Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie ongeeeni yote lakini Mimi hapa ubongo ni Kama umepiga ganzi siamini kabisa kinachoendelea!Man U wa kuililia nafasi ya nne kiasi hiki?really?tunaipigania kabisa nafasi ya nne Kama tunaipigania ubingwa?kuna jamaa zangu mashabiki wa arsenal nilikuwa nawatania balaa enzi za mzee Fegi jinsi mbio zao zilivyokuwa zinabadilika ikifika february-march na kuhamishia nguvu zote kupigania top four.Yaani walikuwa wanaanza ligi kwa mbwembwe nyingi lakini ikifika kipindi hicho matumaini yao ya ubingwa yanakuwa yamepotea wanabadili gia angani.sikuwahi kuimagine Kuwa Kuna siku Kama hizi zitakuja....tunalia kabisa tumekosa nafasi ya nne!!!!!!this is sh***t!yaani pale walipo Man City na Liverpool zile mbio sisi ndio tunapostahili na sio huku mavumbini!!!!!inauma Sana hasa kwa sisi wengine tunaougua ugonjwa wa soka,naumia Sana lakini ndio hivyo napambana na Hali yangu.bahati mbaya kwangu huwa nashindwa kujizuia kuangalia mechi za man u,yaani tunapigwa Kama siku ile na everton mtu unajiapiza siangalii Tena mechi ya man u lakini ikifika siku anacheza unakomaa dakika ya 15-20 huyo kwenye kideo na tabasamu la kuvizia!Cha Moto nakiona......lakini nitabaki kuwa RED FOREVER.
Mkuu ngoja tupumzike UCL, hatuna timu pale
 
Jamaaa kanakenua tu saiv
20190506_073952_rmscr-1.jpeg
20190506_073928_rmscr-1.jpeg
 
Mkuu, timu yetu ina tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria wengi, tumetoka sana nje ya mstari wa mpira wa miguuu na soka la ushindani kwa kulinganisha na viwango vya wapinzani wetu,
Tatizo letu ni kutokuwa na watu wa mpira katika nyadhifa muhimu za timu yetu,
Kutokuwa na watu wenye kujua tunataka nini kesho, wala kuwa na falsafa ya mpira ya kudumu,
Nakupa mifano ifuatayo,
Barcelona, ina la masia, ambayo kwa miaka mingi imekua tegemeo lao kwenye tikitaka, kila raisi wa klabu anakuja kuhakikisha tikitaka inafanta kazi, la masia inazalisha, na wanasajili wachezaji wazuri wa kuja kufiti tikitaka, sio timu ifate mchezo wa mchezaji tuliemsajili,
Suarez huyu wa barca sio yule wa liver, huyu anaachia pasi ata akiwa golini, yule mchoyo hatoi pasi, ila sisi tunataka tubadilishe mchezo tucheze kama anavyotaka pogba,
Tunatoka hapo tunakuja city, Kabla pep guardiola hajaja city, kwanza alitangulizwa kusajiliwa mkurugenzi wa michezo kutoka barca Txiki Bergistrian,
