Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Mkuu mimi naona Pogba labda tujadili tu attitude yake ila mchango wake upo mkuu..stat si ndo zinaongea??..Longstaff, sidhani kama OGS amechoka kuifundisha United kiasi hicho, after all yule dogo ni defensive, na Pogba ni creative
Mbadala lazima atakuwa creative midfielder, probably tutaongeza nguvu kusainisha Bruno F, Ndombele na wengine wanaofanana na hao
Pogba ni janga pale United
Kinachofurahisha zaidi kiasi cha £120m+ kitaongezeka kwenye transfer budget kuongeza hela iliyopo
Kwa wale ambao wapo desperate Pogba abaki waniambie Pogba amefanya nini katika miaka yake 3 pale United zaidi ya kuleta sumu tu
Why pogba tu na sio wachezaji wengine??..
Sisi tunataka Pogba achezeje ndo tumkubali??
)...Namuona Mourinho anazidi kujichukulia point za mezani....