Manchester United (Red Devils) | Special Thread

That another question??

What do you think we should do?
Game ya juzi first half Spurs alikuwa anatolewa but Pochettino alikuwa flexible akamuingiza "big man" Fernando Lllorente wakawa wanampigia mipira ya juu akawachanganya defence ya Ajax Spurs wakashinda (hii approach Mourinho aliitumia kwenye Uropa final)
 
Hii timu yetu ilibidi kwanza ipate kocha fundi wa mpira ambaye sio "Yes man" and then mambo mengine yafuate..silioni hili kwa OGS pia but ngoja tuone maybe he can prove me wrong
 
Umeyaorodhesha matatizo na ukapendekeza mabadiliko lakini hujataja mabadiliko unayoyahitaji ni yapi ?
 
Ndio maana Jose juzi, akichambua kutolewa kwa Ajax alisema football game is a sport battle

Sometime you have to abondone your philosophy to win a game
 
One of low profile names signings? View attachment 1093212

Kwa mtizamo wangu huu usajili wa style hii nakubaliana nao 100%, sahv tunahitaji kusajili watu wenye njaa ya mafanikio na wenye umri mdogo ambao bado wana dreams na ambition za kufanya makubwa kwenye career zao,hyu dogo sijamfatilia sana ila kwa haraka haraka anaonekana ni fighter na kwa sahiv tunahitaji winger mpambanaji.

Sema kuna baadhi ya mashibiki huwa nashindwa kuwaelewa unakuta anaponda usajili wa low profile players akidai kwamba watakuja kuwa mizigo,hawatatufikisha popote na kwamba Glazers wanabana hela za kuspend, alafu tena tukisign wachezaji wenye majina makubwa wakifeli anarudi tena kuponda kwamba kwann wakina woodward wanapoteza hela kwa wachezaji wakubwa alafu wanakuja kuwa maflop kama kilichotokea kwa Sanchez,Falcao,Di maria,Bastian etc...yaani kwa ufupi mashabiki wa mpira sometimes hatuelewi tunataka nn na mambo yakifeli lazima tutafute mchawi!
 
Nadhani United ni club kubwa sana kwa OGS,

Lakini approach ya kusajili majina madogo inaweza msaidia kocha kukua na timu taratibu

Baada ya muda ataweza kuvaa viatu vya kuifundisha club ya United

Apewe muda
Mashabiki wa man u wanataka mafanikio ila kwa njia ya mkato sana sijajua kama mafanikio huja kwa kusajili majina makubwa peke yake na fantastic coach bila kujenga chemistry ya team?

Ilimchukua miaka miwili Callo Anceloti kuchukua champions league pale Madrid lakini iliwachukua miaka saba kutengeneza team ya kuchukua cahmpions league mfululizo Mara nne in five years

Ilimchukua misimu mitano man city kujenga team na kuanza kuchukua ubingwa wa epl tu lakini Leo mwaka wa Tisa hawajawahi hata kufika nusu fainali ya UEFA wala Europa.

Huyu Mauricio Pochetino huyu hajawahi hata kutwaa kombe la mbuzi katika career yake Tottenham amekaa msimu wa tano sasa achievement yake kubwa ni kushika nafasi ya pili kwenye EPL na kufika finali UEFA msimu huu.

Tusiwe na haraka kiasi hicho team iko katika wakati ambao mashabiki tunapaswa kuwa na subira sana ijengwe taratibu siyo kwa kufanya ukusanyaji wa players wasio na matumizi kama PSG.

Ole hata mwaka hajamaliza tunaanza kujudge uwezo wake katika kikosi ambacho manager yoyote angeweza kustruggle nacho ?
 
For now United is too big for OGS lets give him time,he has been in charge for half of the season.
Poch was the right candidate and available to rebuild this team he tick almost every box
Maybe Ed contacted him before appointing OLE.

1 year into a new 5 year contract
New stadium finally finished
Great squad of players
Team improving year on year

There’s no way he would leave all this for another English club .
 

Unapomlaumu Poch kaka miaka 5 bila ndoo ukumbuke it took Alex Ferguson 6 years to start winning something
 
Maybe Ed contacted him before appointing OLE.

1 year into a new 5 year contract
New stadium finally finished
Great squad of players
Team improving year on year

There’s no way he would leave all this for another English club .

Maybe unachosema nikweli lakin i don't think so,sidhani kama Woodward alimpa Poch hyo offer,natend kufikiria hivi kwasababu zifuatazo

1. UTD ni club kubwa sana klinganisha na Tottenham makocha wote bora duniani huitolea macho hyo nafasi maana ukiweza kutoboa UTD legacy utakayojijengea ni balaa,hvyo siamini kama Poch angeweza kukataa kama angepewa hyo offer,hata kwenye interview zake alikuwa anababaika sana akiulizwa hilo swala la kwenda UTD.

2.,Shida nyingine ni kwamba Tottenham hawawezi shindana kabsa na UTD financially hvyo hawezi pata financial backing pale TOT kama ambavyo angeweza ipata UTD, angalia mpka sahv Spurs wamenunua mchezaji gani wagharama sana?,Msimu huu walianza bila kusajili mtu yoyote wa maana na hata kihistoria ndani ya hii miaka ya karibuni ukiangalia utaelewa nachosema hyo kitu nauhakika inamkwaza sana Poch,ukiangalia interview yake juzi kati hapa alisema kama akifanikiwa kushinda CL msimu huu atasepa,Ofcoz hakusema wazi kabsa ila kila mtu alimuelewa!

3.Kwa position/situation tuliokuwa nayo kipindi kile kwa performance ya timu na support ya mashabiki ilikuwa ni almost impossible kumpa hicho kibarua mtu mwingine zaidi ya OLE,Hata humu kwenye hili jukwaa asilimia kubwa tulikuwa tunataka OLE apewe huo mkataba haraka iwezekanavyo,wengine walianza na kulalamika kabsa kwann mpka muda huo bado hajapewa mkataba.
 
mashabiki wa United hatuna uvumilivu hatujui kabisa kitu kinachoitwa transition, sijui ingekuaje timu hii ndo ingekuwa Arsenal au Liverpool.
 
Wengine ananunua kwa kubadilisha wachezaji. Pia fedha zingine atazipata kwa kuuza Amina Lingard, Martial, Pogba, Young, Alexis nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…