#USAJILI: Man United imetuma dau la £70m kumsajili kinda wa Ajax, Matthijs de Ligt na itatekeleza hitaji lake la mshahara wa £350,000 kwa wiki. Mchezaji wa zamani wa Man United, Daley Blind amethibitisha kuwa de Ligt amechagua kujiungan na Man Uited kuliko Barcelona.
Mkufunzi wa zamani wa klabu ya Manchester United Sir Alex Ferguson ameshangazwa ni kwa nini klabu hiyo haitafuti ushauri wake na anaamini kwamba klabu hyo ingemsajili mkufunzi wa Tottenham manager Mauricio Pochettino badala ya Ole Gunnar Solskjaer. (Mail on Sunday)
mbona mnamsingizia sana fergie? Alishasema moyes alikuwa choice ya 6, choice 5 aliwapa man u juu yake ambao ni
1. PEP Guardiola ( Fergie mwenyewe alimpigia simu)
2. Jose Mourinho
3. Jurgen Klop
4. LVG
5.
mbona mnamsingizia sana fergie? Alishasema moyes alikuwa choice ya 6, choice 5 aliwapa man u juu yake ambao ni
1. PEP Guardiola ( Fergie mwenyewe alimpigia simu)
2. Jose Mourinho
3. Jurgen Klop
4. LVG
5.
Ni sahihi ila alikuwa na mkono wake hapo. Ma meneja wengi walikuwa bado wapo vibaruani so ilikuwa ni ngumu kuwapata na pep hakutaka kuja, nshawahi msikia yeye mwenyewe tena anasema ascent ya feigie ilikuwa ni ngumu sana kumuelewa hata anachoongea.
Ni sahihi ila alikuwa na mkono wake hapo. Ma meneja wengi walikuwa bado wapo vibaruani so ilikuwa ni ngumu kuwapata na pep hakutaka kuja, nshawahi msikia yeye mwenyewe tena anasema ascent ya feigie ilikuwa ni ngumu sana kumuelewa hata anachoongea.