Wachezaji wa south America EPL ni ngumu sana kwao labda ufanye gambling tu ila wengi ni tia maji tia majiHuyu Mbrazil Neres wa Ajax vp? Dogo yupo vizuri lakini hazungumzwi kwenye transfer rumours . Nadhani anaweza kutufaa left wing. A derrible na ana kasi blaa
Rabiot anaweza kwenda Juventus kwa sababu woodward hatakuwa na shida nae tu lakini siyo kwa kizidiwa na Juventusjuventus ni mabingwa wa kusajili wachezaji walio huru hivyo basi sitoshangaa rabiot kutimkia mitaa ya turin.
nani asiyependa kucheza na cristiano ronaldo?
Unagamble tu mkuu; Coutino, Firmino, Fernandinho, Mascherano, Alison, Maura, Luis n.kWachezaji wa south America EPL ni ngumu sana kwao labda ufanye gambling tu ila wengi ni tia maji tia maji

wallahi hii timu inahitaji maombi. Wachezaji wa south America EPL ni ngumu sana kwao labda ufanye gambling tu ila wengi ni tia maji tia maji
Philosophy ya uchezaji wenu ni mbaya kwa wachezaji wa nje. Liverpool wabrazil wote wamekuja kukuza zaidi viwango vyao badala ya kushuka, watu kama Coutinho, Firmino, Fabinho na Allison
Mbrazil naemkumbuka kuwa EPL ilimshinda ni Alex Sandro tu alipoenda Spurs
Usisahau SUAREZ ingawaje si MbrazilPhilosophy ya uchezaji wenu ni mbaya kwa wachezaji wa nje. Liverpool wabrazil wote wamekuja kukuza zaidi viwango vyao badala ya kushuka, watu kama Coutinho, Firmino, Fabinho na Allison
Mbrazil naemkumbuka kuwa EPL ilimshinda ni Alex Sandro tu alipoenda Spurs
Inawezekana kabisa in terms of stats zake za nyuma na za msimu ulioisha.Pogba anasema anataka kuondoka kujaribu sehemu nyingine alichonichekesha kama sio kunisikitisha anadai eti msimu ulioisha ulikuwa the best for him
jose mourinho anaelekea kushinda pambano lake kabla ya jua halijazamaInawezekana kabisa in terms of stats zake za nyuma na za msimu ulioisha.
Namba hazidanganyi ila huwa zinapotosha.
jose mourinho anaelekea kushinda pambano lake kabla ya jua halijazama
pengine wewe mwenzetu uliyesajiliwa huko unaielewaHii timu nani anayeielewa??
Hii timu nani anayeielewa??