Mbona Rashford aliaminiwa hivyo hivyo ?
Mkuu Rashford aliaminiwa kutokana na kukosa options kwenye mechi yake ya kwanza

Kwanza hata hakuwa rated kiivyo pale academy (kama ilivyokuwa kwa Greenwood au yule dogo James Wilson)

Ile siku timu ilipata majeruhi wengi hivyo ikabidi dogo apewe majukumu out of necessity

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu uko sawa kabisa... Ukirejea list ya walioondoka na waliopo sasa hatupati hata droo, mfano:-
1. Ben forster
2. Rafael
3. Buttner/Evra
4. Mcnaire
5. Evans
6. M.Sneiderlin/ Fellain
7. Di maria/ Januzaj
8. Herrera/ Clavery
9. Chicharito/ Macheda
10. Rvp/ Welbeck
11. Depay
Achana na akina Rooney, Zlatan, Anderson, Gibson, Falcao n.k
fikria hata kikosi cha real madrid kilichobeba makombe mara tatu mfululizo msingi wake mkubwa ulianza kujengwa kuanzia mwaka 2009 chini ya raisi ramon calderon aliyewasajili ronaldo, alonso, benzema, kaka, raul albiol.
baadae wakaongezwa ozil, dimaria, khedira, carvalho, varane, coentrao, callejon, luka modric, kroos, bale n.k
hawa wote wametumikia klabu takribani miaka mitatu hadi nane mbona madrid wamefanikiwa?

ndio maana nikasema hoja ya kuwa na wachezaji 18 tokea mwaka 2015 ndio chanzo cha sisi kufanya vibaya ni dhaifu.
 
huwezi kukimbilia kujaza wachezaji klabuni haliyakuwa waliopo hwajapata sehemu ya kujisitiri, kufanya hivyo ni kuongeza kiwango cha gharama za matumizi ya mishahara.

huwezi kukimbilia kumnunua wan bissaka au mounir haliyakuwa hufahamu mustakabali wa matteo darmian, kama ataondoka itakuwa ni faida kubwa sana kwa sababu gharama zake za huduma zitahamia kwa mchezaji mwengine.

inter milan wanahitaji kwanza kumuondoa mauro icardi ndipo watafute mbadala wake kati ya lukaku au edin dzeko, ndio maana wapo tayari kufanya swap deal mbele ya man utd au AS Roma.

juventus wanavutiwa na huduma ya pogba lakini wapo tayari kutupa dyabala na mchezaji mwengine kwa mujibu wa taarifa.
real madrid kama kawaida yao wanafanya biashara ya ununuzi kwanza then ndio watafanya biashara ya kuuza,ujio wa hazard, jovic, mendy na wengineo utaondoka na bale, james rodriguez, navas na wenngineo.

barcelona wameganda kwenye usajili wa antoine griezmann, unamleta griezman na de ligt lakini umtiti, coutinho, dembele, rakitik, malcom, vermaelen bado wamegoma kuondoka na release clause ni kubwa.
ina maana gharama za mishahara zitaongezeka klabuni kwao kama wote watakusanyika kwa pamoja.

ukija kwetu ni nani anayemuhitaji sanchez?​
Mkuu unachosema ni kweli lakini yote yanawezekana, cha msingi kazi moja ianze na nyingine inafuata

Kwa United tuna uhakika Valencia anaondoka, Herrera anaondoka, big Fella alishakwenda. Damian ni mchezaji ambaye japo hatma yake haijulikani lakini, ni mchezaji ambaye ana chance kubwa sana ya kuondoka huku Inter, Juve na jana nimesikia Valencia nao wameingia kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili.

Pia sikumbuki kama tulisajili mbadala Baada ya kuuza Depay na Blind.

