Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

MANCHESTERUNITED ARE NEW AC MILAN OF ENGLAND angalia Smalling, Young, Jones ,Lukaku, James sijui Lingard wote hawa in one team Hahahahahahahahah Best team wanasajili Best players
 
Ili swala la kusema mchezaji fulan anakipaji wakati kipaji chake hakitusaidii ni upuuzii n muda wa MAN U kusajili wachezaji sahihi kwa nafasi sahihi tena bila kujali watu wenye majina makubwa tunahitaji mashinee za kupiga kazi na kuleta mafanikio...tangu nianze kusikia sijui flan anakipaji sijui nn...United inatakiwa irudi enzi za babu fergiii anasajili mtu kwa kazi na ushindi wale kina flechaa,carrick,Neville,brown,valencia hawakuwa na vipaji lakn walipiga kazi mwanzo mwisho tukanyakuwa vikombe kazawakaza....kipaji tupia Kuku akuleeView attachment 1119806
Tafsiri ya kipaji kwa watu wengi ni mchezaji kuwa "flair player"

Ukiwauliza kati ya kundi la Roy Keane/Steven Gerrad/Ngolo Kante na kundi la Kleberson/Martial/Quaresma nani ni mchezaji mwenye kipaji watakwambia ni kundi la pili

Kipaji ni zaidi ya kujua kupiga dana dana, hata yule mama mtanzania ambaye Trump alim like anajua ku control mpira, kipaji ni ball control, stamina, determination, aggression, desire to win, proper attitude n. k
 
Mnaoponda usajili wa James tukumbushane tu.
skysports-premier-league-distance-covered_4612019.png


Tunashika nafasi ya 3 toka chini, timu haikimbizi wala haikabi kumejaa wavivu tu. James ni Aina ya mchezaji ambaye kivyovyote vile tunamhitaji.
-anakaba na kufanya tackling za maana
-ana mbio sana na anaujua vyema mfumo wa counter attack.

Kwa kikosi chetu Man u hatuna mchezaji kama yule,atatu improve.
 
Best team around Europe are signing best players............Kuna timu za ujanja ujanja zipo busy kusajili USELESS kids......
Hahahahahahahahah Cheap option hahahahahahahahah
 
Dunia inaenda kasi sana
JAMES ,RASHFORD, MARTIAL kwa safu hii na nyie kabisa mnajihesabu kichwani mnategemea kombe msimu ujao nyie watu mnautani na mpira sana.
 
Manchester United imeshaishiwa mipango huo ndio ukweli tofauti yenu nyie na Arsenal ni jina tu
 
Mchezaji sijui ana goli 2 kwenye mechi 20 anatokea shabiki anashangilia huu usajili Serious???? Huu usajili wa DANIEL JAMES kuna mashabiki wa MANCHESTER UNITED wanaamini tayari timu imeshakuwa wa Man city na Liverpool
 
Back
Top Bottom