Tatizo, la hao Mediocre players, ni kubwa sana.
Wapo wengi ( young, jones,darmian, lingard nk)
Wachezaji tunaonunua kuja kuingia first team (kuimprove kikosi), wengi wao kama sio wote WANASHUKA VIWANGO VYAO tofauti na walikotoka.
Unanunua mchezaji kama mikitariyan, unamlipa mfano pauni 100,000p/w. Backup yake ni lingard unayemlipa mfano pauni 75,000p/w. MIKI anacheza miezi sita ,baada ya hapo anaflop, matokeo yake unamuanzisha lingard,.
Mojakwa moja hapo utakae anza kumuondoa ni MIKI unayemlipa pesa nyingi. Huwezi ukamuondoa lingard then ubaki na flop.
Hii iko hivyohivyo hata kwa positions nyingine, Young, jones , Smalling ,wapo mpka leo sababu Rojo, bailly na Darmian wameshishwa kuderiver kama tulivyotarajia.
Ninachojiuliza mpka sasa ni kwa nini wachezaji tulionunua kwa kipindi hiki cha miaka 5 , toka SAF ameondoka, wengi wanaishia kuwa flops?