Sanchez inaripotiwa anahitajika Juve, Inter na sasa wanatajwa Atletico kama mziba pengo la Griezeman

Mfano Daniel James ni hitaji la mwaka jana kusajili winger pale United hivyo the space was there already

Rojo pia anatajwa kuuzwa endapo atapatikana mnunuaji (suala lake halipo wazi, zaidi ya sisi mashabiki kutaka aondoke)

Ukweli ambao ni michungu na tunajaribu kujisahaulisha ni kuendelea kuwa na Youngy, Jones, Smalling (japo ninamuamini kama back up central defender) na Rashford kama striker tunayemtegemea. Hili ndio tatizo kubwa.

Lakini imagine, aliondoka Sanchez, Valencia, Rojo, Darmian, Herrera (japo roho inauma) jumlisha na wachezaji walioondoka bila replacement kutakuwa na free space pale United



Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Lakini imagine, aliondoka Sanchez, Valencia, Rojo, Darmian, Herrera (japo roho inauma) jumlisha na wachezaji walioondoka bila replacement kutakuwa na free space pale United
ndio tunavyo ombea yafanyike mabadiliko hayo, niko radhi tushindwe kusajili mchezaji yeyote kuliko kuendelea kuwapa nafasi vilaza wa kila siku.
 
fikria hata kikosi cha real madrid kilichobeba makombe mara tatu mfululizo msingi wake mkubwa ulianza kujengwa kuanzia mwaka 2009 chini ya raisi ramon calderon aliyewasajili ronaldo, alonso, benzema, kaka, raul albiol.
baadae wakaongezwa ozil, dimaria, khedira, carvalho, varane, coentrao, callejon, luka modric, kroos, bale n.k
hawa wote wametumikia klabu takribani miaka mitatu hadi nane mbona madrid wamefanikiwa?

ndio maana nikasema hoja ya kuwa na wachezaji 18 tokea mwaka 2015 ndio chanzo cha sisi kufanya vibaya ni dhaifu.
Kuna na wachezaji 18 ambao ni
Underperfoming tokea 2015 hadi leo ni kosa kubwa sana..ikiwekwa hivi je mkuu??
 
Ili swala la kusema mchezaji fulan anakipaji wakati kipaji chake hakitusaidii ni upuuzii n muda wa MAN U kusajili wachezaji sahihi kwa nafasi sahihi tena bila kujali watu wenye majina makubwa tunahitaji mashinee za kupiga kazi na kuleta mafanikio...tangu nianze kusikia sijui flan anakipaji sijui nn...United inatakiwa irudi enzi za babu fergiii anasajili mtu kwa kazi na ushindi wale kina flechaa,carrick,Neville,brown,valencia hawakuwa na vipaji lakn walipiga kazi mwanzo mwisho tukanyakuwa vikombe kazawakaza....kipaji tupia Kuku akulee
images.jpeg
 
Ili swala la kusema mchezaji fulan anakipaji wakati kipaji chake hakitusaidii ni upuuzii n muda wa MAN U kusajili wachezaji sahihi kwa nafasi sahihi tena bila kujali watu wenye majina makubwa tunahitaji mashinee za kupiga kazi na kuleta mafanikio...tangu nianze kusikia sijui flan anakipaji sijui nn...United inatakiwa irudi enzi za babu fergiii anasajili mtu kwa kazi na ushindi wale kina flechaa,carrick,Neville,brown,valencia hawakuwa na vipaji lakn walipiga kazi mwanzo mwisho tukanyakuwa vikombe kazawakaza....kipaji tupia Kuku akuleeView attachment 1119806
True..

Tunaambiwa tu Martial ana kipaji..mchezaji hata kuvuka tu goli 15 per season ni kazi..hatuwezi kumove one kwa njia hii

Inabidi tusajili wachezaji sahihi kwenye eneo sahihi..
 
Yaani kwa upande wangu ni bora tuwaondoe;

√Ashley Young
√Sanchez
√Darmian
√Rojo
√Lingard
√Jones

Then tumrudishe Tuanzebe,na kuwapa nafasi Greenwood na Chong,kuliko kuwapa hawa vilanza chansi next season
wote hao ukiwaondoa hakuna hasara yoyote tunayoipata, uongozi wa man utd umejawa na uoga wa kipumbavu.