Waarabu wa city walitaka tikitaka ya barca ya pep ije city, na ili kufikia hapo, kwanza walileta watu wawili kutoka barca mmoja wao ndo uyo txiki, kuna mwingine, alafu baadae wakaja na pep, city wana falsafa, wana watu wa kuihudumia falsafa yao mpya, na wana maana kumuweka arteta pale benchi, sio wajinga, hata recruitment zao wanaleta watu kuja kucheza ile tikitaka ya city pale, sio citu icheze kama hao wachezaji wanavyotaka,
Iangalie bayern, jopo zima la uongozi wa bayern kuanzia raisi adi wakurugenzi, ni former bayern players, watu wa mpira, wana style yao ya bayern, pasi, kaunta, mashuti, mipira mirefu, pep alifundisha pale, ila wajerumani wakasema hawataki too much passing, sio style yao, wakamuondoa pep japo kawapa ligi, wameheshimu utamaduni wao, hata wachezaji wanaenda kucheza bayern style, huwezi sikia lewandowski style, au goetze style bayern,
Kukosa kwetu watu wenye vision ya mpira, kumepelekea kutupeleka kwenye majanga zaidi na zaidi, kila kukicha,
Hata tusajili wachezaji wazuri kiasi gani, ikiwa timu haina falsafa, basi kila mchezaji mzuri atatufaa, wakati kimpira sio kweli, sio kila mchezaji mzuri anaweza cheza timu fulani, haiko hivyo....falsafa ziko tofauti,
Wazungu wanasema *"if you don't know where you are going, any road will take you there"*,
Na sisi hatujui tunakotaka kwenda, mchezaji mzuri yoyote ni sahihi kwetu, kocha yoyote mzuri ni sahihi kwetu,
Ndio maana alitoka Fergie, tukaleta moyes, watu wawili wenye falsafa tofauti, tukaleta lvg, falsafa tofauti kabisa, tukaleta mou, napo tofautiiii, sasa tuna OGS ambae huyu sasa anajaribu falsafa za fergie na kujaribu kuishi kwa uzoefu wa zamani,
Hii ni dalili ya timu isiyojielewa inataka nini,
Huwezi ona barca wamemchukua mtu kama mou, never,
Waangalie hata city, walitoka kwa pellegrin ambae alikua anaucheza mpira, wakaja kwa pep anaeuchezea mpira kabisa,
Tuangalie umri wa watu wengi tuliosajili, tumesajili 29+ yrs, unajengaje timu na watu wa namna hii??
Halafu kutokuwa na watu wa mpira kwenye uongozi, angalia mishahara tunayolipa, tunalipa hovyo sana,
RVP alikuja kwetu akiwa kashacheza Epl misimu zaidi ya tisa akiwa arsenal, akapewa 200,000 kwa wiki akiwa tayari anawaka pale arsenal, akatupa epl tittle,
Sisi hiyo 200,000 ni mshahara wa luke shaw wa sasa, fernandinho na kazi anayopiga pale city, anakula 80, sisi pogba anakula mara tatu ya fernandinho, lukakua anakula 270 uko, zaidi ya rvp, aguero, sitaki kumtaja sanchez,
Kwahiyo wachezaji wanakuja OT sio kwa sababu sisi ni timu ya ushindani, bali ni timu inayotoa mihela tuu,

