Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
hivi hii timu kumbe bado ipo duniani dah maisha yapo kasi kweli
hahaha Club yao nayo imeshaingiliwa na mdudu anaitwa uzawa hahahhahahah
hivi hii timu kumbe bado ipo duniani dah maisha yapo kasi kweli
hahaha Club yao nayo imeshaingiliwa na mdudu anaitwa uzawa hahahhahahah
Wazee wa kujipendekeza wazee wa kujikombakomba leo mnajikomba wapi
Pogba bado ana mkataba na sisi na bado ni mrefu tuu..Madrid,Barcelona rumours zao za kumtaka naona zimekataSwali kwenu wenzangu, hivi pogba ataendelea kuwepo??
Kuna kipi kimemtokea ?A Mercy to Griezman
Kwa sasa d. James hamuweki benchi hata lingard tuu. Achana na Martial au rashfordromero
bissaka alderwield lindelof shaw
odegaard neves ndombele
pepe lukaku d.james
My dream team..lakini naona hiki kikosi hakiwezekani
Jamaaa kama katelekezwa hiv..hakuna timu inayojigusaKuna kipi kimemtokea ?
Jamaaa kama katelekezwa hiv..hakuna timu inayojigusa
Release clause kubwa sana kiasi team zinaogopa hata kumtafuta
[/QUOPana
Kuna mtu ame edit wikipedia inasema Bruno fernandez ni mchezaji wa Man U
https://en.m.wikipedia.org/wiki/Bruno_Fernandes_(footballer,_born_1994)
Tetesi mbalimbali zinasema ndani ya wiki ijayo huwenda jamaa akawa ni mchezaji wa Man U.
Pana wakati Adidas walitaka kumvuta mess kwenda Man utd kwa mil200. Ikakata kimyakimya
Umeongea kwa hisia sana.kwa mtazamo wangu ni maamuzi ya ovyo yatakayofanywa na klabu endapo itafikia maamuzi ya kumuondoa romelu lukaku.
nafahamu kama jamaa ana udhaifu mkubwa sana kwenye umiliki wa mpira hususan first touch lakini cha kujiuliza man utd kama klabu imemsaidia vipi romelu lukaku aondokane na udhaifu wake?
mbona romelu lukaku huyu huyu mwenye touch mbovu kama simu ya kichina akiwa belgium anafunga magoli anavyojisikia?
tusidanganyane jamani kwa timu tulionao romelu lukaku ndiye mchezaji pekee mwenye uhakika wa kukupa magoli 25 kwa msimu mzima kama utampa huduma zake anazostahili.
- tuna winga wa ovyo wasioeleweka kwa msimu wa pili tokea asajiliwe lukaku, hivi martial, rashford, lingard, sanchez wametengeneza nafasi ngapi za magoli msimu huu?
- tukumbuke james maddison wa leicester city peke yake ametengeneza nafasi za magoli takribani 100 msimu huu je hao wa kwetu wote kwa pamoja wanafikisha nafasi 100 walizotengeneza msimu mzima na wanalipwa mishahara ya kufuru?
- tuna walinzi wa pembeni wa ovyo sana kwenye utoaji wa huduma za mashambulizi kuliko timu kubwa yoyote, luke shaw, young, darmian, dalot wote hawa wanazidiwa na mlinzi mmoja tu wa liverpool wa pembeni either robertson au arnold alexander kwa utoaji wa huduma za mashambulizi, unategemea lukaku afanye nini?
- akichoka paul pogba na viungo wote wamechoka, hivi herrera, matic, na fred wamempa mipira mara ngapi romelu lukaku kwenye eneo la adui msimu huu?
umuuze lukaku then umbakishe rashford kwa kigezo cha umri ni zaidi ya usengee, halafu una uhakika gani kama mshambuliaji ajaye ataendana na vishindo vya ligi ya uingereza kwa muda mfupi?
kama tutaurudisha nyuma umri wa ruud van nistelrooy basi sawa acha tufanye hivyo then tumsajili tena ndipo tumuondoe romelu lukaku.
tumejificha kwenye udhaifu wake wa first touch huku tukijisahaulisha matatizo makubwa yanayotukabili kama timu, chicharito, inzaghi, diego millito walikuwa na touch mbovu mbona walikuwa wanafunga?
unacheza na rooney, scholes, giggs, berbatov, kaka, sneijder, pirlo, seedorf, nani walio kwenye ubora kwa nini usifunge?
nyakati za sir alex ferguson tulikuwa na washambuliaji wanne kwa msimu mmoja, kuna ubaya gani endapo klabu itambakisha lukaku baadae watafute mshambuliaji mwengine wa kuongeza nguvu?
Unataka watoe kiasi gani? Hata bure aende.Duh Young ameshuka thamani kiasi icho![]()
What kind of achievements are you talking about mate? Loosing every single final they have reached? Hugging and jumping on touch line like headless chicken?
Loosing every final, yeah. Jumping on touch with UCL in them hands now!What kind of achievements are you talking about mate? Loosing every single final they have reached? Hugging and jumping on touch line like headless chicken?
Loosing every final, yeah. Jumping on touch with UCL in them hands now!