Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mimi naamini Daniel James, Wan Bissaka, Matthijs de Ligt hizi dili tayari zimekamilika kinachosubiriwa ni statements za pande zote.
Bruno Fernandez hii dili ipo hatua za mwisho.
mimi naamini
 
mimi naamini Daniel James, Wan Bissaka, Matthijs de Ligt hizi dili tayari zimekamilika kinachosubiriwa ni statements za pande zote.
Bruno Fernandez hii dili ipo hatua za mwisho.
mimi naamini
Hizi ndoto zako mbona hatari sana sidhani kama hao wachezaji wote watakuja United.

Huenda Delight na James ikawa sawa ila hao wengine I doubt
 
Matthijs De Ligt inasemekana anataka kusajiliwa na man united lkn jambo linalo niuzi kuwa inasemekana anakuja kwa ajili ya kudevelope na wameona United ni sehem sahihi kwake kwa kudevelope kabla hajkwenda Spain hasa Barcelona.

Kwanza inaonyesha akienda kwa sasa Barcelona akitokea Ajax kama captain lkn akifika Barca ataenda kuishia mpasha joto benchi sabab Gerard Pique hayupo tayari kuiacha au kustaaf karibuni ndani ya Barca.

Pia anaenda united kwasabab Pique alikuwa developed united kabla ya kwenda Barca kuwa regular starter.
Anataka kuja kwetu kama daraja au option ya malengo yake ya kwenda Barca sabab united atakua regular starter.
 
Matthijs De Ligt inasemekana anataka kusajiliwa na man united lkn jambo linalo niuzi kuwa inasemekana anakuja kwa ajili ya kudevelope na wameona United ni sehem sahihi kwake kwa kudevelope kabla hajkwenda Spain hasa Barcelona.

Kwanza inaonyesha akienda kwa sasa Barcelona akitokea Ajax kama captain lkn akifika Barca ataenda kuishia mpasha joto benchi sabab Gerard Pique hayupo tayari kuiacha au kustaaf karibuni ndani ya Barca.

Pia anaenda united kwasabab Pique alikuwa developed united kabla ya kwenda Barca kuwa regular starter.
Anataka kuja kwetu kama daraja au option ya malengo yake ya kwenda Barca sabab united atakua regular starter.
Ni Win- win situation
akidevelop akawa world class,

1. Atakuwa ameisaidia timu, kupata mafanikio,
2.tutamuuza glazers watapata mkwanja mrefu.

Lakini huwezi jua kipindi hicho, Man u itakuwaje, maamuzi ya mchezaji kuhama timu yanaweza badilika.
 
Haha Mkuu. Uki underestimate man u hivo hapana Mkuu, hadhi ya man utd ni 1,2....na ndio maana akikaa Mwl amabe haipandishi anafukuzwa. Kabla ya Ferguson, na baada ya kustaafu Mwl mmoja, walikaa makocha wakatimuliwa hovyo hovyo. Baadaya ya Ferguson the same. Ni ishara kuwa anatakiwa akae Mwl wa ukweli
Na-underestimate au ndo ukweli

Timu yetu ni mbovu mkuu hilo halina ubishi na ikiwa wapinzani wetu watajiboresha huku sisi tukiendelea kuzuba na kuchekacheka na wale waingereza basi nafasi ya saba hata nane inaweza kutuhusu..
 
romero

bissaka alderwield lindelof shaw

odegaard neves ndombele

pepe lukaku d.james


My dream team..lakini naona hiki kikosi hakiwezekani
 
Ni kweli haiwezekani.

Kwanza hauwezi kuwapata hao watu wote kwa wakati mmoja.

Pili hata kama ukiwapata hawawezi kufit kwenye kikosi at once itachukua muda kuelewana.
romero

bissaka alderwield lindelof shaw

odegaard neves ndombele

pepe lukaku d.james


My dream team..lakini naona hiki kikosi hakiwezekani
 
Matthijs De Ligt inasemekana anataka kusajiliwa na man united lkn jambo linalo niuzi kuwa inasemekana anakuja kwa ajili ya kudevelope na wameona United ni sehem sahihi kwake kwa kudevelope kabla hajkwenda Spain hasa Barcelona.

Kwanza inaonyesha akienda kwa sasa Barcelona akitokea Ajax kama captain lkn akifika Barca ataenda kuishia mpasha joto benchi sabab Gerard Pique hayupo tayari kuiacha au kustaaf karibuni ndani ya Barca.

Pia anaenda united kwasabab Pique alikuwa developed united kabla ya kwenda Barca kuwa regular starter.
Anataka kuja kwetu kama daraja au option ya malengo yake ya kwenda Barca sabab united atakua regular starter.
Punguza uoga na hofu,believe me atakua regular based on perfomance,Vipi hupendi mchezaji a-develop?
This is real life hawezi kucheza utd huku anawaza barca itamnyima perfomance nzuri.
 
Back
Top Bottom