Leo hii mchezaji akiskia anaenda liverpool moyoni kabisa anajua anaenda kucheza mpira,
Akisikia anaenda barca, anajua kabisa anaenda kushinda makombe,
Akienda madrid anajua kabisa anaenda kuwa katika historia kubwa ya mpira duniani,
Akisikia anaenda man utd, anajua anaenda kulipwa hela nyingi,
Ndiyo legacy inayoletwa na viongozi wetu,
We need a major rebuild, ishu sio kocha sana sana, ishu ni timu ijue falsafa yetu ni ipi?? kwanza, alafu ndo tuje, je huyu kocha anaijua falsafa yetu, au ataiendeleza??? au falsafa yake inatupendeza ili tuiache yetu tunayoipenda tuifate yake??
Halafu, baada ya hapo, inahitajika kurudisha wachezaji katika mishahara ambayo watawaza mpira na sio kutalii, pale barca na madrd wanaolipwa pesa nyingi messi na ronaldo tu walikua, labda na ramos, wengine walikua kawaida tuu, sisi kwetu kila mtu kambale, baba ndevu, mama ndevu, watoto ndevu, kuanzia de gea hadi wa kumi na moja wote walipwe 200+, sasa unategemea kutakuwa na mpira hapo???
 
Mkuu, timu yetu ina tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria wengi, tumetoka sana nje ya mstari wa mpira wa miguuu na soka la ushindani kwa kulinganisha na viwango vya wapinzani wetu,
Tatizo letu ni kutokuwa na watu wa mpira katika nyadhifa muhimu za timu yetu,
Kutokuwa na watu wenye kujua tunataka nini kesho, wala kuwa na falsafa ya mpira ya kudumu,
Nakupa mifano ifuatayo,
Barcelona, ina la masia, ambayo kwa miaka mingi imekua tegemeo lao kwenye tikitaka, kila raisi wa klabu anakuja kuhakikisha tikitaka inafanta kazi, la masia inazalisha, na wanasajili wachezaji wazuri wa kuja kufiti tikitaka, sio timu ifate mchezo wa mchezaji tuliemsajili,
Suarez huyu wa barca sio yule wa liver, huyu anaachia pasi ata akiwa golini, yule mchoyo hatoi pasi, ila sisi tunataka tubadilishe mchezo tucheze kama anavyotaka pogba,
Tunatoka hapo tunakuja city, Kabla pep guardiola hajaja city, kwanza alitangulizwa kusajiliwa mkurugenzi wa michezo kutoka barca Txiki Bergistrian,
Waarabu wa city walitaka tikitaka ya barca ya pep ije city, na ili kufikia hapo, kwanza walileta watu wawili kutoka barca mmoja wao ndo uyo txiki, kuna mwingine, alafu baadae wakaja na pep, city wana falsafa, wana watu wa kuihudumia falsafa yao mpya, na wana maana kumuweka arteta pale benchi, sio wajinga, hata recruitment zao wanaleta watu kuja kucheza ile tikitaka ya city pale, sio citu icheze kama hao wachezaji wanavyotaka,
Iangalie bayern, jopo zima la uongozi wa bayern kuanzia raisi adi wakurugenzi, ni former bayern players, watu wa mpira, wana style yao ya bayern, pasi, kaunta, mashuti, mipira mirefu, pep alifundisha pale, ila wajerumani wakasema hawataki too much passing, sio style yao, wakamuondoa pep japo kawapa ligi, wameheshimu utamaduni wao, hata wachezaji wanaenda kucheza bayern style, huwezi sikia lewandowski style, au goetze style bayern,
Kukosa kwetu watu wenye vision ya mpira, kumepelekea kutupeleka kwenye majanga zaidi na zaidi, kila kukicha,
Hata tusajili wachezaji wazuri kiasi gani, ikiwa timu haina falsafa, basi kila mchezaji mzuri atatufaa, wakati kimpira sio kweli, sio kila mchezaji mzuri anaweza cheza timu fulani, haiko hivyo....falsafa ziko tofauti,
Wazungu wanasema *"if you don't know where you are going, any road will take you there"*,
Na sisi hatujui tunakotaka kwenda, mchezaji mzuri yoyote ni sahihi kwetu, kocha yoyote mzuri ni sahihi kwetu,
Ndio maana alitoka Fergie, tukaleta moyes, watu wawili wenye falsafa tofauti, tukaleta lvg, falsafa tofauti kabisa, tukaleta mou, napo tofautiiii, sasa tuna OGS ambae huyu sasa anajaribu falsafa za fergie na kujaribu kuishi kwa uzoefu wa zamani,
Hii ni dalili ya timu isiyojielewa inataka nini,
Huwezi ona barca wamemchukua mtu kama mou, never,
Waangalie hata city, walitoka kwa pellegrin ambae alikua anaucheza mpira, wakaja kwa pep anaeuchezea mpira kabisa,
Tuangalie umri wa watu wengi tuliosajili, tumesajili 29+ yrs, unajengaje timu na watu wa namna hii??
Halafu kutokuwa na watu wa mpira kwenye uongozi, angalia mishahara tunayolipa, tunalipa hovyo sana,
RVP alikuja kwetu akiwa kashacheza Epl misimu zaidi ya tisa akiwa arsenal, akapewa 200,000 kwa wiki akiwa tayari anawaka pale arsenal, akatupa epl tittle,
Sisi hiyo 200,000 ni mshahara wa luke shaw wa sasa, fernandinho na kazi anayopiga pale city, anakula 80, sisi pogba anakula mara tatu ya fernandinho, lukakua anakula 270 uko, zaidi ya rvp, aguero, sitaki kumtaja sanchez,
Kwahiyo wachezaji wanakuja OT sio kwa sababu sisi ni timu ya ushindani, bali ni timu inayotoa mihela tuu,

