21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
Msimu ujao mnashuka daraja, timu yenu ishaoza
Kwahiyo Leicester wiki iliyopita alikuwa ni bwana wenuWAZEE WA KUJIPENDEKEZA KWA TIMU ZA WATU NAONA TAYARI MMESHAPATA BWANA MPYA WA KULALA NAE USIKU WA LEO HAHAHAHAHAHAHAHAH
Utabiri mfilisi.Msimu ujao mnashuka daraja, timu yenu ishaoza
Nitakuwa mjinga kujibishana na shabiki ambaye timu yake inafungwa mpaka na Cardiff city MANCHESTER UNITED si kama TOILET PAPER TUKwahiyo Leicester wiki iliyopita alikuwa ni bwana wenu
Hongereni kwa kusindikiza mpaka mwisho
Katika award ambazo Klop anapaswa kupata ni kuwa msindikizaji bora
Liverpool ni kama kinyeo kinachoguswa/safishwa na hiyo toilet paperNitakuwa mjinga kujibishana na shabiki ambaye timu yake inafungwa mpaka na Cardiff city MANCHESTER UNITED si kama TOILET PAPER TU
Wachezaji wa Man U wamegeuka na kuwa kikundi cha waasi,vunjilia mbali hiki kikundi tuanze upya nyambafu!Hivi Ole alishindwa kuchagua captain. Maana captain angejaribu kudeal na wachezaji ili waache mgomo. Ni hakika hapo si bure pana mgomo. Kama Huddersfield na Cardiff ambao wameshashuka daraja bado wachezaji wanacheza kwa moyo, hawa nafasi ya sita (6) wapo nje ya mchezo. Something must be done.
As it happened at Old Trafford.
Wachezaji wa Man U wamegeuka na kuwa kikundi cha waasi,vunjilia mbali hiki kikundi tuanze upya nyambafu!
Hivi wakuu shida iko wapi jamani??.
Hata mechi ya mwisho tena nyumbani bado tunafungwa na kitimu hiki kweli
Kwa hiyo zile mechi walizoshinda ilikuwa kumuumiza Mou au??
Manake kocha ndo huyohuyo wachezaji ndo hao hao
Damn!!!