nafasi bado ipo lakini si kwa wepesi huoKwa mtazamo wa kujipendelea, top four bado tumo. Wapinzani wanapossibility kubwa ya kupigwa mechi zote mbili zilizobaki. Huddersfield na Cardiff hawana sababu ya kutufunga. Cardiff atakatishwa tamaa na ushindi wa Briton Jumapili.
Hivyo tunaweza kumaliza nafasi ya Tatu (second runners up)
Ndoto nzuri sanaKwa mtazamo wa kujipendelea, top four bado tumo. Wapinzani wanapossibility kubwa ya kupigwa mechi zote mbili zilizobaki. Huddersfield na Cardiff hawana sababu ya kutufunga. Cardiff atakatishwa tamaa na ushindi wa Briton Jumapili.
Hivyo tunaweza kumaliza nafasi ya Tatu (second runners up)
After 3 weeksWest Ham (H)
Everton (A)
Man City (H)
Chelsea (H)
Huddersfield ( A)
Cardiff (H)
Sent using Jamii Forums mobile app
Je tuna uwezo wa kushinda hizo mechi mbili?Tumebakoza mechi mbili, tukishinda zote tunafikisha 71 points. Arsenal akipoteza mechi moja ataishia 69. Chelsea akipoteza mechi moja ataishia 71 na Spurs akipoteza mechi zote mbili atabaki na 70. Je, nafasi ya top four kwetu IPO?
Chelsea akipoteza 1, atatuzidi kwa tofauti ya magoli mengi tuTumebakoza mechi mbili, tukishinda zote tunafikisha 71 points. Arsenal akipoteza mechi moja ataishia 69. Chelsea akipoteza mechi moja ataishia 71 na Spurs akipoteza mechi zote mbili atabaki na 70. Je, nafasi ya top four kwetu IPO?
Nilimsahau asee dogo muhimu sana yuleMC Tominay amecheza dakika chance vizuri, huyu tunamhitaji.
Mkuu pengine kwako ndo hana heshima?Aondoke tu,hana heshima tena
Tatizo tutapata wachezaji wazuri wakati hatushiriki UCL?sina tatizo na De Gea sina tatizo nae kabisa, yes sina doubts na kipa wetu.
bora Rashford na mauzi yake acheze kwa dakika zote uwanjani kuliko uwepo wa Sanchez sababu Sanchez akiwa uwanjani timu yetu inakuwa na wachezaji 10 tu.
huyu Solskjaer hebu apate wale anaowataka ana approach nzuri sana ila kuna takataka zinaleta blunder zao.
sina tatizo na De Gea
Hapo ndo napomuona ole nae boya tu. Anakubalije kumuachia mchezaji kama yule?
Leo nadhani wote tumeona kazi ya Herrera.
After 3 weeks
1 win (with 2 penalt goal)
1 draw
2 defeat
3 goals scored (2 penalt)
8 goals concede
4 point out of 12
Hahaha mkuu inafurahisha sana.Tunaogombania top four wote sisi wachovu sana..Arsenal naye kashapigwa
Nimecheka sana mkuu.Tumebakoza mechi mbili, tukishinda zote tunafikisha 71 points. Arsenal akipoteza mechi moja ataishia 69. Chelsea akipoteza mechi moja ataishia 71 na Spurs akipoteza mechi zote mbili atabaki na 70. Je, nafasi ya top four kwetu IPO?
Jamaa anapoteaDegea hajaanza kuchoma leo
Na Everton kuna magoli angeweza kuzuia
Na City mechi ya kwanza goli la Aguero angeweza kuzuia
Na City mechi ya juzijuzi goli la Sane angeweza kuzuia
Na Barcelona ........
Na Arsenal ........
Yaani sasa hivi mpira ukipigwa golini, usipo blokiwa najua % kubwa ni goli
Halafu anataka £350,000
Wakati tunacheza Uropa tuliweza kuwasajili Pogba,Zlatan,Bailly na tukiwa tunacheza Champions league tukawasajili Grant,Fred na DalotTatizo tutapata wachezaji wazuri wakati hatushiriki UCL?
Tatizo kubwa ni kwamba ukiwa ktk hali hiyo inabidi utumie extra force kuwapata wachezaji wazuri na hakuna namna nyingine zaidi ya kuwashawishi kwa mishahara mikubwa sana,kitu ambacho baadae kinageuka tena kuwa ni sumu ndani ya kundi la wachezaji. Mfano sasa hivi kuna wachezaji wanataka mishahara mikubwa kwa sababu ya Sanchez Na pogba. Na hiyo yote ni kutokana na kuona kwamba jamaa wanalipwa hela nyingi Na work rate yao ni ndogo kiasi cha timu kutopata matokeo mazuriWakati tunacheza Uropa tuliweza kuwasajili Pogba,Zlatan,Bailly na tukiwa tunacheza Champions league tukawasajili Grant,Fred na Dalot
Chelsea ukitaka msumbua mjazie winga sasa kwa hiko kikosi goli hata nne zinawahusu.