Leo hii mchezaji akiskia anaenda liverpool moyoni kabisa anajua anaenda kucheza mpira,
Akisikia anaenda barca, anajua kabisa anaenda kushinda makombe,
Akienda madrid anajua kabisa anaenda kuwa katika historia kubwa ya mpira duniani,
Akisikia anaenda man utd, anajua anaenda kulipwa hela nyingi,
Ndiyo legacy inayoletwa na viongozi wetu,
We need a major rebuild, ishu sio kocha sana sana, ishu ni timu ijue falsafa yetu ni ipi?? kwanza, alafu ndo tuje, je huyu kocha anaijua falsafa yetu, au ataiendeleza??? au falsafa yake inatupendeza ili tuiache yetu tunayoipenda tuifate yake??
Halafu, baada ya hapo, inahitajika kurudisha wachezaji katika mishahara ambayo watawaza mpira na sio kutalii, pale barca na madrd wanaolipwa pesa nyingi messi na ronaldo tu walikua, labda na ramos, wengine walikua kawaida tuu, sisi kwetu kila mtu kambale, baba ndevu, mama ndevu, watoto ndevu, kuanzia de gea hadi wa kumi na moja wote walipwe 200+, sasa unategemea kutakuwa na mpira hapo???
Umeongea facts kwa uchungu sana!
 
Mkuu, timu yetu ina tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria wengi, tumetoka sana nje ya mstari wa mpira wa miguuu na soka la ushindani kwa kulinganisha na viwango vya wapinzani wetu,
Tatizo letu ni kutokuwa na watu wa mpira katika nyadhifa muhimu za timu yetu,
Kutokuwa na watu wenye kujua tunataka nini kesho, wala kuwa na falsafa ya mpira ya kudumu,
Nakupa mifano ifuatayo,
Barcelona, ina la masia, ambayo kwa miaka mingi imekua tegemeo lao kwenye tikitaka, kila raisi wa klabu anakuja kuhakikisha tikitaka inafanta kazi, la masia inazalisha, na wanasajili wachezaji wazuri wa kuja kufiti tikitaka, sio timu ifate mchezo wa mchezaji tuliemsajili,
Suarez huyu wa barca sio yule wa liver, huyu anaachia pasi ata akiwa golini, yule mchoyo hatoi pasi, ila sisi tunataka tubadilishe mchezo tucheze kama anavyotaka pogba,
Tunatoka hapo tunakuja city, Kabla pep guardiola hajaja city, kwanza alitangulizwa kusajiliwa mkurugenzi wa michezo kutoka barca Txiki Bergistrian,
Waarabu wa city walitaka tikitaka ya barca ya pep ije city, na ili kufikia hapo, kwanza walileta watu wawili kutoka barca mmoja wao ndo uyo txiki, kuna mwingine, alafu baadae wakaja na pep, city wana falsafa, wana watu wa kuihudumia falsafa yao mpya, na wana maana kumuweka arteta pale benchi, sio wajinga, hata recruitment zao wanaleta watu kuja kucheza ile tikitaka ya city pale, sio citu icheze kama hao wachezaji wanavyotaka,
Iangalie bayern, jopo zima la uongozi wa bayern kuanzia raisi adi wakurugenzi, ni former bayern players, watu wa mpira, wana style yao ya bayern, pasi, kaunta, mashuti, mipira mirefu, pep alifundisha pale, ila wajerumani wakasema hawataki too much passing, sio style yao, wakamuondoa pep japo kawapa ligi, wameheshimu utamaduni wao, hata wachezaji wanaenda kucheza bayern style, huwezi sikia lewandowski style, au goetze style bayern,
Kukosa kwetu watu wenye vision ya mpira, kumepelekea kutupeleka kwenye majanga zaidi na zaidi, kila kukicha,
Hata tusajili wachezaji wazuri kiasi gani, ikiwa timu haina falsafa, basi kila mchezaji mzuri atatufaa, wakati kimpira sio kweli, sio kila mchezaji mzuri anaweza cheza timu fulani, haiko hivyo....falsafa ziko tofauti,
Wazungu wanasema *"if you don't know where you are going, any road will take you there"*,
Na sisi hatujui tunakotaka kwenda, mchezaji mzuri yoyote ni sahihi kwetu, kocha yoyote mzuri ni sahihi kwetu,
Ndio maana alitoka Fergie, tukaleta moyes, watu wawili wenye falsafa tofauti, tukaleta lvg, falsafa tofauti kabisa, tukaleta mou, napo tofautiiii, sasa tuna OGS ambae huyu sasa anajaribu falsafa za fergie na kujaribu kuishi kwa uzoefu wa zamani,
Hii ni dalili ya timu isiyojielewa inataka nini,
Huwezi ona barca wamemchukua mtu kama mou, never,
Waangalie hata city, walitoka kwa pellegrin ambae alikua anaucheza mpira, wakaja kwa pep anaeuchezea mpira kabisa,
Tuangalie umri wa watu wengi tuliosajili, tumesajili 29+ yrs, unajengaje timu na watu wa namna hii??
Halafu kutokuwa na watu wa mpira kwenye uongozi, angalia mishahara tunayolipa, tunalipa hovyo sana,
RVP alikuja kwetu akiwa kashacheza Epl misimu zaidi ya tisa akiwa arsenal, akapewa 200,000 kwa wiki akiwa tayari anawaka pale arsenal, akatupa epl tittle,
Sisi hiyo 200,000 ni mshahara wa luke shaw wa sasa, fernandinho na kazi anayopiga pale city, anakula 80, sisi pogba anakula mara tatu ya fernandinho, lukakua anakula 270 uko, zaidi ya rvp, aguero, sitaki kumtaja sanchez,
Kwahiyo wachezaji wanakuja OT sio kwa sababu sisi ni timu ya ushindani, bali ni timu inayotoa mihela tuu,

