3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,885
Kama J.Sancho bei yake daah.. bora dili limekufa, wanatufanyia mtimanyongo sanatimu tatu zinaweza kutuma offer kwa mchezaji mmoja hapo sasa inabaki kazi ya timu na mchezaji kusikiliza offer nzuri.
pia usikute United hawana mpango wowote na huyo dogo isipokuwa wakala wake na magazeti yanataka kufanya biashara.
Barca na Madrid wanahusishwa na Jovic lakini sio habari ya mjini, je ushawahi kujiuliza ingekuwaje huyo dogo angehusishwa na timu yako??
huyu Herrera pamoja na uhodari wake lakini angeachwa na Madrid au Barca wala isingekuwa story.