongea....Ninachokataa ni kusema Pogba anacheza vizuri sana sana akiwa France
 
Swala la kumuuza Pogba then mimi nishuhudie kiwango chake hilo silihitaji,maana najua pogba ni mchezaji mzuri na hata akiwa man united amedhihirisha hilo na stat zinaongea....Ninachokataa ni kusema Pogba anacheza vizuri sana sana akiwa France
Basi mimi ninamuonaga akicheza vizuri zaid akiwa na timu ya taifa kuliko man u, na huwa anajiachia na kuwa na confidence kubwa akiwa national team, lakin akiwq man u anashindwa kunyumbulika vizuri
Kwq mfano, timu inashambulia na unamuona pogba ameingia kwa kasi na anataka kutoa pasi ya kumtangulizia mtu, lakin ma striker wetu hawajiongezi. Hivyo pogba anajikuta kazungukwa na watu na wanamkaba mpira na sisi tunamlaumu kwamba hachezi vizuri, na hata yeye anakosa confidence ya kusogea na mpira.

Lakin akienda timu ya taifa, anamuangalia mbappe, griezman na mastriker wengine ambao wako sharp na wanaisoma akili yake. Hiyo inamuongezea confidence kubwa sana ana anajikuta anacheza vizuri.
 
14857578-0-image-m-34_1560701853081.jpg
 
Kusema kweli tetesi za usajili za man u zinakera sana.

Zinanikumbusha enzi za arsenal ya Wenger ilikuwa ukifika msimu wa usajili kila mchezaji anahusishwa na Arsenal.

Mwaka 2013 ilihusishwa na wachezaji wengi sana halafu ikaishia kumsajili TAKUMA Kkutoka Japan na kumtoa kwa mkopo hapo hapo.

Wachezaji wanaohusishwa kutakiwa na man united wamepaa sana sokoni kiasi cha kuifanya hata hiyo 200£ ya Woodward itoshe kununua wachezaji watatu tu DJ inclusive.

Tumemkosea nini Mungu wadau ?
 
Kusema kweli tetesi za usajili za man u zinakera sana.

Zinanikumbusha enzi za arsenal ya Wenger ilikuwa ukifika msimu wa usajili kila mchezaji anahusishwa na Arsenal.

Mwaka 2013 ilihusishwa na wachezaji wengi sana halafu ikaishia kumsajili TAKUMA Kkutoka Japan na kumtoa kwa mkopo hapo hapo.

Wachezaji wanaohusishwa kutakiwa na man united wamepaa sana sokoni kiasi cha kuifanya hata hiyo 200£ ya Woodward itoshe kununua wachezaji watatu tu DJ inclusive.

Tumemkosea nini Mungu wadau ?


Hio £200 million za usajili hata mimi sidhani kama hiyo hela ipo kweli. Kwa tetesi tu MUFC inatisha, mara Maguire mara Bissaka mara Felix mara Bruno

Halafu kama kweli hiyo pesa ipo kungekuwa kumeshafanyika major signing ila hamna kitu kama hicho
 
Hio £200 million za usajili hata mimi sidhani kama hiyo hela ipo kweli. Kwa tetesi tu MUFC inatisha, mara Maguire mara Bissaka mara Felix mara Bruno

Halafu kama kweli hiyo pesa ipo kungekuwa kumeshafanyika major signing ila hamna kitu kama hicho
Woodward miyeyusho sana
 
Basi mimi ninamuonaga akicheza vizuri zaid akiwa na timu ya taifa kuliko man u, na huwa anajiachia na kuwa na confidence kubwa akiwa national team, lakin akiwq man u anashindwa kunyumbulika vizuri
Kwq mfano, timu inashambulia na unamuona pogba ameingia kwa kasi na anataka kutoa pasi ya kumtangulizia mtu, lakin ma striker wetu hawajiongezi. Hivyo pogba anajikuta kazungukwa na watu na wanamkaba mpira na sisi tunamlaumu kwamba hachezi vizuri, na hata yeye anakosa confidence ya kusogea na mpira.

Lakin akienda timu ya taifa, anamuangalia mbappe, griezman na mastriker wengine ambao wako sharp na wanaisoma akili yake. Hiyo inamuongezea confidence kubwa sana ana anajikuta anacheza vizuri.
Mimi namuona pogba ni mchezaji hatari kwa afya ya Man U.
 
Braza trust me...Man U..ina matatizo mengi...lakini wakiendelea kulilea hili tatizo ...watavuna mabua..the kid is getting bigger than the club ...which is not a good thing...hata ungekuwa unafunga kwa ulimi....ikifikia hatua unakuwa mkubwa zaidi ya Club..hamnaga turning point mzee...Solution huwa ni SELL...the club will prevail...walikuwepo wakali zaidi yake mzee...wakina Beckham(waliwafanya hadi wadada waipende Man u)...Roy Keane(wafia timu)...Nisterlooy(natural goalscorers ambao walikuwa na uwezo wa kufunga hata kwa mpira kupalaza soksi tu...Ronaldo(the real hardworker kid who was never satisfied with being the best....lakini hawa woote mzee walisepa....ilipofika point of no return....I THINK FOR POGBA THE POINT OF NO RETURN HAS REACHED..IT WILL BE WISE TO PART OUR WAYS...MAN U WILL REMAIN MAN U AND IT WILL SORT ITSELF..IF NOT NOW EVEN IN THE FUTURE.
Mbona akienda timu ya taifa ancheza vizuri, mbona juve alikuwa anacheza vizuro, kwanini aonekane mbovu kwa man u tu?

Yale yale ya mourinho. Tutamuondoa pogba na baada ya muda tutagundua yeye hakuwa tatizo
 
Back
Top Bottom