Leo hii mchezaji akiskia anaenda liverpool moyoni kabisa anajua anaenda kucheza mpira,
Akisikia anaenda barca, anajua kabisa anaenda kushinda makombe,
Akienda madrid anajua kabisa anaenda kuwa katika historia kubwa ya mpira duniani,
Akisikia anaenda man utd, anajua anaenda kulipwa hela nyingi,
Ndiyo legacy inayoletwa na viongozi wetu,
We need a major rebuild, ishu sio kocha sana sana, ishu ni timu ijue falsafa yetu ni ipi?? kwanza, alafu ndo tuje, je huyu kocha anaijua falsafa yetu, au ataiendeleza??? au falsafa yake inatupendeza ili tuiache yetu tunayoipenda tuifate yake??
Halafu, baada ya hapo, inahitajika kurudisha wachezaji katika mishahara ambayo watawaza mpira na sio kutalii, pale barca na madrd wanaolipwa pesa nyingi messi na ronaldo tu walikua, labda na ramos, wengine walikua kawaida tuu, sisi kwetu kila mtu kambale, baba ndevu, mama ndevu, watoto ndevu, kuanzia de gea hadi wa kumi na moja wote walipwe 200+, sasa unategemea kutakuwa na mpira hapo???
umesema kweli asee.
 
Jamani hivi mfano chelsea aende fainali abebe kombe la Europa na mechi ijayo man u ashinde mechi dhidi ya Cardif na awe nafasi ya tano na arsenal apigwe na Burnley awe nafasi ya sita hapo inakuwaje kwenye sheria za Uefa zinasemaje pale timu inapoingia top four na vilevile ikachukua Europa....????
 
Ndo kinachoniboa mimi..awaweke benchi then apange madogo tujue kimoja..
Anampanga Jones anamuacha Smalling, kuna magoli kama 2 Jones alitaka kuchomesha

Anamuacha nje Dalot game tunayopaswa kushambulia mwanzo mwisho anamwanzisha Young

Matic in Fred out and/or Ander out

Mchezaji wake pendwa Rashford ndio huyo, msimu ujao lazima anyang'anywe namba na Greenwood na OGS akimng'ang'ania ataondoshwa mapema na Glazer (nina uhakika kuna clause inayoongelea achievement ya kocha, Glazers watakuwa wameshajifunza).

