Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mwenzio nimegeuka kuangalia mechi zilizopita naangalia maufundi ya luis nani dimitri na wengineo
 
We all know who's the real loser in this match.
Don't mention Leicester please they had nothing to lose.
 
Kuna habari kuwa Man City tayari wanamsajili Bruno Fernandes
 
Pogba want to leave Manchester United this summer ,Raiola will face Woodward at end of season also the future of Lukaku and De Gea are not clear

Solskjaer is furious about Anthony Martial attitude since he sign new contract

Its confirmed Ander Herrera & Antonio Valencia will leave United at end of the season,I hope Valencia will get some minutes at OT for the last time
 
Mkuu unacheka Conte kuifunza Manure ushangai Ole kupewa mkataba.
 
Hata kwa mkopo watolewe.
 
Haha dirisha la usajili lina miezi mitatu mkuu au unataka na wolvehampton watutoe nafasi ya sita ?
Inamaana Barca, Bayern, Madrid, Man City hawaioni hiyo miezi mitatu?

Kumbuka unahitaji wachezaji majembe ambao wanamezewa mate na hao wengine.
 
INASEMEKANA: Wakala wa Pogba watawasilisha maombi ya mchezaji wake kutaka kuondoka mwisho wa msimu huu, wakati huo huo Solskjaer amemwambia CEO kama Pogba anataka kuondoka amruhusu aende, lakini CEO amemwambia kuondoka kwa Pogba pale United timu itapoteza mvuto.
 
Shida imeanzia hapa Durkin, Dean, Riley, Stiles, Wiley, Clattenburg, Atwell, Webb, Atkinson, Dowd and Winter are no longer on the payroll.

Shida sio Wachezaji bali ni hao jamaa kuondoka katika system yenu ya Malipo
Best comment of the century
 
Hata ukitaja mchezaji mmoja mmoja hauna wachezaji wazuri si tu zaidi ya Liverpool hata zaidi ya Wolverhampton hauna
 
Hahahaha

Mkuu kunywa maji kwanza

Ila hii timu sometime Inauzi sana

Wenzetu wapo ruthless kwenye kusajili, sisi tunawataja tu

Tunataka kufanana na Arsenal kwenye mambo mengi sana

Ngoja tujipe moyo kuna mambo yanafanyika behind the scene
 
Kutoingia top 4 kunaweza kutunyima nafasi ya kusajili world class players ambao wao UCL ni kila kitu kwao

OGS amewahi Sema anataka wachezaji ambao motivation yao kuja United si 25% +salary

Je bila kivutio cha kushiriki UCL tunaweza kupata wachezaji wenye kiwango kikubwa pasipo kushawishiwa na mshahara mnono?

Embu tuone watu tunaweza kuwa nao kwa mujibu wa matamanio ya OGS

Defenders
Koulibally, Maguire, Mouinier, Wan Bissaka,

Midfielders
Neves, Ndidi, Madison, Partey

Kutoka Academy na Mkopo
Greenwood, Gomez, Chong, Tuanzebe, TFM, Henderson, Garner,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…