Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh mkuu, Hazard amekuja Chelsea United na City wanamtolea Macho

Perisic ni wa kawaida sana mkuu
Sawa lakini si alichagua kwetu

Kumbuka city haikuwa na ushawishi bado wa kuvutia wachezaji,

Alikuwa na machaguo mawili tu United, au Chelsea

Akasema anaenda kwa mabingwa wa ulaya au umesahau mkuu
 
Hapo naona kama unamvunjia heshima Hazard na kujidanganya tu mkuu, msimu huu yeye ndo ameongoza kwa Assist na Magoli kwenye club yenu akiwa na goli 16 na assist 15 na hyo ni premier league tu sasa kwa mchango kama huo nani ataweza ziba pengo lake pale akiondoka kwa akili yako?pamoja na kuchangia hvyo yeye binafsi bdo timu yenu imestruggle kdgo kuingia top 4, hapo unajifunza nn?imagine asingekuwepo ss, btw yeye ndo anaongoza kwa assist PL nzima.

Kwenye tuzo zenu za msimu huu jamaa kachukua kila kitu,Mchezaji bora,Mfungaji bora,Na goli bora la msimu alafu unadiliki kusema hammtegemei hebu kuwa serious kijana! Hao kina Willian sijui Pedro na Higuain ni majina tu ila kimchango hakuna aliemkaribia acha kumfikia hata kidgo!
Sikatai uwezo wake mkuu na ndio maana natumia avatar yake

Ninachopinga Mimi ni kusema akiondoka team itatetereka
 
Sawa lakini si alichagua kwetu

Kumbuka city haikuwa na ushawishi bado wa kuvutia wachezaji,

Alikuwa na machaguo mawili tu United, au Chelsea

Akasema anaenda kwa mabingwa wa ulaya au umesahau mkuu
Kwa kipindi kile United alikuwa ni chaguo lenye kuvutia kuliko Chelsea

City ndio walikuwa wameanza mapinduzi yao

Lakini usitoke nje ya mjadala,

Hoja ya msingi Hazard alikuwa tayari ni mchezaji mzuri na anavutia timu kubwa kwa hiyo kumfananisha na Pulisic ni kumtusi huyo kijana wa kibelgiji
 
Mimi huwa naamini mtaweza kukaribia kufunika pengo la hazard kama mtamsajili Coutinho halafu akaweza kurudisha kile kiwango alichokuwanacho pale Liverpool
Hakuna kitu hapo, kwanza hana ubunifu uwanjani, ndio maana Barca wanataka kuuza
 
Sikatai uwezo wake mkuu na ndio maana natumia avatar yake

Ninachopinga Mimi ni kusema akiondoka team itatetereka

Inaonekana hujaielewa vzr comment yangu,nimejaribu kukuonesha ni jinsi gani mnavyo mtegemea na nimekuuliza kiroho safi tu wewe unaona nani ataziba pengo lake pale akiondoka? yaani kitakacho tokea ni kama kilichowakuta Madrid baada ya Ronaldo kuondoka
 
Sawa lakini si alichagua kwetu

Kumbuka city haikuwa na ushawishi bado wa kuvutia wachezaji,

Alikuwa na machaguo mawili tu United, au Chelsea

Akasema anaenda kwa mabingwa wa ulaya au umesahau mkuu
Alichagua kuja chelsea kwa sababu SAF alikataa kumlipa agent cha juu.
 
Inaonekana hujaielewa vzr comment yangu,nimejaribu kukuonesha ni jinsi gani mnavyo mtegema na nimekuuliza kiroho safi tu wewe unaona nani ataziba pengo lake pale akiondoka? yaani kitakacho tokea ni kama kilichowakuta Madrid baada ya Ronaldo kuondoka
Time will tell
 
Inaonekana hujaielewa vzr comment yangu,nimejaribu kukuonesha ni jinsi gani mnavyo mtegemea na nimekuuliza kiroho safi tu wewe unaona nani ataziba pengo lake pale akiondoka? yaani kitakacho tokea ni kama kilichowakuta Madrid baada ya Ronaldo kuondoka
Time will tell

Unless ofcoz mpate mtu atakae weza reproduce mchango wake au mbadili namna mnavyocheza! which are both very unlikely scenarios
 
By that time SAF alikuw na option mbili ambao ni huyu HAZARD na KAGAWA kutoka BVB lakn demands za hazards zilikuwa ni kubwa akitaka kuwa mtu wa kipekee kwenye utawala wa SAF kitu ambacho hakipo.
Ronaldo, beckham, van nisteroy na mastar wengine wale ambao ilikuw image ya MUTD waliondoka Kwa sababu kwa SAF ilikuwa ni mwiko mchezaji kuwa mkubwa kuliko timu na timu bado iliendelea kuwa on top
Hili alilolitaka hazard fargie aliona huyu baadae atataka ufalme pale OT ikiwa ni pamoja na demand kubwa ya mshahara na jukumu binafsi uwanjani SAF akaona isiwe tabu SHINJI KAGAWA anaweza kuoffer the same na akafwata maelekezo uwanjani
And that is where KAGAWA came instead of HAZARD
 