Rashford is faster Welback version
 
Jamani hivi mfano chelsea aende fainali abebe kombe la Europa na mechi ijayo man u ashinde mechi dhidi ya Cardif na awe nafasi ya tano na arsenal apigwe na Burnley awe nafasi ya sita hapo inakuwaje kwenye sheria za Uefa zinasemaje pale timu inapoingia top four na vilevile ikachukua Europa....????
Sheria ni kwamba wanaoingia UCL ni wale wa nafasi 1—4

Wa nafasi ya 5 kwenda chini huko ataingia UCL kama tu amechukua ushindi wa UCL au Europa League

Hamna msaada wa namna hiyo ambao United ataupata kupitia Chelsea
 
Nilikuwa nawaza Luke Shaw kuwa Mchezaji bora msimu huu, lakini kwa jinsi alivyochomesha mechi ya Wolves kisha ya jana ya Huddersfield ni bora tu mwaka huu hiyo tuzo ikasubiri mwakani
 
Around 3rd December 2018, Jose Mourinho gave this statement. Fast forward to United's fine form under Ole Gunnar Solskjær which made us be in TOP 4 and every united page went crazy on Jose and his this Statement.

5th May 2019, Man Utd will miss the Champions League next season. He already knew that the players do not have the fight to carry the pressure this clubs puts on them.

I'm happy that I wasn't like the other pages who ranted on Jose's statement. How can you treat a manager who's been one of the best in the last 20 years? Sacking Jose was one the most embarrassing things the Club has ever done, and I'm not scared to say this.
57558552_324533511525483_529101340166182596_n.jpeg
 
Around 3rd December 2018, Jose Mourinho gave this statement. Fast forward to United's fine form under Ole Gunnar Solskjær which made us be in TOP 4 and every united page went crazy on Jose and his this Statement.

5th May 2019, Man Utd will miss the Champions League next season. He already knew that the players do not have the fight to carry the pressure this clubs puts on them.

I'm happy that I wasn't like the other pages who ranted on Jose's statement. How can you treat a manager who's been one of the best in the last 20 years? Sacking Jose was one the most embarrassing things the Club has ever done, and I'm not scared to say this.View attachment 1089469
Jose ni kocha endapo tu atapewa anachotaka. Akipata wachezaji wa type yake, jose humtishiii kwa timu yyt ile.
Yes kiusajili last season kuna namna siyo.....ila jamaa anajua.

Hiv haiwezekan kumrudsha bhana na saiv sijui ataenda club gani mana hasikiki ataenda wapi
 
