Mbavu mbili
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 1,457
- 874
Pogba aondoke tu.
Nawaambia yule mtoto hatufai
Virus
Nawaambia yule mtoto hatufai
Virus
Pogba aondoke tu.
Nawaambia yule mtoto hatufai
Virus


..Eti "yule mtoto hatufai"Wale wale kina smaling
sioni kichekesho.......kuna ukweli hvPogba anasema anataka kuondoka kujaribu sehemu nyingine alichonichekesha kama sio kunisikitisha anadai eti msimu ulioisha ulikuwa the best for him
Chelsea hawana utani kabisa.
Kwann mkuu
Sijui umetumia vigezo gani kumlinganisha na hao wachezaji hapo juu wakati ni vitu tofauti kabisa. Pogba ktk namba 6 work rate naamini kazidiwa na viungo wote Wa epl hadi Wa timu zilizoshuka daraja. Ni mchezaji asiyejituma kabisaaaa hata scot mctominay huwezi mlinganisha nae kabisaaaaTatizo kubwa lipo kwenye attitude
Kwenye kiwango anacho lakini nadhani ni overhyped
Hata mechi za National team anacheza vizuri lakini sio kama anavyoelezewa.
Mtu akishushwa leo kutoa mwezini akielezewa kuhusu Pogba anaweza ku imagine Pogba yupo level za Hazard, De Bruyne, Ronaldo, Neymar, au mtu mfupi Messi
Ukweli ni kwamba, kwa kiwango Pogba amezidiwa au yupo at per na wachezaji wengi sana ambao hawana aura ya Pogba. Nitakutajia, Pogba amezidiwa na Ericksen, De Bruyne, Modric, Kroos,Dembele alitoka Spurs kwenda China n.k.
Nimeacha kuwataja wanaoibukia sasa hivi kwa makusudi ili kukwepa mjadala mwingine
Statistics za Pogba zinadanganya sana, mfano kwa msimu uliopita amekuwa ana Magoli mangapi pale United? 13/14 zaidi ya nusu ya hayo Magoli akiwa amefunga umbali wa hatua 12 kutoka golini bila kukabwa (penati). Kati ya penati alizopiga amekosa penati 4, ni midfielder wetu, amefanya interception ngapi kuwaharibia wapinzani wetu? Chache mno.
Sijasema Pogba ni mchezaji mbovu, lakini si mchezaji tunayesimuliwa. He is an average player. Kati ya 100% he is 60% player, no more may be less.
Above all, ni kirusi, mvivu, inconsistent na haeshimu United Badge. ANAPASWA KWENDA.
Mkuu umeelewa swali kweli??? Nimekwambia na sisi tukutajie walioflop ?? Wewe unanitajia wachezaji unaojua wewe..Kleberson, Anderson, Teves, Veron hawaku-flop. Walikuwa vizuri tuu. Veron majeraha, Teves ni nidhamu
Brocken heart...Eti "yule mtoto hatufai"
Chief hatulumbani, km wapo si unawataja alafu tuna-argue tuu, shida ipo wapi? Hauna sababu ya kuniuliza, ni uhuru wako kutoa ambacho akili yako inakuonesha kipo sawa.Mkuu umeelewa swali kweli??? Nimekwambia na sisi tukutajie walioflop ?? Wewe unanitajia wachezaji unaojua wewe..
Narudia tena kuuliza "NA SISI TUKUTAJIE WALIOFLOP"
Nyie mnaleta mzaa.Sijui umetumia vigezo gani kumlinganisha na hao wachezaji hapo juu wakati ni vitu tofauti kabisa. Pogba ktk namba 6 work rate naamini kazidiwa na viungo wote Wa epl hadi Wa timu zilizoshuka daraja. Ni mchezaji asiyejituma kabisaaaa hata scot mctominay huwezi mlinganisha nae kabisaaaa
Ila hata OGS na he's too cool hata basi kutoatoa vitetesi tufarijike katulia tuliii Mou hapo ungeona mikwara yakeNa kuondoka kwake kutaathiri timu uwanjani na sokoni
Woodward anabip kila mchezaji anatulia bila kujali muda.
Kupata msaidizi kashindwa au hataki maana haiwezekani dunia hii haina technical director wakufanya kazi Man united, ni woodward pekee anayeliamini hili
Nafikiri OGS naye kaanza kupata wasi wasi juu ya utandaji kazi wa Woodward katika usajili.Ila hata OGS na he's too cool hata basi kutoatoa vitetesi tufarijike katulia tuliii Mou hapo ungeona mikwara yake
Watu hawataki kuukubali huu ukweli mchungu, unajua ukishajua tatizo ni rahisi sana kulikabili, Tatizo kuu lipo hapa..overWoodward bado anafanya calculation kwanza ataingiza shillingi ngapi kwa kila mchezaji kwa mauzo ya jezi na instagram followers