USAJILI WA MAN U HUU HAPA


UNAMTAKA supastaa kama Neymar na Philippe Coutinho kwenye kikosi chako? Kama wewe ni shabiki wa Manchester United basi hii inakuhusu zaidi.
Kocha Ole Gunnar Solskjaer amesema hivi anataka kusitisha mpango wa Man United kusajili wachezaji kwa pesa nyingi na kwamba anachotaka ni kunasa wachezaji wa kawaida tu kwa gharama ndogo.
Kocha huyo amedai anataka kuijenga Man United mpya bila ya kusajili wachezaji wenye majina makubwa na badala yake anahitaji kunasa wachezaji wenye vipaji na makinda.
Kocha, Solskjaer ataingia sokoni kufanya usajili mwishoni mwa msimu huu huku akilenga kuleta wachezaji makinda zaidi wenye faida kwenye timu kuliko kunasa wachezaji waliokomaa kwa pesa nyingi na kisha hawana maajabu.
Miaka ya karibuni, Man United imekuwa ikitumia pesa nyingi sana kwenye usajili kama ilivyomnasa Paul Pogba kwa Pauni 89 milioni, Angel Di Maria kwa Pauni 59.7 milioni na Romelu Lukaku kwa Pauni 75 milioni na wote hao wamekuwa hasara tu kwenye timu.
Lakini, Solskjaer anataka kufuata nyayo za Mauricio Pochettino wa Tottenham za kusajili wachezaji wenye vipaji kwa gharama nafuu na wenye umri mdogo. Mchezaji aliyesajiliwa pesa nyingi Spurs ni beki Davinson Sanchez, aliyenaswa kwa Pauni 42 milioni kutoka Ajax na umri wake ni miaka 21.
Solskjaer sasa anataka kunasa makinda matata wenye vipaji kama Jadon Sancho, Matthijs de Ligt, Declan Rice, Aaron Wan-Bissaka na makinda wengine wenye umri wa miaka 20 mwanzoni.
Ripoti zinadai wachezaji kama Pogba, Lukaku wanaweza kufunguliwa mlango wa kutoka huku Ander Herrera akijiandaa kuondoka mwisho wa msimu.
Gwiji wa Man United, Gary Neville alisema Solskjaer anahitaji kusajili makinda wenye uwezo kama anataka kurudisha timu kwenye Top Four akisema: Lile kundi la wachezaji waliopo kwa sasa, silipendi. Ole anachopaswa kukifanya cha kwanza ni kusafisha nyumba yake.”
 
USAJILI WA MAN U HUU HAPA


UNAMTAKA supastaa kama Neymar na Philippe Coutinho kwenye kikosi chako? Kama wewe ni shabiki wa Manchester United basi hii inakuhusu zaidi.
Kocha Ole Gunnar Solskjaer amesema hivi anataka kusitisha mpango wa Man United kusajili wachezaji kwa pesa nyingi na kwamba anachotaka ni kunasa wachezaji wa kawaida tu kwa gharama ndogo.
Kocha huyo amedai anataka kuijenga Man United mpya bila ya kusajili wachezaji wenye majina makubwa na badala yake anahitaji kunasa wachezaji wenye vipaji na makinda.
Kocha, Solskjaer ataingia sokoni kufanya usajili mwishoni mwa msimu huu huku akilenga kuleta wachezaji makinda zaidi wenye faida kwenye timu kuliko kunasa wachezaji waliokomaa kwa pesa nyingi na kisha hawana maajabu.
Miaka ya karibuni, Man United imekuwa ikitumia pesa nyingi sana kwenye usajili kama ilivyomnasa Paul Pogba kwa Pauni 89 milioni, Angel Di Maria kwa Pauni 59.7 milioni na Romelu Lukaku kwa Pauni 75 milioni na wote hao wamekuwa hasara tu kwenye timu.
Lakini, Solskjaer anataka kufuata nyayo za Mauricio Pochettino wa Tottenham za kusajili wachezaji wenye vipaji kwa gharama nafuu na wenye umri mdogo. Mchezaji aliyesajiliwa pesa nyingi Spurs ni beki Davinson Sanchez, aliyenaswa kwa Pauni 42 milioni kutoka Ajax na umri wake ni miaka 21.
Solskjaer sasa anataka kunasa makinda matata wenye vipaji kama Jadon Sancho, Matthijs de Ligt, Declan Rice, Aaron Wan-Bissaka na makinda wengine wenye umri wa miaka 20 mwanzoni.
Ripoti zinadai wachezaji kama Pogba, Lukaku wanaweza kufunguliwa mlango wa kutoka huku Ander Herrera akijiandaa kuondoka mwisho wa msimu.
Gwiji wa Man United, Gary Neville alisema Solskjaer anahitaji kusajili makinda wenye uwezo kama anataka kurudisha timu kwenye Top Four akisema: Lile kundi la wachezaji waliopo kwa sasa, silipendi. Ole anachopaswa kukifanya cha kwanza ni kusafisha nyumba yake.”

🙄 🙄🙄🤣 Hii ni ramli chonganishi, mnataka kuwa kama Tottenham?? Tott target yao ni kubaki Top 6, ni accidentary tu kuwa hapo walipo, yaani wamejikuta wameenda extra mile bila kutarajia....

Kwa level ya Man u huwez kuendesha club kwa style kama ya Totnham....hata liver, arsenal, man city, chelsea walikuwa na mfumo huo ila mwisho wa sku ilibidi wasplash cash..
Man u isubir miaka minne mpak mitano et unatengeneza timu ya makinda, wakat huo unahtaji uwin bussness, unashindana kwenye level ya madrid, barcelona kumantain utajir bila majina makubwa ya wachezaji..hiyo kitu haipo..Baca wana na la masia kituo bora kabisa, lakn matokeo yalipoyumba uwanjani miaka ya 2013/2014...wakapiga chini mfumo wa kutegemea la masia na wakaanza kuvunja vibubu kwa keshi ndefu,

nachojua Ole atafukuzwa kazi ndani ya misimu miwili, kama asipopata mafanikio yanayohitajika..kwanza madon wa OT wanajuta kumpa mkataba, kwa mara nyingine ferguson kawaingiza mkenge...

Labda utafute makinda wenye viwango, kitu ambacho lazima uvunje kibubu tuu hakuna namna
 
Back
Top Bottom