Bandiko zuri kabisa sasa naomba kujua falsafa ya Man Utd toka babu akiwepo maana alishinda vikombe
Mkuu, timu yetu ina tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria wengi, tumetoka sana nje ya mstari wa mpira wa miguuu na soka la ushindani kwa kulinganisha na viwango vya wapinzani wetu,
Tatizo letu ni kutokuwa na watu wa mpira katika nyadhifa muhimu za timu yetu,
Kutokuwa na watu wenye kujua tunataka nini kesho, wala kuwa na falsafa ya mpira ya kudumu,
Nakupa mifano ifuatayo,
Barcelona, ina la masia, ambayo kwa miaka mingi imekua tegemeo lao kwenye tikitaka, kila raisi wa klabu anakuja kuhakikisha tikitaka inafanta kazi, la masia inazalisha, na wanasajili wachezaji wazuri wa kuja kufiti tikitaka, sio timu ifate mchezo wa mchezaji tuliemsajili,
Suarez huyu wa barca sio yule wa liver, huyu anaachia pasi ata akiwa golini, yule mchoyo hatoi pasi, ila sisi tunataka tubadilishe mchezo tucheze kama anavyotaka pogba,
Tunatoka hapo tunakuja city, Kabla pep guardiola hajaja city, kwanza alitangulizwa kusajiliwa mkurugenzi wa michezo kutoka barca Txiki Bergistrian,
Waarabu wa city walitaka tikitaka ya barca ya pep ije city, na ili kufikia hapo, kwanza walileta watu wawili kutoka barca mmoja wao ndo uyo txiki, kuna mwingine, alafu baadae wakaja na pep, city wana falsafa, wana watu wa kuihudumia falsafa yao mpya, na wana maana kumuweka arteta pale benchi, sio wajinga, hata recruitment zao wanaleta watu kuja kucheza ile tikitaka ya city pale, sio citu icheze kama hao wachezaji wanavyotaka,
Iangalie bayern, jopo zima la uongozi wa bayern kuanzia raisi adi wakurugenzi, ni former bayern players, watu wa mpira, wana style yao ya bayern, pasi, kaunta, mashuti, mipira mirefu, pep alifundisha pale, ila wajerumani wakasema hawataki too much passing, sio style yao, wakamuondoa pep japo kawapa ligi, wameheshimu utamaduni wao, hata wachezaji wanaenda kucheza bayern style, huwezi sikia lewandowski style, au goetze style bayern,
Kukosa kwetu watu wenye vision ya mpira, kumepelekea kutupeleka kwenye majanga zaidi na zaidi, kila kukicha,
Hata tusajili wachezaji wazuri kiasi gani, ikiwa timu haina falsafa, basi kila mchezaji mzuri atatufaa, wakati kimpira sio kweli, sio kila mchezaji mzuri anaweza cheza timu fulani, haiko hivyo....falsafa ziko tofauti,
Wazungu wanasema *"if you don't know where you are going, any road will take you there"*,
Na sisi hatujui tunakotaka kwenda, mchezaji mzuri yoyote ni sahihi kwetu, kocha yoyote mzuri ni sahihi kwetu,
Ndio maana alitoka Fergie, tukaleta moyes, watu wawili wenye falsafa tofauti, tukaleta lvg, falsafa tofauti kabisa, tukaleta mou, napo tofautiiii, sasa tuna OGS ambae huyu sasa anajaribu falsafa za fergie na kujaribu kuishi kwa uzoefu wa zamani,
Hii ni dalili ya timu isiyojielewa inataka nini,
Huwezi ona barca wamemchukua mtu kama mou, never,
Waangalie hata city, walitoka kwa pellegrin ambae alikua anaucheza mpira, wakaja kwa pep anaeuchezea mpira kabisa,
Tuangalie umri wa watu wengi tuliosajili, tumesajili 29+ yrs, unajengaje timu na watu wa namna hii??
Halafu kutokuwa na watu wa mpira kwenye uongozi, angalia mishahara tunayolipa, tunalipa hovyo sana,
RVP alikuja kwetu akiwa kashacheza Epl misimu zaidi ya tisa akiwa arsenal, akapewa 200,000 kwa wiki akiwa tayari anawaka pale arsenal, akatupa epl tittle,
Sisi hiyo 200,000 ni mshahara wa luke shaw wa sasa, fernandinho na kazi anayopiga pale city, anakula 80, sisi pogba anakula mara tatu ya fernandinho, lukakua anakula 270 uko, zaidi ya rvp, aguero, sitaki kumtaja sanchez,
Kwahiyo wachezaji wanakuja OT sio kwa sababu sisi ni timu ya ushindani, bali ni timu inayotoa mihela tuu,

Leo hii mchezaji akiskia anaenda liverpool moyoni kabisa anajua anaenda kucheza mpira,
Akisikia anaenda barca, anajua kabisa anaenda kushinda makombe,
Akienda madrid anajua kabisa anaenda kuwa katika historia kubwa ya mpira duniani,
Akisikia anaenda man utd, anajua anaenda kulipwa hela nyingi,
Ndiyo legacy inayoletwa na viongozi wetu,
We need a major rebuild, ishu sio kocha sana sana, ishu ni timu ijue falsafa yetu ni ipi?? kwanza, alafu ndo tuje, je huyu kocha anaijua falsafa yetu, au ataiendeleza??? au falsafa yake inatupendeza ili tuiache yetu tunayoipenda tuifate yake??
Halafu, baada ya hapo, inahitajika kurudisha wachezaji katika mishahara ambayo watawaza mpira na sio kutalii, pale barca na madrd wanaolipwa pesa nyingi messi na ronaldo tu walikua, labda na ramos, wengine walikua kawaida tuu, sisi kwetu kila mtu kambale, baba ndevu, mama ndevu, watoto ndevu, kuanzia de gea hadi wa kumi na moja wote walipwe 200+, sasa unategemea kutakuwa na mpira hapo???
 
Back
Top Bottom