  1. smalling hapati majeruhi ovyo ana uwezo wa kuziba nafasi ya jones na rojo
  2. ashley young, valencia, darmian nafasi zao zitazibwa na usajili mmoja tu lakini awe na uwezo wa kutumia miguu yote miwili itapendeza zaidi kama alivyo diogo dalot, faida kubwa ya ashley young ni uwezo wake wa kuziba pande zote mbili tunapokuwa na majeruhi.
  3. list yako ina waingereza watatu, ukiwaondoa hao baadae ukamleta james maddison waingereza wataziba midomo yao. maddison yupo vizuri zaidi ya jesse lingard kwenye utengenezaji wa nafasi ambalo ndio tatizo letu kubwa sana.
 
huwezi kukimbilia kujaza wachezaji klabuni haliyakuwa waliopo hwajapata sehemu ya kujisitiri, kufanya hivyo ni kuongeza kiwango cha gharama za matumizi ya mishahara.

huwezi kukimbilia kumnunua wan bissaka au mounir haliyakuwa hufahamu mustakabali wa matteo darmian, kama ataondoka itakuwa ni faida kubwa sana kwa sababu gharama zake za huduma zitahamia kwa mchezaji mwengine.

inter milan wanahitaji kwanza kumuondoa mauro icardi ndipo watafute mbadala wake kati ya lukaku au edin dzeko, ndio maana wapo tayari kufanya swap deal mbele ya man utd au AS Roma.

juventus wanavutiwa na huduma ya pogba lakini wapo tayari kutupa dyabala na mchezaji mwengine kwa mujibu wa taarifa.
real madrid kama kawaida yao wanafanya biashara ya ununuzi kwanza then ndio watafanya biashara ya kuuza,ujio wa hazard, jovic, mendy na wengineo utaondoka na bale, james rodriguez, navas na wenngineo.

barcelona wameganda kwenye usajili wa antoine griezmann, unamleta griezman na de ligt lakini umtiti, coutinho, dembele, rakitik, malcom, vermaelen bado wamegoma kuondoka na release clause ni kubwa.
ina maana gharama za mishahara zitaongezeka klabuni kwao kama wote watakusanyika kwa pamoja.

ukija kwetu ni nani anayemuhitaji sanchez?​
Nimesikia atletico madrid wanamtaka Sanchez kama mrithi wa AG.
 
wote hao ukiwaondoa hakuna hasara yoyote tunayoipata, uongozi wa man utd umejawa na uoga wa kipumbavu.

  1. smalling hapati majeruhi ovyo ana uwezo wa kuziba nafasi ya jones na rojo
  2. ashley young, valencia, darmian nafasi zao zitazibwa na usajili mmoja tu lakini awe na uwezo wa kutumia miguu yote miwili itapendeza zaidi kama alivyo diogo dalot, faida kubwa ya ashley young ni uwezo wake wa kuziba pande zote mbili tunapokuwa na majeruhi.
  3. list yako ina waingereza watatu, ukiwaondoa hao baadae ukamleta james maddison waingereza wataziba midomo yao. maddison yupo vizuri zaidi ya jesse lingard kwenye utengenezaji wa nafasi ambalo ndio tatizo letu kubwa sana.
Tusubiri tuone
 
Yaani kwa upande wangu ni bora tuwaondoe;

√Ashley Young
√Sanchez
√Darmian
√Rojo
√Lingard
√Jones

Then tumrudishe Tuanzebe,na kuwapa nafasi Greenwood na Chong,kuliko kuwapa hawa vilaza chansi next season
Mkuu nakuomba kwa heshima zote umuondoe mtumishi wa wa Bwana "Marcus Rojo " katika hiyo orodha ya wahuni wa Tandika ..



Utakuwa umenifanya kuwa na sikukuu tamu kama ukimuondoa huyo mtu kwenye hicho kichaka..
 
Back
Top Bottom